Skip to main content

Wananchi wa Mpwapwa wafanyiwa upimaji wa afya na utabibu




CHAMA cha madaktari nchini kwa kushirikiana na Wilaya ya Mpwapwa
pamoja na Shirikisho la Vyama Vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza
Tanzania (TANCDA)kimefanya kambi ya upimaji wa afya na utabibu
kwa wananchi wa Mpwapwa.

Akizungumza kwa njia ya simu jana kutoka mkoani humo Meneja Mradi
wa Shirikisho la Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza(TANCDA) Happy Nchimbi
alisema kuwa kambi hiyo ya upimaji wa afya ulianza Oktoba 21 na
kumalizika (kesho) Oktoba 28 mwaka huu.
Pichani ni Mhe Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na wataalam
baada ya kupima afya yake,kutoka kushoto ni Rais wa chama
cha madaktari Tanzania dr Obadia Yongole, TANCDA project
manager Happy Nchimbi, waziri ofisi ya rais tamisemi mhe
Selemani Jafo,muuguzi Anna Lamerk,Muuguzi Judith Adhiambo
na mwisho ni dr Alexander Missungwa.

Happy amesema kuwa katika kambi hiyo waliweza kutoa huduma ya upimaji
Bure wa magonjwa yasiyoambukiza ambao umefanywa na wao TANCDA
nakuwa umeweza kuwapima wananchi zaidi ya 1500 ambapo wanachi
waliendelea kujitokeza kupata huduma hiyo.

Picha ya pili Selemani Jafo,waziri wa nchi Ofisi ya Rais 
Tamisemi akiwa anachekiwa kiwango cha sukari kwenye damu na
muuguzi Sister Anna Lameck na pembeni ni sister Judith Adhiambo.

"Wananchi wamefurahi sana na huduma hiyo ambapo wengi wao walikuwa
na tatizo la shinikizo la damu bila wao wenyewe kujifahamu,lakini
pia wengi wamegundulika kuwa na uzito wa juu,"amesema Happy.

Happy alisema wananchi wa Mpwapwa wanahitaji sana elimu ya magonjwa
yasiyo ya kuambukiza na visababishi vyake hasa ulaji unaofaa,ufanyaji
mazoezi na kupunguza matumizi ya pombe kwa wingi.

Aidha amesema kuwa katika zoezi hilo waziri wa nchi ofisi ya TAMISEMI
ndiye alikuwa mgeni rasmi na alijionea  zoezi hilo likiendelea,
na kuona  uhitaji wake kwa wananchi.

Aliongeza kusema kuwa huduma za upasuaji mbalimbali zilitolewa, na
madakari bingwa wa magonjwa ya watoto, kina mama, mifupa, pua,maskio,
macho pamoja na magonjwa ya ndani, upimaji wa virusi vya ukimwi na
pia kulikuwa na uchangiaji wa damu na wataalumu wa dawa za
usingizi pia walikuwepo.

Meneja huyo alisema upasuaji zaidi ya 100 ulifanyika ambapo wananchi
wengi wamepata faraja sana.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...