Skip to main content

Utafiti wa kimataifa uonesha kuwa Ukandamizaji kwenye jamii unazuia wasichana kutumia simu

Inaelezwa kuwa katika nchinyingi zinazoendelea wasichana hawanauhuruwa
kutumia simu za mkononi kamailivyokwa wavulana,Wasichana wanaazima
nakupigianasimu kwasiri jamboambalo linawawekakatikahatarikubwa.

Tokeo la picha la vodacom

Utafitihuo uliofanywa na MIT D-Lab, unadadisi hali hatarishi itokanayo na 
wasichanakukosa uhuruwakutumiasimu za mkononi katika nchi 25
zikiwemoindia,Tanzania, Afrika ya Kusini, Nigeria na Bangladesh.

Kecia Bertermann ambaye ni Mkurugenzi wa ufundi na Utafiti wa kidijitali, 
Girl Effect, alisema kuwa Utafiti huu unaonyesha ukweli wa hali halisi
ya wasichana walivyo nyuma kwenye foleni ya kupata simu. Hii ina maana 
wasichana hupata matatizo zaidi na manufaa kidogo kama yapo; bila 
kupewa muda au idhini ya kujiamini kudadisi matumizi makubwa zaidi ya 
simu elimu na ujuzi wa kiteknolojia wa wasichana hudumazwa.

Amesema upatikanaji sawa wa teknolojia ni eneo la utafiti lenye kukua, 
lakini 'wasichana' hupatikana mara kwa mara ndani ya jamii kubwa ya 
'wanawake' na hivyo changamoto ambazo ni mahususi kwao huwa haziripotiwi.

"kwa kuwa wasichana wengine wanaamua kutumia  simu kwa siri,wanaweza 
kuogopa kutoa taarifa kwa wazazi au marafiki pale ambapo kuna jambo
hatarishi,na hivyo kujiweka kwenye hatari kubwa zaidi."Amesema Kecia
Bertermann. 

Aliongeza kusema kuwa Matokeo yake, wasichana wanaona hofu ya wazazi 
juu ya usalama wao ndio kizuizi kikuu kwaokupata simu asilimia 47,ambapo
wavulana wanasema gharama ndio kizuizi kikubwa zaidi asilimia 60.


October 11 mwaka huu sikuyabinti,Asasiisiyoyakibiashara yaGirl Effect 
ikishirikiana na Vodafone Foundation imechapisha matokeo ya utafiti wa 
kwanza wa kimataifa juu ya jinsi wasichana wadogo wanavyopata na kutumia 
teknolojia ya simu.


Utafiti unaonesha kwamba wavulana wana uwezekano wa kuwa na  simu mara
1.5 zaidi kuliko wasichana, na kuwa na uwezekano wa kuwa na simu janja 
(Smart phone) mara 1.3 zaidi,kutokana na upendeleo wa kijamii  na 
vikwazo vingine vyenye kuzuia matumizi ya simu kwa wasichana. 


Uhuru wa kutumia simu za mkononi kwa wasichana walio katika nchi zina
zoendelea ni mdogo kuliko inavyotarajiwa; wakati 44% tu ya wasichana 
waliohojiwa katika utafiti walisema wanamiliki simu, zaidi ya nusu (52%) 
walisema wanapata simu kwa kuazima. 

Hata hivyo, utafiti unaonesha kwamba simu zinafanya wasichana kujisikia 
kutotengwa(50%),kuwa na uhuru wa kupata  elimu (47%), kujiburudisha 
(62%), kuwafunulia habari zilizofichika(26%), na kuwafanya wajiamini (20%).


Hata hivyo, utafiti huu – wa ubora na uwiano, uliofanyika katika nchi 25 -
 umegundua kuwa uhuru wa  matumizi ya simu kwa wasichana unadhibitiwa  kwa 
kiasi kikubwa na mazoea ya kijamii ambayo huwazuia kuwa na uhuru sawa na 
wavulana. Zaidi ya theluthi mbili (67%) ya wavulana waliohusishwa kwenye 
utafiti waliripoti kuwa na simu (ikilinganishwa na 44% ya wasichana) na 28% 
wakisema waliazima - ikilinganishwa na zaidi ya nusu (52%) kwa wasichana.

Aidha inaelezwa  katika nchi kama Nigeria, Malawi na Tanzania, wavulana wana 
uwezekano mkubwa wa kutumia simu kwa shughuli nyingi zaidi kama Whatsapp
na Facebook, kutafuta habari kwa mtandao, au kutafuta kazikuliko wasichana.

Katika maeneo haya, wasichana, kwa upande mwingine, hutumia simu kwa kazi za 
kawaida zenye kuhitaji ujuzi na ufahamu mdogo sana, mathalan kuwapigiawazazi 
wao au kutumia kikokoteo.






Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.