Skip to main content

January Makamba : fursa za mazingira chanzo cha kuwainua kiuchumi wananchi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na
Mazingira January Makamba ,amewataka watanzania
kutumia fursa za mazingira kama  chanzo cha kuwainua kiuchumi.
 
Mhe. Makamba amesema kuwa changamoto za mazingira
zikitumika vyema zitaweza  kutengeneza fursa nyingi za katika
kaya na jamii.
Amesema kuwa serikali imekuwa na harakati sahihi  katika
kutatua vikwanzo kwa wajasiriamali ambao wamewekeza
kupitia mazingira ili  kuhakikisha wanakuwa katika mazingira
mazuri.
"Bado tunaendelea kutumia mbinu mbalimbali za kuhakikisha
wananchi wanapata fursa za kiuchumi ambazo zinaondoa kero
ya uchafuzi wa mazingira,"amesema Makamba.
Amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga vema 
kuaendelea na mipango ya kuzuia  mifuko ya plastic ambapo
sasa wamesitisha utoa vibali kwa kiwanda kinachotaka
kuzalisha mifuko hiyo a nchini kwa kuwa imeonekana
inachafua mazingira.
Wakichangia mkakati huo wadau wa mazingira jijini Dar es
Salaam wamesema kuwa ili kufikia malengo serikali inapaswa
kutoa ushirikiano kwa wajasiriamali wadago ambao mlengo
wao  tayari umeonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya
mazingira.
Naye Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani
(UNEP) Joyce Msuya, akichangia mada kwenye maonyesho ya
mjadala huo kuhusu fursa za kiuchumi katika mazingira,
ameweza kutoa ushauri na kusaidia kutatua changamoto za
mazingira.
Msuya amesema kuwa ili kufikia malengo inapaswa
kubadilisha wataalamu jambo ambalo litasaidia kuboresha
utendaji katika kupata fursa za kiuchumi kupitia changamoto
za mazingira.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...