Skip to main content

Benki ya DCB yawataka wananchi kuendelea kujiunga na benki hiyo



Tokeo la picha la BANK ya Biashara ya DCB


 BANK ya Biashara ya DCB imewataka   wananchi kuendelea
kujiunga na benki hiyo kwa kuwa uchumi wake umekuwa
ukizidi kuimarika nakuwataka wananchi kuendelea kuiamini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo  Mkuu wa
idara ya fedha ya benki hiyo James Ngahio wakati akitangaza
faida ya shilingi bilioni 1.4 katika kipindi cha robo ya tatu
ya mwaka 2018.

“Benki nyingi zimeyumba lakini sisi, tunamshukuru Mungu
tunaendelea vizuri pamoja na changamoto za kiuchumi,
kupitia faida hii ni dhahiri kuwa tupo vizuri wananchi
waendelee kutuamini,”amesema


Ngahio alisema faida hiyo iliyopatikana katika kipindi
kinachoishia mwezi septemba mwaka huu, imeipiku hasara
ya shilingi bilioni 1.6 iliyopatikana kipindi kama hicho
 mwaka 2017 ambayo inawakilisha ongezeko la asilimia 187.

“Benki imefanya juhudi za makusudi kuhakikisha inatoka
kwenye hasara iliyopata mwaka jana na kurudi kwenye faida,
 baadhi ya hatua tulizo chukuwa nikuboresha mfumo wa
uedeshaji Biashara,"amesema.

Mfumo huo unahusisha gharama za uendeshaji ambazo zimeshuka,
 kwakupunguza matawi hapa Dar es Salaam na kuanzishwa kwa
 huduma mpya za kidijitali ambayo imevutia wateja wengi
ambao wameshawishika kufungua akaunti.

Naye Mkurugenza wa Biashara wa DCB Zacharia Kapama alisema
 ukuaji wa faida umechagizwa na ukuaji wa mikopo ghafi ya
wateja kutoka shilinghi bilioni 89.3 mwezi septemba 2017
hadi sh bilioni 91.3 mwezi septemba mwaka huu.

“Kufuatia ukuaji huo ukuaji wa mikpo ya jumla ya sh bilioni 50
imetolewa kwa wakopaji hadi kufikia septemba 2018 na idadi ya
wateja wetu imeongezeka kutoka 144,445 mwezi desemaba 2017
hadi kufikia wateja 157,366 kwa mwezi septemba 2028,”amesema
Pamoja na ongezeko la mikopo ghafi benki imefanikiwa kupunguza
kiwango cha mikopo chefuchefu kutoka asilimia 18.9 desemba 2017
 nakufikia asilimia 17.8 septemba 2018.



Benki ya DCB ilianzishwa 2008 ikiwa kama benki ya  jumuiya ya
wananchi wa Dar es Salaam na mwaka 2008 ilifanywa na manispaa
ya jiji la Dar es Salaam hadi mwishoni mwa septemba 2018 imeweza
 kutoa mikopo ya shilingi bilioni 150.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...