Skip to main content

RONALDO NA MESSI WANAVYOLINGANA REKODI ZA EL CLASICO


Mapumziko ya ligi mbalimbali kupisha mechi za kimataifa yamemalizika, sasa wachezaji wanarejea kwenye vilabu vyao kuendelea na majukumu yao. Mwishoni mwa juma hili zitapigwa mechi kibao kutoka ligi za mataifa mbalimbali, lakini akili, macho na masikio ya dunia nzima ni juu ya mchezo wa Barcelona dhidi ya Real Madri ‘El Clasico’ mchezo wa ligi ya Hispani maarufu kama La Liga.
Barcelona wanaingia kwenye mchezo huo wakiwa mbele ya Madrid kwa pinti 10 wakiwa kileleni mwa msimamo wa ligi, mchezo huo utagubikwa na hisia juu ya kifo cha gwiji wa Barcelona Johan Cruyff aliyefariki juma lililopita na Barcelona wamepanga kutoa heshima zao kwa nyota huyo kwenye mchezo huo dhidi ya Madrid.
Siku hizi game ya El Clasico si vita kati ya Real Madrid dhidi ya Barcelona pekee bali na fursa kwa watu kuwalinganisha Cristinano Ronaldo na Lionel Messi ndani ya uwanja kutokana na upinzani wa ubora wa wachezaji hao nyota wa timu mbili tofauti.
Bila shaka hawa ndiyo wachezaji nyota kuwahikutokea katika vilabu hivi kuwa na upinzani mkubwa kwa wakati mmoja wakichezea vilabu vyao. Ni fursa nzuri ya kuwashuhudia Messi na Ronaldo wakicheza katika timu zenye upinzani mkubwa angalau mara mbili au zadi ndani ya msimu mmoja.
Ukweli ni kwamba, wawili hao wamepokezana tuzo ya Ballon d’Or katika kipindi cha miaka nane mfululizo.
Kuelekea mchezo wa El Clasico, ukilinganisha rekodi ya wachezaji hao kufunga magoli tangu Ronaldo alipojiunga na Madrid inafanana kwa kiasi kikubwa sana.
Ronaldo na Messi wanamagoli sawa wakiwa wacheza idadi sawa ya mechi, huku Messi akimzidi Ronaldo kwenye upande wa assists.
El Clasico tangu msimu wa 2009-10…
MESSI
24 idadi ya mechi alizocheza
15 idadi ya magoli aliyofunga
10 idadi ya assists alizotoa
CRISTIANO
24 idadi ya mechi alizocheza
15 idadi ya magoli aliyofunga
2 idadi ya assists alizotoa
Gazeti moja la Madrid linalofahamika kwa AS limelinganisha rekodi za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi juu ya mchezo wa El Clasico, angalia ukurasa ma mbele wa gazeti hilo hapa chini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...