Skip to main content

Prima Afro Total Hair Collection yajitosa Miss dar City centre 2016






Wakati wanyange  wanaosaka kinyang'anyio cha kulitaka taji la ulimwende la   Miss Dar City centre  2016 wakiwa wameanza kukutana kuanzia mwanzo mwa wiki hii kwenye ukumbi wa Club Maisha uliopo Kijitonyama Jijini hapa es Salaam  kampuni ya  uuzaji wa nywele bandia nchini Prima Afro Total Hair Collection ambao wanapatikana  mtaa wa Narung'ombe, Kariakoo, Dar es Salaam wamejitokeza  kudhamini shindano hilo .



Wauzaji hao wa nywele bandia  ambao bidhaa zao zinapatikana nchi nzima ambapo kwa djijini Dar es Salaam wanapatika katika maduka yao yaliyopo Karia Koo,wamekuwa ni wauzaji wanaojihamini kumpendezesha mwanamke  wa kisasa kuwa na mtazamo mkubwa kulingana na mwanamke anayekuwa ametumia bidhaa zao .



Kujitokeza kudhamini kwa wadhamini hao  mwaka huu  maandalizi ya shindano hilo tayari yameanza katika sehemu mbali mbali  nchini  mratibu wa shindano la Miss dar City centre  2016 Nancy Joseph anasema kuwa  tayari wameanza  maandali ya Shindano hilo  ambapo wameanza kuwapokea washiriki wenye sifa hozo.

"Wiki hii tumeanza mchakato wa kuanza kuwapata   mabinti wanaotaka kuchuana kumpata Miss dar City centre mwaka huu ambapo wanatakiwa  kufika Club Maisha Kijitonyama , tunaomba warembo wafike kwa wingi  kwani vigezo vya kujiunga na mazoezi  wataambiwa mara watakapofika  ,"anasema Nancy .

Nancy anasema kuwa   tayari waishatafuta  wadhamini  wa shiondano hilo na baadhi ya wadhamini tayari wameahidi kudhamini shindano .


Hata  hivyo wadhamini  wa shindano la Miss dar City centre 2014  Prima Afro Total Hair Collection  wamesema  shindano hilo kawaida huwa ni lenye mafanikio lilikuwa na mafanikio katika wakati wa msimu uliopita  mwaka 2014  ambapo tulijitokeza kudhamini kwa mara ya kwanzambapo kwa sasa pia tayari tumejitokeza tena.

 Afisa masoko wa kampuni  hiyo ya uuzaji wa hao wa nywelekwa mujibu wa   Idd Gumbwe anasema bidhaa zao ni bora na zinahusu uzuri wa mwanamke na kwa kuwa bidha zao ni bora wanaamini kuwa watanogesha shindano hilo kwa warembowa shindano hilo .


 Idd anasema kuwa  mara nyingi mashindano hayo yamekuwa na hali ya kipekee katika kuwa na mvuto kwa jamii hivyo  walijitokeza kudhamini shindano hilo  kama sehemu ya kujitoa kwa kampuni yao kwa jamii  na hatimaye mshindi   Jihan Dimechk  kutangazwa na kutwaa  taji la  Miss dar City centre 2014  .

Miss dar City centre ni moja ya shindano bora katika shindano la Miss Tanzania kwani limekuwa likitoa wanyange bora kabisa na mara kwa mara wameweza kutikisa katika kumi bora za kitaifa za shindano hilo.

 Miss Dar City Centre linatarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumamosi hii, Aprili 23 ndani ya Ukumbi wa Golden Tulip City Center Jijini Dar , ukiwa ni ufunguzi  maalum kwa ajili ya kuelekea katika shindano lenyewe litakalofanyika Mei 21, mwaka huu.

Naye msimamizi mkubwa wa shindano hilo  Eric Janguo naye alipambanua kuwa kwa mwaka huu wamejipanga kupata warembo wenye vigezo vingi watakao weza kufanya vyema katika shindano hilo hadi ngazi ya taifa.

Badhi ya wadhamini wengine waliojitokeza kudhamini ni Golden Tulip City Center Jijini Dar es Salaam,Maji ya Zan Aqua , Tv 1, EML M&J Printing, Super Model Collections .



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.