Skip to main content

Msome hapa Dj Q na Club 601 (Top Garage) Tanki Bovu Mbezi Beach




Na Francis Peter

SUALA la Udjs kwa sasa limeishakuwa zaidi ya ajira kutokana na ufanyaji wa hatua za
masuala hayo kuendelea zaidi katika maeneo mengi yenye tija za kuingiza kipato.

Awali miaka ya nyuma tena wakati mwandishi wa makala hii nikiwa katika hali ya udogo wa umri  miaka ya nyuma  nilikuwa nikioneshwa na jamaa walioku wamenitangulia pindi ma Djs hao walipokuwa katika pita pita zao mitaani.

Kadri nilivyo zidi kukua nikaanza kidatocha kwanza ndipo nilipoakuwa nawaona
zaidi kwa kwenda kwenye kumbi zao walipokuwa wakiporomosha nyimbo kuwapa raha mashabiki wa muziki wa Disco.

Taratibu miaka ilipoanza kusogea madjs waliokuwa wakichengua katika kumbi za Disco
wakanza kupata mashavu katika kuendesha vipindi mbali mbali vya muziki redioni na baada ya muda ikaanza kuwa ajira sahihi kwa kupata mikataba ya kiutumishi katika redio mbali mbali mbali kwa kwa kutumikia vipindi hivyo vya redio.

Moja ya Dj wenye majina katika jiji la Dar es Salaam Chande Mohamed 'Dj Q' ni moja
ya waliopitia katika ajira za redio nakufanya poa sana katika vipindi vya muziki kipindi cha miaka ya sasa aliweza kuendesha vipindi vya muziki Magic FM ambapo kwa sasa yeye ni moja ya watu wanaotengeneza ajira za watu wengine .


Mbali na kuanza kujiingizia kipato kwa kuthubutu kuandaa matamasha ya wanamuziki
wa Bbongoflava nchini katika kipindi cha miaka ya 2000 kuja juu  sasa ni Boss wa Club 601 (Top Garage) iliyopo Tanki Bovu Mbezi Beach.

"Nimeweza kuendesha Disco langu nikiwa kama Boss wa ukumbi huu maisha yanaenda yanabadilika ni moja ya hatua  zangu za kimafanikio katika maisha yangu nimeweza kuacha ajira na kujiajili  na nimeweza tayari kutengeneza ajira kwa watu wengine kupitia
Club 601,"anasema Dj Q.

Boss huyo wa Club 601 Dj Q ambaye kwa sasa ameweza kugawa ajira kwa wengine ni kielelezo tosha cha ma Dj wengine kuweza kufikia malengo yao makubwa kwa kuwa wajasilia mali kama unavyo weza kuona ukiwa katika club yake hiyo Q.

Ukifika katika Club 601 unaweza kuburudishwa na muziki wa Disco kwa umahiri  kufuataia nyimbo zinazopigwa katika mpangilio sahii uku ukiziona ajira alizo zitengeneza
Dj Q  , utaona wahudumu wenye kujali mteja (weiters), na baadhi ya kaunta za kisasa
zitakazokufanya uendelee kuburudika na kufanya akili iweze kutulia kwa kiasi kikubwa.

"Maisha ni ubunifu  (skills) za maisha unayoyapitia zinaweza kukujenga kupata muonekano bora wa kimaisha katika siku za usoni najihisi nafaidi najisiki nipon Okay katika hali niliyofikia kwa sasa ila bado napambana kwani namajukumu mengine ya kifamilia pia,"anasema Dj Q kwa ujasiri .

Udjs  kwa unamvuto kwani maisha ya vijana wengi wanaofanya udj wamo katika ajira sehemu mbali mbali kuanzia kwenye kumbi kubwa za starehe kama Club Billicana na Club 601 pamoja na maeneo ya klabu zingine zimeweza kuajiri vijana na hivyo kuwapa maisha mazuri.
 Anga za udjs katika miaka ya nyuma sana ilikuwa ni sifa tu kwa kijana kuwa Dj na kupita mitaani wakinyooshewa vidole na kuonekana kupendwa zaidi na mabinti lakini taratibu zama hizo zikafutika sasa wanajichukulia mkwanja wa kutosha na nje ya kunyooshewa vidole  vya sifa pindi wanapo pita katika maeneo mbali mbali.
 Dj Q amekuwa ni miongoni mwa madj wanaofunga zaidi kwa kupata nyomi la mashabiki kuanzaia siku za Jumatano mpaka Jumapili kupitia Club 601 lakini ukitaka kwenda katika kiota hicho makamuzi yapo mkila siku mbali na siku nilizozitaja hapo juu.
 "Nawakaribisha sana vijana na watu wa miaka ya nyuma kwani nimekuwa  nikipiga kwa aina ya kipekee muziki wa (olds School) nakufanya furaha yao kuwa kubwa kwa kuwakumbusha nyimbo za enzi zao ,"anamaliza kusema Q.





Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...