Skip to main content

Machafuko Afrika Kusini



Ghasia za kuwashambulia wageni zilizoanza Durban wiki mbili zilizopita zimesababisha vifo vya Watanzania wawili
Ghasia za kuwashambulia wageni zilizoanza Durban wiki mbili zilizopita zimesababisha vifo vya Watanzania wawili
Watanzania wawili wanaoishi Afrika Kusini wameuawa kwa kile kinachohusisha muendelezo wa hofu na chuki dhidi ya wageni ambao umetikisa hivi karibuni.
Taarifa ya vifo imekuja baada ya Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe, kutangaza kutoka Oman kwamba Tanzania imeanza kuondoa raia wake kutoka Yemen ambapo kumekumbwa na vita ya umwagaji damu baina ya majeshi ya serikali na waasi.
Wageni wakiwa na silaha za jadi tayari kupamba na wenyeji waliokuwa wakivamia maduka yao mjini Durban
Wageni wakiwa na silaha za jadi tayari kupamba na wenyeji waliokuwa wakivamia maduka yao mjini Durban
Nchini Afrika Kusini, mwakilishi wa Watanzani waishio nchini humo aliiambia The Citizen jana, kwamba watu wawili wameuawa katika ghasia za kushambulia wageni ambazo zimesababisha vifo vya watu watano kutoka mataifa mengine na kuwakoseasha makazi maelfu katika mji wa Durban.
Bw Bonka Kusekela, mwakilishi wa Watanzania, alitaja majina ya marehemu kama Rashid Jumanne, muuza sigara ambaye aliuawa Jumanne huko Stenga, mtaa uliopo Durban na mwingine ni Athumani maarufu kama China Mapepe, ambaye aliuawa Jumanne katika jiji kubwa la jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini.
Jamaa akiwa na panga huku akishangiliwa na wenzake mjini Johannesburg
Jamaa akiwa na panga huku akishangiliwa na wenzake mjini Johannesburg
Kwa mujibu wa Kusekela, Rashid alipigwa risasi na mtu asiyejulikana wakati akifanya biashara yake wakati Athumani, mfungwa katika gereza kurekebisha makosa la Westville alichoma kisu hadi kufa na wafungwa wenzake.
“Ninavyozungumza nanyi sasa tuko katika maandamano ya amani na baadhi ya wenyeji mjini Durban kulaani mauaji haya ya kikatili lakini tumeshapoteza Watanzania wawili mpaka sasa,” aliiambia The Citizen kwa simu kutokea Durban.
Mtuu mmoja akiwa ameshika jiwe kufuatia ghasia hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu watano
Mtuu mmoja akiwa ameshika jiwe kufuatia ghasia hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu watano
Lakini kwa majibu ya haraka, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Elibariki Ngoyai Lowassa alisema hakuna taarifa rasmi kwamba watu wawili wamefariki kutokana muendelezo wa ghasia dhidi ya wageni.
Akizungumza na The Citizen kutoka Afrika Kusini, hatahivyo, Bw Lowassa, alithibitisha vifo vya Watanzania wawili.
Polisi wa Afrika Kusini wakitumia risasi za plastiki kutawanya magenge ya wahamiaji waliokuwa wakipambana nao
Polisi wa Afrika Kusini wakitumia risasi za plastiki kutawanya magenge ya wahamiaji waliokuwa wakipambana nao
Chanzo: The Citizen

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...