Skip to main content

UDA, BRT kufanya kazi pamoja kwa miaka miwili


Mradi wa mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Vituo vya mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Umoja wa wamiliki wa mabasi ya abiria Dar es Salaam (Darcoboa) na Usafiri wa Dar es Salaam (UDA) wameanzisha kampuni mpya ambayo itaendesha mradi unaosubiriwa kwa hamu wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.
Kampuni hiyo, UDA Rapid Transit, imeingia mkataba wa miaka miwili na Wakala wa DART (Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar) ambapo kampuni hiyo itanunua mabasi 76 yatakayofanya kazi katika mardi wa BRT.
Mradi huo unatarajiwa kuanza kufanya kazi miezi minne kuanzia sasa.
Usafiri wa Dar es Salaam
Usafiri wa Dar es Salaam
Mkurugenzi mtendaji wa wakala wa DART, Bi Asteria Mlambo, aliwakilisha upande wa serikali kwa kusaini katika hafla hiyo huku mwenyekiti wa Simon Group amao wanaendesha UDA, Bw Robert Kisena, na mwenyekiti wa Darcoboa Sabri Mabruki waliwakilisha UDA Rapid Transit wakati wa kusaini makubaliano hayo ambayo yalifanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw Said Meck Sadiki.
Bw Sadiki mwenyewe na Waziri wa nchi katika ofisi za Waziri Mkuu ambaye anahusika na Uongozi wa Mikoa na Serikali za mitaa Bi Hawa Ghasia alishudia kutiliana saini huko.
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
“Huu ni ushuhuda dhahiri kwamba serikali inaweza kufanya kazi na sekta binafsi kwa ajili ya manufaa ya umma,” alisema.
Mabasi 76 yatakayonunuliwa yatakuwa ya aina mbili. Moja litakuwa na urefu wa mita 18 ambalo litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 150 kila mmoja na jingine litakalokuwa na urefu wa mita 12 litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 80 kwa mkupuo.
Chanzo: The Citizen

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...