Skip to main content

Indonesia: watu 8 waliohukumiwa adhabu ya kifo wauawa

Makati, Ufilipino, maandamano ya kuunga mkono Mary Jane Veloso ambaye ameponea kuuawa baada ya adhabu yake kuahirishwa Jumanne Aprili 28 mwaka 2015.
Makati, Ufilipino, maandamano ya kuunga mkono Mary Jane Veloso ambaye ameponea kuuawa baada ya adhabu yake kuahirishwa Jumanne Aprili 28 mwaka 2015.
Na RFI
Nchini Indonesia, watu wanane waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la biashara ya madawa ya kulevya wameuawa Jumanne usiku wiki hii kwa kupigwa risasi.
Raia saba wa kigeni ikiwa ni pamoja na raia wawili kutoka Austalia, raia mmoja wa Brazil, raia watatu wa Nigeria na raia mmoja wa Gabon ni miongoni mwa waliouawa. Raia mmoja kutoka Ufilipino ambaye ni miongoni mwa waliohukumiwa adhabu ya kifo amenusurika na adhabu hiyo katika dakika za mwisho.
Kama walivyotangaza, viongozi wa Indonesia wametekeleza adhabu hiyo ya kifo usiku wa manane Jumanne wiki hii. Raia hao ikiwa ni pamoja na raia wawili wa Australia, raia mmoja wa Brazil, raia watatu wa Nigeria, raia mmoja wa Ghana na raia mmoja wa Indonesia wameuawa kwa kupigwa risasi katika jela la kisiwa kiliyo mbali cha Nusakambangan.
Pamoja na shinikizo mbalimbali za kimataifa na maombi kutoka kwa ndugu na jamaa za watu hao waliokua wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa ajili ya msamaha, Jakarta ilibakia na msimamo wake mpaka mwisho. Rais Joko Widodo, ambaye aliingia madarakani katika majira ya joto kufuatia sehemu ya kampeni yake ya kupambana na madawa ya kulevya, ambapo alisema kutowasamehe watu watanojihusisha na madawa hayo ya kulevya. Utekelezaji wa adhabu kwa watu hao waliohukumiwa ulikuwa unatarajiwa.
Katika dakika za mwisho, mmoja kati ya watu hao waliohukumiwa kifo, mwanamke ambaye ni raia wa Ufilipino amenusurika kuuawa, jambo ambalo limewashangaza wengi. Rais Joko Widodo ameahirisha utekelezaji wa adhabu ya kifo kwa raia huyo wa Ufilipino baada ya kujisalimishana kudai kuwa alikua akijihusisha na biashara ya binadamu. Lakini uamzi huo wa kuahirisha utekelezaji wa adhabu hiyo ni wa muda mfupi kwa raia huyo wa Ufilipino pamoja na Serge Atlaoui, raia wa Ufaransa, ambaye aliondolewa katika dakika za mwisho kwenye orodha ya watu ambao walikua wanatarajiwa kuuawa.
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbot amelaani mauaji hayo na kuyaita ya kinyama na amemwambia balozi wake nchini Indonesia kurudi nyumbani.
Brazil pia imelaani hatua ya kuawa kwa raia wake mmoja, huku
Mataifa ya Magharibi pamoja na Mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani yamekuwa yakitoa wito kwa Indonesia kutotekeleza hatua hiyo bila mafanikio.
Indonesia imetetea uamuzi wake na kusema inapambana na vita dhidi ya dawa za kulevya nchini humo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...