Skip to main content

Zanaki yazidi ‘kutesa’


Zanaki imeshika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Zanaki imeshika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Shule ya Msingi Zanaki, iliyopo Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam imeendelea kuongoza kwa ubora kitaaluma kwa mwaka wa pili mfululizo baada kushika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Pia Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko kwa shule zote za msingi katika manispaa hiyo.
Akitanganza ushindi wa Zanaki, Afisa Elimu Msingi wa Manispaa hiyo, Elizabeth Thowa, alisema shule hiyo imeendelea kuwa kinara kitaaluma baada ya wanafunzi wake kupata alama nyingi za A na B kwa masomo yote.
Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko
Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko
Alisema Zanaki imefanikiwa kushika nafasi ya 10 kwa ubora kitaaluma kwa kushirikisha shule zote za serikali na binafsi kwa darasa la saba, huku ikishika nafasi ya nne kwa ubora wa mitihani ya darasa la nne kwa shule zote.
Thowa alikuwa akizungumza wakati wa kilele cha wiki ya Elimu na Mazingira ya manispaa hiyo, iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja ambako shule za msingi na sekondari za serikali na binafsi zilishiriki na kutunukiwa zawadi ya vyeti, vikombe na vifaa vya usafi.
Mapema akizungumza katika hafla hiyo iliyotanguliwa na maandamano yaliyopokelewa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, Afisa Elimu (Sekondari), Violet Mlowosa, alisema maadhimisho hayo hufanyika kila mwaka kwa lengo la kujengea hamasa wanafunzi na walimu kufanya bidii kitaaluma na kutunza mazingira.
Moja ya mazingira ya shule ya msingi Zanaki
Moja ya mazingira ya shule ya msingi Zanaki
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Zanaki, Salim Mgamba, alisema shule yake itaendelea ‘kutesa’ kitaaluma kwa sababu wazazi na walezi wanasaidia kila kinachohitajika, hivyo kuwarahisishia walimu na viongozi wa elimu manispaa hiyo kutimiza majukumu yake.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.