Skip to main content

UDA, BRT kufanya kazi pamoja kwa miaka miwili


Mradi wa mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Vituo vya mabasi yaendayo kasi ukiendelea jijini Dar es Salaam
Umoja wa wamiliki wa mabasi ya abiria Dar es Salaam (Darcoboa) na Usafiri wa Dar es Salaam (UDA) wameanzisha kampuni mpya ambayo itaendesha mradi unaosubiriwa kwa hamu wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.
Kampuni hiyo, UDA Rapid Transit, imeingia mkataba wa miaka miwili na Wakala wa DART (Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar) ambapo kampuni hiyo itanunua mabasi 76 yatakayofanya kazi katika mardi wa BRT.
Mradi huo unatarajiwa kuanza kufanya kazi miezi minne kuanzia sasa.
Usafiri wa Dar es Salaam
Usafiri wa Dar es Salaam
Mkurugenzi mtendaji wa wakala wa DART, Bi Asteria Mlambo, aliwakilisha upande wa serikali kwa kusaini katika hafla hiyo huku mwenyekiti wa Simon Group amao wanaendesha UDA, Bw Robert Kisena, na mwenyekiti wa Darcoboa Sabri Mabruki waliwakilisha UDA Rapid Transit wakati wa kusaini makubaliano hayo ambayo yalifanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw Said Meck Sadiki.
Bw Sadiki mwenyewe na Waziri wa nchi katika ofisi za Waziri Mkuu ambaye anahusika na Uongozi wa Mikoa na Serikali za mitaa Bi Hawa Ghasia alishudia kutiliana saini huko.
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
Mradi wa BRT jijini Dar es Salaam
“Huu ni ushuhuda dhahiri kwamba serikali inaweza kufanya kazi na sekta binafsi kwa ajili ya manufaa ya umma,” alisema.
Mabasi 76 yatakayonunuliwa yatakuwa ya aina mbili. Moja litakuwa na urefu wa mita 18 ambalo litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 150 kila mmoja na jingine litakalokuwa na urefu wa mita 12 litakuwa na uwezo wa kubeba abiria 80 kwa mkupuo.
Chanzo: The Citizen

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...