Skip to main content

SHEHE AMUONYA WASTARA


Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.
MWANDISHI WETU
KUTOKANA na matukio mabaya yanayomtokea staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka 'mabalaa' yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha.
Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa mara kwani hivi karibuni alianguka chooni na kabla hajakaa sawa akapata ajali ya gari na kuumia usoni.Shehe Shaban alisema staa huyo anatakiwa kumrudia Mungu kwani kawaida kwa mtu anayetokewa na majanga hayo kuna uwezekano mkubwa wa kuwa amebadili aina ya maisha kutoka katika yale yanayompendeza na kuishi yale yanayomchukiza Mungu.
"Wastara anatakiwa kumrudia Mungu wake, aachane na mambo ya duniani maana katika dini ya Kiislamu, usiposwali unaweza kupatwa na majanga ya ajabu kila kukicha kama hivi yanavyomtokea yeye," alisema shehe huyo.
Akizungumza na gazeti hili, mdau mmoja wa sanaa ya filamu ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini, alisema Wastara amebadilika kwani maisha aliyokuwa akiishi ya kujiheshimu sana kipindi mumewe Sajuki akiwa hai ni tofauti na sasa kwani amekuwa ni mtu wa kujiachia sana hivyo anatakiwa kubadilika.
"Wastara anatakiwa kubadili nyendo zake, zamani tulikuwa hatumuoni katika skendo magazetini lakini siku hizi anatokelezea kila wakati," alisema mdau huyo.Baada ya kupata nasaha za shehe huyo, gazeti hili lilimtafuta Wastara ili kujua kama ni kweli ameacha kuswali au la!"Mbona naswali sana! Mimi najua haya yanayonitokea ni majaribu tu na katika maisha kujaribiwa kupo na hata kwenye vitabu vya dini jambo hilo limeelezewa kwa hiyo sioni kitu kigeni," alisema Wastara.chanzo:GPL(Muro)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.