Skip to main content

Mabao ya Samatta yamfungisha virago kipa

Baada ya kupokea kipigo cha mabao mawili kutoka kwa nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta kwenye mchezo uliyomalizika kwa 4 – 2 mlindalango Loris Karius sasa kurejeshwa Liverpool.

Klabu ya Besiktas imenuia kumrejesha kipa huyo, Karius ambaye yupo hapo kwa mkopo wa miaka miwili akitokea Liverpool na badala yake wakimhitaji Divock Origi.
Miamba hiyo ya Uturuki imeripotiwa kuwa imechoshwa na huduma yake na hivyo tayari imefanya mazungumzo na Liverpool kuona namna ya kumrejesha ili kubadilishana na Divock Origi.
Karius ambaye ameonekana kutokuwa na matokeo mazuri toka kutua kwake ndani ya klabu ya Besiktas haswa matokeo mabovu ya Europa League dhidi ya KRC Genk ambapo alikubali kipigo cha mabao 4 – 1 huku mshambuliaji hatari wa Tanzania Mbwana Samatta akiweka kimyani mabao mawili atarejea Anfield mwakani mwezi Januari.
Mlindalango huyo raia wa Ujerumani yupo kwenye miamba hiyo ya soka ya Uturuki kwa mkopo wa miaka miwili ambayo timu hiyo amepewa nafasi ya kumnunua moja kwa moja baada uwepo wake kwa mkopo ukimalizika.
Karius anakumbukwa zaidi baada ya kuizawadia Real Madrid jumla ya mabao 3 – 1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa fainali wa Champions League ambapo mashabiki wengi wa majogoo hao wa England wakimtupia lawama kwa kukubali kufungwa mabao mepesi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...