Skip to main content

Zanaki yazidi ‘kutesa’


Zanaki imeshika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Zanaki imeshika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Shule ya Msingi Zanaki, iliyopo Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam imeendelea kuongoza kwa ubora kitaaluma kwa mwaka wa pili mfululizo baada kushika nafasi ya pili kwa darasa la saba kati ya shule 167 za msingi za serikali.
Pia Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko kwa shule zote za msingi katika manispaa hiyo.
Akitanganza ushindi wa Zanaki, Afisa Elimu Msingi wa Manispaa hiyo, Elizabeth Thowa, alisema shule hiyo imeendelea kuwa kinara kitaaluma baada ya wanafunzi wake kupata alama nyingi za A na B kwa masomo yote.
Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko
Zanaki imeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika mitihani ya darasa la pili ikiongozwa na Msimbazi Mchanganyiko
Alisema Zanaki imefanikiwa kushika nafasi ya 10 kwa ubora kitaaluma kwa kushirikisha shule zote za serikali na binafsi kwa darasa la saba, huku ikishika nafasi ya nne kwa ubora wa mitihani ya darasa la nne kwa shule zote.
Thowa alikuwa akizungumza wakati wa kilele cha wiki ya Elimu na Mazingira ya manispaa hiyo, iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja ambako shule za msingi na sekondari za serikali na binafsi zilishiriki na kutunukiwa zawadi ya vyeti, vikombe na vifaa vya usafi.
Mapema akizungumza katika hafla hiyo iliyotanguliwa na maandamano yaliyopokelewa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, Afisa Elimu (Sekondari), Violet Mlowosa, alisema maadhimisho hayo hufanyika kila mwaka kwa lengo la kujengea hamasa wanafunzi na walimu kufanya bidii kitaaluma na kutunza mazingira.
Moja ya mazingira ya shule ya msingi Zanaki
Moja ya mazingira ya shule ya msingi Zanaki
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Zanaki, Salim Mgamba, alisema shule yake itaendelea ‘kutesa’ kitaaluma kwa sababu wazazi na walezi wanasaidia kila kinachohitajika, hivyo kuwarahisishia walimu na viongozi wa elimu manispaa hiyo kutimiza majukumu yake.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...