Skip to main content

Ban ambana Machar kurejea haraka Juba

Südsudan Rebellenführer Riek Machar
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon Ijumaa (22.04.2016) amemuwekea mbinyo zaidi kiongozi wa waasi nchini Sudan kusini Riek Machar kurejea mjini Juba "bila kuchelewa" na kuanza kazi katika serikali ya mpito.
Machar alitarajiwa kurejea katika mji mkuu siku ya Jumatatu, kwa mujibu wa makubaliano ya kisiasa yenye lengo la kumaliza vita vya miaka miwili, lakini tofauti kuhusiana na mipango ya kiusalama mjini Juba inachelewesha kurejea kwake.
Ban amesema serikali ya rais Salva Kiir imekubali pendekezo la muafaka kuhusiana na matayarisho ya kurejea kwa Machar na kusema hatua hii inapaswa kusaidia kuundwa kwa haraka kwa serikali mpya ya umoja wa kitaifa.
"Kuendelea na hali ya ushirikiano itakuwa muhimu wakati viongozi wa nchi hiyo wakianza mchakato wa kubadilisha miaka ya uharibifu uliosababishwa na mzozo huo kwa watu wa Sudan kusini," amesema katika taarifa.
Mateso ya watu wa Sudan kusini
Ban amemtaka Machar kusafiri kwenda Juba " bila masharti zaidi" hali ambayo inaweza kuchafua mchakato wa amani na kuendeleza hali ya mateso yanayowakuta watu wa Sudan kusini."(P.T)
Chini ya makubaliano ya amani, Machar alitakiwa kurejea tena katrika wadhifa wake wa makamu wa rais katika serikali mpya itakayodumu kwa muda wa miezi 30 na kuielekeza nchi hiyo katika uchaguzi mkuu.
Kikwazo cha hivi sasa kinahusiana na idadi ya bunduki na vifaa vya kufyatulia maguruneti ambavyo vikosi vya waasi vinavyomlinda Machar vitaruhusiwa kuwa navyo.
Vita vya Sudan kusini vilianza Desemba mwaka 2013, wakati Kiir alipomshutumu Machar kwa kula njama za kumpindua. Mzozo huo umeweka wazi mpasuko wa tofauti za kikabila na umekuwa ukionesha ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na ubakaji wa makundi, uchomaji moto vijiji na hata ulaji nyama za watu.
Ombi la Marekani
Kwa ombi la Marekani, baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikutana siku ya Jumatatu na kuelezea "wasi wasi wake mkubwa " kwa kushindfwa kurejea Machar mjini Juba.
Jumuiya zenye nguvu duniani, ikiwa ni pamoja na Umoja Umoja wa Afrika, Umoja wa Ulaya , China , Uingereza na Marekani , zimewapatia Machar na Kiir muda wa mwisho hadi leo Jumamosi (23.04.2016) kutatua tofauti zao.
Mamia kwa maelfu ya watu wameuwawa na zaidi ya watu wengine milioni mbili wamelazimika kuyakimbia makaazi yao tangu vita hivyo vilipozuka Desemba mwaka 2013.
Wasiwasi unatuwama katika hali ya kutoaminiana kuhusiana na silaha hali ambayo imechelewesha kurejea kwa Machar.
Kikosi cha wanajeshi waasi wapatao 1,370 tayari kimewasili mjini Juba kama sehemu ya makubaliano ya amani wakati majeshi ya serikali yanasema yameondoa wanajeshi wake wote isipokuwa wanajeshi 3,420 , kwa mujibu wa makubaliano. Wanajeshi wengine wote wanapaswa kubakia kiasi ya kilometa 25 nje ya mji mkuu.
Katika moja kati ya kambi tatu za waasi mjini Juba, waasi wanatengana na kambi ya majeshi ya serikali kiasi ya mwendo wa miguu wa dakika tano na wanaweza kuonana na karibu iwapo kutatokea rabsha zozote.
Chanzo:DW

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...