Skip to main content

Wasomi Watoa neno miaka 19 ya kifo cha Baba wa Taifa



Miaka  19 tangu baba wa taifa afariki tarehe  14, Oktoba mwaka 1999 viongozi na wananchi kupitia majukwaa wamemuenzi kwa kuweka mijadala mbalimbali iliyolenga kujikumbusha yale tuliyohusiwa na baba wa taifa.
 
Akizungumza na Blogu ya jamii msomi na mwanahistoria Francis Daudi ameielezea sikuuu hii ya kumbikizi ya Mwalimu Nyerere hasa katika uongozi wake na uwezo wa kuunganisha makabila 120, bila vita.

 "Nafikiri kila mtanzania anaweza ongea kitu juu ya Baba wa Taifa letu, swali kama Taifa ‘tumemis’  nini toka kwa Mwalimu,
jibu linaweza lisiwe sahihi kwani Mwalimu hayupo; Na kusema angelikuwepo angelifanya hivi au vile sio sawa. Lakini ilipaswa lijibiwe tu" ameeleza.

Akieleza kuhusu mambo ambayo taifa linatamani kutoka kwa Mwalimu ni pamoja na Mwalimu kuwa  mwandishi mzuri sana wa vitabu ambapo aliandika vitabu vingi na pia alitafsiri vitabu vingine.

" Nafikiri Taifa hasa hiki kizazi chetu cha Vijana ‘ tumemis’ vitabu vipya vilivyoandikwa na Mwalimu Mwenyewe" amesema

Aidha amesema kuwa;  "Taifa limemis ile Sauti ya Ukali ya Baba wa Taifa, Ikionya na kukemea mambo yasipokwenda vizuri. Leo sauti ile tunaisikia ikikemea kupitia vyombo vya habari lakini hatunaye na
 baadhi ya mambo alionya siku nyingi yamebaki kuwa na uhalisia hadi leo. Maneno ya Mwalimu yamebaki na ‘Ukali’ wake ule ule bila kusukumwa kando na nguvu ya historia" ameeleza 

Pia amesema kuwa taifa limekumbuka uadilifu wa mwalimu, kwani angekemea vikali viongozi ambao wanajisahau kuwa cheo ni dhamana. Wasiojua kuwa Uongozi ni huduma. Wasiosimamia haki na kupinga rushwa na ubadhirifu
sauti nzito ya Kibaba ingekemea vikali uvaaji mbovu wa vijana, Ungekemea mno vijana wasiopenda kufanya kazi na wanaouza mali za nyumbani ili ‘kubeti’. Nafikiri angekemea miziki isiyo na adabu!" Amefafanua zaidi.

Pia amesema kuwa Mwalimu angekemea matumizi mabovu ya Kiswahili pamoja na mazongezonge yote ya uchafuzi wa lugha.

Amesema kuwa Mwalimu atakumbukwa kwa kuwa mwana wa Afrika, Mtatuzi wa migogoro na mpenda Amani kindakindaki. Bila shaka Umoja wa Afrika na Mashirika makubwa yangemtumia zaidi katika kutatua migogoro mingi ndani ya Afrika.

Kiufupi Mwalimu angeweza kututangaza na kuitetea vizuri ile heshima nje ya mipaka ya Taifa letu.

Na ameeleza kuwa Mwalimu alipendwa na watu wa dini zote, kabila zote na rika zote. Alikuwa sio mtu wa kusita. akifanya maamuzi, Anasonga mbele na kuacha historia ihukumu. Pale alipogundua amekosea alikiri hadharani na kusema wazi ilikuwa ni KOSA.

Kuhusiana na  Misimamo na Matendo yake Mwanahistoria huyo amesema kuwa, ingekuwa ni kielelezo tosha kwa viongozi vijana ambao hatujui moja kwa moja alivyokuwa nje ya hotuba na maandishi tunayosoma
wakati Fulani, Mwaka 1994 aliombwa kuwa mgeni rasmi kwenye Sherehe ya Siku ya Wafanyakazi kitaifa. Mwalimu alikataa mwaliko huo, aliwaeleza wazi kuwa hayo majukumu ya kitaifa ni ya Rais aliye madarakani, hivyo aliyestahili heshima hiyo si yeye bali ni Rais Ali Hassan Mwinyi.

 Amesema kuwa; "Nafikiri angekuwepo angeonesha kwa vitendo kiongozi jinsi kiongozi anapaswa kuenenda na ni aibu kubwa kujiita Mwanafunzi au Muumini wa Mwalimu kama matendo yako hayaakisi Fikra zake" ameeleza Francis.

Na ameshauri kuhusu kujitafakari, na kuenenda vizuri katika njia nzuri ambazo Mwalimu, Mjezi makini wa Taifa alipenda tupite kwa ustawi wetu tukikengeuka, Historia itatung’ong’a na kutuhukumu daima.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...