Skip to main content

Escrow yampa tuzo Kafulila


Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, ametunukiwa tuzo ya kutambua harakati zake za kutetea haki za binadamu katika mazingira hatarishi nchini, likiwamo sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Alikabidhiwa tuzo hiyo jana ikiwa imepita takriban mwaka mmoja tangu aibue bungeni kashfa ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 200 kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Kashfa ya akaunti hiyo ilihusisha baadhi ya maofisa waandamizi wa serikali, wakiwamo mawaziri, katibu mkuu wa wizara, aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali (AG), viongozi wa dini na majaji.
Mbali na Kafulila, wengine waliotunukiwa tuzo kama hiyo, ni pamoja na waliokuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK); Salma Said na Adil Mohamed.
‘Wajumbe’ hao walitunukiwa tuzo hiyo kutokana na kuwa kati ya watu waliokuwa wakifuatiliwa na mtu asiyefahamika kutokana na kutuhumiwa kuipigia kura ya hapana katiba inayopendekezwa katika Bunge hilo.
Mwingine aliyetunukiwa tuzo kama hiyo ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Wafugaji Wanawake Loliondo, Maanda Ngoitick, ambaye alifikia kudhalilishwa kwa kuitwa kuwa siyo raia wakati akiwatetea wanawake wa jamii hiyo.
Tuzo hizo zilizo andaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) zilitolewa katika maadhimisho ya Siku ya Watetezi wa Haki za Binadamu Duniani, jijini Dar es Salaam jana.
Harakati zao hizo zimetambuliwa na Ripoti ya Hali ya Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania ya Mwaka 2014 iliyotolewa na THRDC jana.
Katika maadhimisho hayo, maonyesho ya mashirika, taasisi, wadau, watetezi, wanaharakati, kikiwamo Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Jukwaa la Katiba (Jukata) na Jumuiya ya Ulaya (EU) na Chama cha Albino Tanzania (TAS), yalizinduliwa.
Mgeni rasmi katika maadhimisho alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Tom Bahame Bahame, ambaye alisema tume yake imejipanga kuzishirikisha taasisi mbalimbali katika kuhakikisha maadili ya uongozi yanafuatwa.
Alisema pia itahakikisha haki ya kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na ushiriki wa wananchi katika mchakato wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu, mwaka huu.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...