Skip to main content

January Makamba : fursa za mazingira chanzo cha kuwainua kiuchumi wananchi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na
Mazingira January Makamba ,amewataka watanzania
kutumia fursa za mazingira kama  chanzo cha kuwainua kiuchumi.
 
Mhe. Makamba amesema kuwa changamoto za mazingira
zikitumika vyema zitaweza  kutengeneza fursa nyingi za katika
kaya na jamii.
Amesema kuwa serikali imekuwa na harakati sahihi  katika
kutatua vikwanzo kwa wajasiriamali ambao wamewekeza
kupitia mazingira ili  kuhakikisha wanakuwa katika mazingira
mazuri.
"Bado tunaendelea kutumia mbinu mbalimbali za kuhakikisha
wananchi wanapata fursa za kiuchumi ambazo zinaondoa kero
ya uchafuzi wa mazingira,"amesema Makamba.
Amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga vema 
kuaendelea na mipango ya kuzuia  mifuko ya plastic ambapo
sasa wamesitisha utoa vibali kwa kiwanda kinachotaka
kuzalisha mifuko hiyo a nchini kwa kuwa imeonekana
inachafua mazingira.
Wakichangia mkakati huo wadau wa mazingira jijini Dar es
Salaam wamesema kuwa ili kufikia malengo serikali inapaswa
kutoa ushirikiano kwa wajasiriamali wadago ambao mlengo
wao  tayari umeonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya
mazingira.
Naye Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani
(UNEP) Joyce Msuya, akichangia mada kwenye maonyesho ya
mjadala huo kuhusu fursa za kiuchumi katika mazingira,
ameweza kutoa ushauri na kusaidia kutatua changamoto za
mazingira.
Msuya amesema kuwa ili kufikia malengo inapaswa
kubadilisha wataalamu jambo ambalo litasaidia kuboresha
utendaji katika kupata fursa za kiuchumi kupitia changamoto
za mazingira.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.