Skip to main content

Machafuko Afrika Kusini



Ghasia za kuwashambulia wageni zilizoanza Durban wiki mbili zilizopita zimesababisha vifo vya Watanzania wawili
Ghasia za kuwashambulia wageni zilizoanza Durban wiki mbili zilizopita zimesababisha vifo vya Watanzania wawili
Watanzania wawili wanaoishi Afrika Kusini wameuawa kwa kile kinachohusisha muendelezo wa hofu na chuki dhidi ya wageni ambao umetikisa hivi karibuni.
Taarifa ya vifo imekuja baada ya Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe, kutangaza kutoka Oman kwamba Tanzania imeanza kuondoa raia wake kutoka Yemen ambapo kumekumbwa na vita ya umwagaji damu baina ya majeshi ya serikali na waasi.
Wageni wakiwa na silaha za jadi tayari kupamba na wenyeji waliokuwa wakivamia maduka yao mjini Durban
Wageni wakiwa na silaha za jadi tayari kupamba na wenyeji waliokuwa wakivamia maduka yao mjini Durban
Nchini Afrika Kusini, mwakilishi wa Watanzani waishio nchini humo aliiambia The Citizen jana, kwamba watu wawili wameuawa katika ghasia za kushambulia wageni ambazo zimesababisha vifo vya watu watano kutoka mataifa mengine na kuwakoseasha makazi maelfu katika mji wa Durban.
Bw Bonka Kusekela, mwakilishi wa Watanzania, alitaja majina ya marehemu kama Rashid Jumanne, muuza sigara ambaye aliuawa Jumanne huko Stenga, mtaa uliopo Durban na mwingine ni Athumani maarufu kama China Mapepe, ambaye aliuawa Jumanne katika jiji kubwa la jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini.
Jamaa akiwa na panga huku akishangiliwa na wenzake mjini Johannesburg
Jamaa akiwa na panga huku akishangiliwa na wenzake mjini Johannesburg
Kwa mujibu wa Kusekela, Rashid alipigwa risasi na mtu asiyejulikana wakati akifanya biashara yake wakati Athumani, mfungwa katika gereza kurekebisha makosa la Westville alichoma kisu hadi kufa na wafungwa wenzake.
“Ninavyozungumza nanyi sasa tuko katika maandamano ya amani na baadhi ya wenyeji mjini Durban kulaani mauaji haya ya kikatili lakini tumeshapoteza Watanzania wawili mpaka sasa,” aliiambia The Citizen kwa simu kutokea Durban.
Mtuu mmoja akiwa ameshika jiwe kufuatia ghasia hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu watano
Mtuu mmoja akiwa ameshika jiwe kufuatia ghasia hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu watano
Lakini kwa majibu ya haraka, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Elibariki Ngoyai Lowassa alisema hakuna taarifa rasmi kwamba watu wawili wamefariki kutokana muendelezo wa ghasia dhidi ya wageni.
Akizungumza na The Citizen kutoka Afrika Kusini, hatahivyo, Bw Lowassa, alithibitisha vifo vya Watanzania wawili.
Polisi wa Afrika Kusini wakitumia risasi za plastiki kutawanya magenge ya wahamiaji waliokuwa wakipambana nao
Polisi wa Afrika Kusini wakitumia risasi za plastiki kutawanya magenge ya wahamiaji waliokuwa wakipambana nao
Chanzo: The Citizen

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.