Skip to main content

Prima Afro Total Hair Collection yajitosa Miss dar City centre 2016






Wakati wanyange  wanaosaka kinyang'anyio cha kulitaka taji la ulimwende la   Miss Dar City centre  2016 wakiwa wameanza kukutana kuanzia mwanzo mwa wiki hii kwenye ukumbi wa Club Maisha uliopo Kijitonyama Jijini hapa es Salaam  kampuni ya  uuzaji wa nywele bandia nchini Prima Afro Total Hair Collection ambao wanapatikana  mtaa wa Narung'ombe, Kariakoo, Dar es Salaam wamejitokeza  kudhamini shindano hilo .



Wauzaji hao wa nywele bandia  ambao bidhaa zao zinapatikana nchi nzima ambapo kwa djijini Dar es Salaam wanapatika katika maduka yao yaliyopo Karia Koo,wamekuwa ni wauzaji wanaojihamini kumpendezesha mwanamke  wa kisasa kuwa na mtazamo mkubwa kulingana na mwanamke anayekuwa ametumia bidhaa zao .



Kujitokeza kudhamini kwa wadhamini hao  mwaka huu  maandalizi ya shindano hilo tayari yameanza katika sehemu mbali mbali  nchini  mratibu wa shindano la Miss dar City centre  2016 Nancy Joseph anasema kuwa  tayari wameanza  maandali ya Shindano hilo  ambapo wameanza kuwapokea washiriki wenye sifa hozo.

"Wiki hii tumeanza mchakato wa kuanza kuwapata   mabinti wanaotaka kuchuana kumpata Miss dar City centre mwaka huu ambapo wanatakiwa  kufika Club Maisha Kijitonyama , tunaomba warembo wafike kwa wingi  kwani vigezo vya kujiunga na mazoezi  wataambiwa mara watakapofika  ,"anasema Nancy .

Nancy anasema kuwa   tayari waishatafuta  wadhamini  wa shiondano hilo na baadhi ya wadhamini tayari wameahidi kudhamini shindano .


Hata  hivyo wadhamini  wa shindano la Miss dar City centre 2014  Prima Afro Total Hair Collection  wamesema  shindano hilo kawaida huwa ni lenye mafanikio lilikuwa na mafanikio katika wakati wa msimu uliopita  mwaka 2014  ambapo tulijitokeza kudhamini kwa mara ya kwanzambapo kwa sasa pia tayari tumejitokeza tena.

 Afisa masoko wa kampuni  hiyo ya uuzaji wa hao wa nywelekwa mujibu wa   Idd Gumbwe anasema bidhaa zao ni bora na zinahusu uzuri wa mwanamke na kwa kuwa bidha zao ni bora wanaamini kuwa watanogesha shindano hilo kwa warembowa shindano hilo .


 Idd anasema kuwa  mara nyingi mashindano hayo yamekuwa na hali ya kipekee katika kuwa na mvuto kwa jamii hivyo  walijitokeza kudhamini shindano hilo  kama sehemu ya kujitoa kwa kampuni yao kwa jamii  na hatimaye mshindi   Jihan Dimechk  kutangazwa na kutwaa  taji la  Miss dar City centre 2014  .

Miss dar City centre ni moja ya shindano bora katika shindano la Miss Tanzania kwani limekuwa likitoa wanyange bora kabisa na mara kwa mara wameweza kutikisa katika kumi bora za kitaifa za shindano hilo.

 Miss Dar City Centre linatarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumamosi hii, Aprili 23 ndani ya Ukumbi wa Golden Tulip City Center Jijini Dar , ukiwa ni ufunguzi  maalum kwa ajili ya kuelekea katika shindano lenyewe litakalofanyika Mei 21, mwaka huu.

Naye msimamizi mkubwa wa shindano hilo  Eric Janguo naye alipambanua kuwa kwa mwaka huu wamejipanga kupata warembo wenye vigezo vingi watakao weza kufanya vyema katika shindano hilo hadi ngazi ya taifa.

Badhi ya wadhamini wengine waliojitokeza kudhamini ni Golden Tulip City Center Jijini Dar es Salaam,Maji ya Zan Aqua , Tv 1, EML M&J Printing, Super Model Collections .



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...