Skip to main content

Utafiti wa kimataifa uonesha kuwa Ukandamizaji kwenye jamii unazuia wasichana kutumia simu

Inaelezwa kuwa katika nchinyingi zinazoendelea wasichana hawanauhuruwa
kutumia simu za mkononi kamailivyokwa wavulana,Wasichana wanaazima
nakupigianasimu kwasiri jamboambalo linawawekakatikahatarikubwa.

Tokeo la picha la vodacom

Utafitihuo uliofanywa na MIT D-Lab, unadadisi hali hatarishi itokanayo na 
wasichanakukosa uhuruwakutumiasimu za mkononi katika nchi 25
zikiwemoindia,Tanzania, Afrika ya Kusini, Nigeria na Bangladesh.

Kecia Bertermann ambaye ni Mkurugenzi wa ufundi na Utafiti wa kidijitali, 
Girl Effect, alisema kuwa Utafiti huu unaonyesha ukweli wa hali halisi
ya wasichana walivyo nyuma kwenye foleni ya kupata simu. Hii ina maana 
wasichana hupata matatizo zaidi na manufaa kidogo kama yapo; bila 
kupewa muda au idhini ya kujiamini kudadisi matumizi makubwa zaidi ya 
simu elimu na ujuzi wa kiteknolojia wa wasichana hudumazwa.

Amesema upatikanaji sawa wa teknolojia ni eneo la utafiti lenye kukua, 
lakini 'wasichana' hupatikana mara kwa mara ndani ya jamii kubwa ya 
'wanawake' na hivyo changamoto ambazo ni mahususi kwao huwa haziripotiwi.

"kwa kuwa wasichana wengine wanaamua kutumia  simu kwa siri,wanaweza 
kuogopa kutoa taarifa kwa wazazi au marafiki pale ambapo kuna jambo
hatarishi,na hivyo kujiweka kwenye hatari kubwa zaidi."Amesema Kecia
Bertermann. 

Aliongeza kusema kuwa Matokeo yake, wasichana wanaona hofu ya wazazi 
juu ya usalama wao ndio kizuizi kikuu kwaokupata simu asilimia 47,ambapo
wavulana wanasema gharama ndio kizuizi kikubwa zaidi asilimia 60.


October 11 mwaka huu sikuyabinti,Asasiisiyoyakibiashara yaGirl Effect 
ikishirikiana na Vodafone Foundation imechapisha matokeo ya utafiti wa 
kwanza wa kimataifa juu ya jinsi wasichana wadogo wanavyopata na kutumia 
teknolojia ya simu.


Utafiti unaonesha kwamba wavulana wana uwezekano wa kuwa na  simu mara
1.5 zaidi kuliko wasichana, na kuwa na uwezekano wa kuwa na simu janja 
(Smart phone) mara 1.3 zaidi,kutokana na upendeleo wa kijamii  na 
vikwazo vingine vyenye kuzuia matumizi ya simu kwa wasichana. 


Uhuru wa kutumia simu za mkononi kwa wasichana walio katika nchi zina
zoendelea ni mdogo kuliko inavyotarajiwa; wakati 44% tu ya wasichana 
waliohojiwa katika utafiti walisema wanamiliki simu, zaidi ya nusu (52%) 
walisema wanapata simu kwa kuazima. 

Hata hivyo, utafiti unaonesha kwamba simu zinafanya wasichana kujisikia 
kutotengwa(50%),kuwa na uhuru wa kupata  elimu (47%), kujiburudisha 
(62%), kuwafunulia habari zilizofichika(26%), na kuwafanya wajiamini (20%).


Hata hivyo, utafiti huu – wa ubora na uwiano, uliofanyika katika nchi 25 -
 umegundua kuwa uhuru wa  matumizi ya simu kwa wasichana unadhibitiwa  kwa 
kiasi kikubwa na mazoea ya kijamii ambayo huwazuia kuwa na uhuru sawa na 
wavulana. Zaidi ya theluthi mbili (67%) ya wavulana waliohusishwa kwenye 
utafiti waliripoti kuwa na simu (ikilinganishwa na 44% ya wasichana) na 28% 
wakisema waliazima - ikilinganishwa na zaidi ya nusu (52%) kwa wasichana.

Aidha inaelezwa  katika nchi kama Nigeria, Malawi na Tanzania, wavulana wana 
uwezekano mkubwa wa kutumia simu kwa shughuli nyingi zaidi kama Whatsapp
na Facebook, kutafuta habari kwa mtandao, au kutafuta kazikuliko wasichana.

Katika maeneo haya, wasichana, kwa upande mwingine, hutumia simu kwa kazi za 
kawaida zenye kuhitaji ujuzi na ufahamu mdogo sana, mathalan kuwapigiawazazi 
wao au kutumia kikokoteo.






Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...