Skip to main content

Msome hapa Dj Q na Club 601 (Top Garage) Tanki Bovu Mbezi Beach




Na Francis Peter

SUALA la Udjs kwa sasa limeishakuwa zaidi ya ajira kutokana na ufanyaji wa hatua za
masuala hayo kuendelea zaidi katika maeneo mengi yenye tija za kuingiza kipato.

Awali miaka ya nyuma tena wakati mwandishi wa makala hii nikiwa katika hali ya udogo wa umri  miaka ya nyuma  nilikuwa nikioneshwa na jamaa walioku wamenitangulia pindi ma Djs hao walipokuwa katika pita pita zao mitaani.

Kadri nilivyo zidi kukua nikaanza kidatocha kwanza ndipo nilipoakuwa nawaona
zaidi kwa kwenda kwenye kumbi zao walipokuwa wakiporomosha nyimbo kuwapa raha mashabiki wa muziki wa Disco.

Taratibu miaka ilipoanza kusogea madjs waliokuwa wakichengua katika kumbi za Disco
wakanza kupata mashavu katika kuendesha vipindi mbali mbali vya muziki redioni na baada ya muda ikaanza kuwa ajira sahihi kwa kupata mikataba ya kiutumishi katika redio mbali mbali mbali kwa kwa kutumikia vipindi hivyo vya redio.

Moja ya Dj wenye majina katika jiji la Dar es Salaam Chande Mohamed 'Dj Q' ni moja
ya waliopitia katika ajira za redio nakufanya poa sana katika vipindi vya muziki kipindi cha miaka ya sasa aliweza kuendesha vipindi vya muziki Magic FM ambapo kwa sasa yeye ni moja ya watu wanaotengeneza ajira za watu wengine .


Mbali na kuanza kujiingizia kipato kwa kuthubutu kuandaa matamasha ya wanamuziki
wa Bbongoflava nchini katika kipindi cha miaka ya 2000 kuja juu  sasa ni Boss wa Club 601 (Top Garage) iliyopo Tanki Bovu Mbezi Beach.

"Nimeweza kuendesha Disco langu nikiwa kama Boss wa ukumbi huu maisha yanaenda yanabadilika ni moja ya hatua  zangu za kimafanikio katika maisha yangu nimeweza kuacha ajira na kujiajili  na nimeweza tayari kutengeneza ajira kwa watu wengine kupitia
Club 601,"anasema Dj Q.

Boss huyo wa Club 601 Dj Q ambaye kwa sasa ameweza kugawa ajira kwa wengine ni kielelezo tosha cha ma Dj wengine kuweza kufikia malengo yao makubwa kwa kuwa wajasilia mali kama unavyo weza kuona ukiwa katika club yake hiyo Q.

Ukifika katika Club 601 unaweza kuburudishwa na muziki wa Disco kwa umahiri  kufuataia nyimbo zinazopigwa katika mpangilio sahii uku ukiziona ajira alizo zitengeneza
Dj Q  , utaona wahudumu wenye kujali mteja (weiters), na baadhi ya kaunta za kisasa
zitakazokufanya uendelee kuburudika na kufanya akili iweze kutulia kwa kiasi kikubwa.

"Maisha ni ubunifu  (skills) za maisha unayoyapitia zinaweza kukujenga kupata muonekano bora wa kimaisha katika siku za usoni najihisi nafaidi najisiki nipon Okay katika hali niliyofikia kwa sasa ila bado napambana kwani namajukumu mengine ya kifamilia pia,"anasema Dj Q kwa ujasiri .

Udjs  kwa unamvuto kwani maisha ya vijana wengi wanaofanya udj wamo katika ajira sehemu mbali mbali kuanzia kwenye kumbi kubwa za starehe kama Club Billicana na Club 601 pamoja na maeneo ya klabu zingine zimeweza kuajiri vijana na hivyo kuwapa maisha mazuri.
 Anga za udjs katika miaka ya nyuma sana ilikuwa ni sifa tu kwa kijana kuwa Dj na kupita mitaani wakinyooshewa vidole na kuonekana kupendwa zaidi na mabinti lakini taratibu zama hizo zikafutika sasa wanajichukulia mkwanja wa kutosha na nje ya kunyooshewa vidole  vya sifa pindi wanapo pita katika maeneo mbali mbali.
 Dj Q amekuwa ni miongoni mwa madj wanaofunga zaidi kwa kupata nyomi la mashabiki kuanzaia siku za Jumatano mpaka Jumapili kupitia Club 601 lakini ukitaka kwenda katika kiota hicho makamuzi yapo mkila siku mbali na siku nilizozitaja hapo juu.
 "Nawakaribisha sana vijana na watu wa miaka ya nyuma kwani nimekuwa  nikipiga kwa aina ya kipekee muziki wa (olds School) nakufanya furaha yao kuwa kubwa kwa kuwakumbusha nyimbo za enzi zao ,"anamaliza kusema Q.





Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.