Skip to main content

UDA, BRT kufanya kazi pamoja kwa miaka miwili


Mradi wa mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Vituo vya mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Umoja wa wamiliki wa mabasi ya abiria Dar es Salaam (Darcoboa) na Usafiri wa Dar es Salaam (UDA) wameanzisha kampuni mpya ambayo itaendesha mradi unaosubiriwa kwa hamu wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.
Kampuni hiyo, UDA Rapid Transit, imeingia mkataba wa miaka miwili na Wakala wa DART (Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar) ambapo kampuni hiyo itanunua mabasi 76 yatakayofanya kazi katika mardi wa BRT.
Mradi huo unatarajiwa kuanza kufanya kazi miezi minne kuanzia sasa.
Usafiri wa Dar es Salaam
Usafiri wa Dar es Salaam
Mkurugenzi mtendaji wa wakala wa DART, Bi Asteria Mlambo, aliwakilisha upande wa serikali kwa kusaini katika hafla hiyo huku mwenyekiti wa Simon Group amao wanaendesha UDA, Bw Robert Kisena, na mwenyekiti wa Darcoboa Sabri Mabruki waliwakilisha UDA Rapid Transit wakati wa kusaini makubaliano hayo ambayo yalifanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw Said Meck Sadiki.
Bw Sadiki mwenyewe na Waziri wa nchi katika ofisi za Waziri Mkuu ambaye anahusika na Uongozi wa Mikoa na Serikali za mitaa Bi Hawa Ghasia alishudia kutiliana saini huko.
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
“Huu ni ushuhuda dhahiri kwamba serikali inaweza kufanya kazi na sekta binafsi kwa ajili ya manufaa ya umma,” alisema.
Mabasi 76 yatakayonunuliwa yatakuwa ya aina mbili. Moja litakuwa na urefu wa mita 18 ambalo litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 150 kila mmoja na jingine litakalokuwa na urefu wa mita 12 litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 80 kwa mkupuo.
Chanzo: The Citizen

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.