Skip to main content

PACQUIAO ATUA LAS VEGAS



Manny Pacquiao akiwasalimia mashabiki wake waliofika kumpokea alipowasili katika Hoteli ya Mandalay Bay jijini Las Vegas jana usiku.
Basi lililobeba wageni na timu ya walimu wa mafunzo wa Pacquiao likielekea Las Vegas jana mchana.
Pacquiao akiwa amembeba mwanaye aitwaye Israel baada ya kushuka kwenye basi lake. (KILONGE)
Manny Pacquiao (36) na Floyd Mayweather (38) watazichapa usiku wa Jumamosi, Mei 2, mwaka huu kwenye Ukumbi wa MGM Grand uliopo Las Vegas, Marekani.
Manny alitupia picha hii katika akaunti yake ya on Instagram akiwa kwenye basi lake la kifahari wakati akielekea Las Vegas akitokea Los Angeles alipokuwa ameweka kambi.
Pacquiao akijifua kwa mara ya mwisho jijini Los Angeles kabla ya kuelekea Las Vegas.
Gari lililokuwa limembeba Manny likiwa limezingirwa na mashabiki wake nje ya ukumbi wa mazoezi huko Los Angeles wakitaka kumuaga kabla ya kuelekea Las Vegas.
Waendesha pikipiki wenye bendera za Taifa la Filipino wakilisindikiza basi lililobeba watu wa Manny kuelekea Las Vegas.
-Atua Las Vegas kwa basi sambamba na wapambe wake akitokea Los Angeles alipokuwa akijifua
-Ataka kumchakaza Mayweather katika kila raundi
-Akataa sherehe rasmi za mapokezi yake, kuandaa sherehe yake leo kwenye hoteli
BONDIA mahiri kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao (36) jana usiku ametua jijini Las Vegas tayari kwa pambano lake la kihistoria dhidi ya Floyd Mayweather. Pambano hilo litapigwa Mei 2, mwaka huu katika Ukumbi wa MGM Grand uliopo Las Vegas, Marekani.
Pacquiao ametua kwa basi akiambatana na wapambe wake akitokea Los Angeles umbali wa maili 270 alipokuwa akijifua.
Bondia huyo amesema anataka kumchakaza Mayweather katika kila raundi na hategemi sana kumchapa kwa knock-out (KO).
Manny pia amekataa sherehe rasmi za mapokezi yake na kusema kuwa ataandaa sherehe yake leo kwenye hoteli aliyofikia ya Mandalay Bay.
Rekodi:
Mayweather ameshinda mapambano yake yote 47, kati yake 26 ameshinda kwa knock-out (KO), kwenye miaka yake 19 ya ubondia wa kimataifa.
Pacquiao yeye ameshinda mapigano 57 kati ya 64  aliyopigana tangu alipoanza mapigano ya kimataifa mwaka 1995, kati ya hayo 38 ameshinda kwa knock-out (KO), akipoteza 5 na kutoka sare 2.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.