Skip to main content

PAMBANO LA SERENGETI BOYS MISRI LEO



Serengeti-press
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kiingilio cha shilingi elfu mbili tu (2,000) ndio kitakachotumika katika mchezo wa kesho Jumamosi kati ya Serengeti Boys (Tanzania) v The Pharaohs (Misri) katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
TFF imeweka kiingilio cha shilingi elfu mbili tu (2000) uwanja mzima, kutoa nafasi kwa wapenzi wa mpira wa miguu nchini kujitokeza kwa wingi siku ya Jumamosi kuja kushuhudia mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa kati ya timu za vijana za Tanzania vs Misri.
Serengeti Boys inashuka dimbani kucheza na The Pharaohs mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa kujipima nguvu, ikiwa ni sehemu ya maandalizi na kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Mataifa Afrika kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 17 dhidi ya Shelisheli Juni – Julai mwaka huu.
Mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa utachezeshwa na waamuzi wa kimataifa wenye beji za FIFA ambao ni Israel Mjuni, akisaidiwa na Soud Lila, Frank Komba, mwamuzi wa akiba Jonesia Rukyaa, huku kamisaa wa mchezo akiwa Isabella Kapera.
Upande wa kikosi cha timu ya Taifa ya Misri kimewasili nchini jana mchana saa 7:30 mchana kwa shirika la ndege la Ethiopia, kikiwa na msafara wa watu 33 wakiwemo wachezaji 25 na viongozi 8.
The Pharaohs wanatarajiwa kufanya mazoezi leo jioni saa 10 kamili katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaa, baada ya kuwa wamefanya mazoezi jana jioni katika uwanja wa Karume.
Wakiongea na waandhishi wa habari, makocha wa timu zote mbili, Bakari Shime (Serengeti Boys) na Yasser Muhamadain (The Pharaous) wameshukuru kwa kupata mchezo huo wa kirafiki wa kiamataifa.
Kocha Shime ameishukuru TFF kwa kufanikisha mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa, baadaya kuwa kambini na kucheza michezo ya kirafiki na timu za ndani, wao kama benchi la ufundi watautumia kama kipimo sahihi cha mchezo wa kimataifa katika maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Shelisheli.
Naye Yasser wa The Pharaohs, ameshukuru kwa kupata nafasi ya kucheza na Tanzania mchezo wa kirafiki, kwao ni mara ya kwanza kucheza mchezo wa kirafiki nje ya ukanda wa Afrika Kaskazini, hivyo anaamini kesho kutakua na mchezo mzuri wenye ushindani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.