Skip to main content

Benki ya DCB yawataka wananchi kuendelea kujiunga na benki hiyo



Tokeo la picha la BANK ya Biashara ya DCB


 BANK ya Biashara ya DCB imewataka   wananchi kuendelea
kujiunga na benki hiyo kwa kuwa uchumi wake umekuwa
ukizidi kuimarika nakuwataka wananchi kuendelea kuiamini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo  Mkuu wa
idara ya fedha ya benki hiyo James Ngahio wakati akitangaza
faida ya shilingi bilioni 1.4 katika kipindi cha robo ya tatu
ya mwaka 2018.

“Benki nyingi zimeyumba lakini sisi, tunamshukuru Mungu
tunaendelea vizuri pamoja na changamoto za kiuchumi,
kupitia faida hii ni dhahiri kuwa tupo vizuri wananchi
waendelee kutuamini,”amesema


Ngahio alisema faida hiyo iliyopatikana katika kipindi
kinachoishia mwezi septemba mwaka huu, imeipiku hasara
ya shilingi bilioni 1.6 iliyopatikana kipindi kama hicho
 mwaka 2017 ambayo inawakilisha ongezeko la asilimia 187.

“Benki imefanya juhudi za makusudi kuhakikisha inatoka
kwenye hasara iliyopata mwaka jana na kurudi kwenye faida,
 baadhi ya hatua tulizo chukuwa nikuboresha mfumo wa
uedeshaji Biashara,"amesema.

Mfumo huo unahusisha gharama za uendeshaji ambazo zimeshuka,
 kwakupunguza matawi hapa Dar es Salaam na kuanzishwa kwa
 huduma mpya za kidijitali ambayo imevutia wateja wengi
ambao wameshawishika kufungua akaunti.

Naye Mkurugenza wa Biashara wa DCB Zacharia Kapama alisema
 ukuaji wa faida umechagizwa na ukuaji wa mikopo ghafi ya
wateja kutoka shilinghi bilioni 89.3 mwezi septemba 2017
hadi sh bilioni 91.3 mwezi septemba mwaka huu.

“Kufuatia ukuaji huo ukuaji wa mikpo ya jumla ya sh bilioni 50
imetolewa kwa wakopaji hadi kufikia septemba 2018 na idadi ya
wateja wetu imeongezeka kutoka 144,445 mwezi desemaba 2017
hadi kufikia wateja 157,366 kwa mwezi septemba 2028,”amesema
Pamoja na ongezeko la mikopo ghafi benki imefanikiwa kupunguza
kiwango cha mikopo chefuchefu kutoka asilimia 18.9 desemba 2017
 nakufikia asilimia 17.8 septemba 2018.



Benki ya DCB ilianzishwa 2008 ikiwa kama benki ya  jumuiya ya
wananchi wa Dar es Salaam na mwaka 2008 ilifanywa na manispaa
ya jiji la Dar es Salaam hadi mwishoni mwa septemba 2018 imeweza
 kutoa mikopo ya shilingi bilioni 150.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.