Skip to main content

Maadhimisho ya miaka 50 ya ushirikiano baina ya China na Tanzania yaliyofanyika Dar es Salaam


Serikali ya Tanzania imeipongeza serikali ya watu wa china kwa ushirikiano mzuri wenye manufaa katika seka ya afya nchini.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Mambo ya nje ,kikanda na ushirikiano wa afrika mashariki wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya ushirikiano baina ya China na Tanzania yaliyofanyika Dar es Salaam.


Dk.Mahiga aliwaeleza washiriki katika hafla hiyo kuwa  China ilionesha nia thabiti kuisadia Tanzania katika mambo mbalimbali baada yakupata Uhuru kutoka kwa wakoloni na mwaka 1968 nchi hizo mbili zilisaini hati ya makubaliano ya kushirikiana katika sekta ya afya.
 Amesema kuwa pamoja nakupokea misaada mbalimbali kutoka China ,Tanzania nayo ina mchango na msaada mkubwa kwa Taifa hilo linalo kadiriwa kuwa Taifa la pili kwa uchumi unaokuwa kwa haraka baada ya Marekani.
“China imefanya mengi kwetu lakini katika sekta ya afya imetusaidia sana kwakuwapa madaktari wetu mafunzo huko china tokea kuanzishwa kwa mashirikiano haya ,hata sisi pia tunaisaidia China kwa mambo mengi,1974 wakati kura ya VETO ya Umoja wa Mataifa Mwalimu Nyerere alihamasisha wa afrika kupigia kura China kuwa mjumbe kudumu wa baraza la usalama la UN,”amesema
Naye Balozi wa China Tanzania Wang Ke alisema kuwa hadi sasa China imeleta madaktari 53 ambapo 11 walikula kiapo jana cha kuhudumu katika hospitali mbalimbali nchini ikiwemo Muhimbi,hospital ya rufaa ya Mbeya na Taasis ya Moyo ya Jakaya Kikwete watakao hudumu zaidi katika magonjwa yasiyo yakuambukizwa.
kuanzishwa kwa mashirikiano hayo madaktari 1,470 wamehuduma Tanzania pamoja na changamoto mbalimbali hadi sasa jumla ya wagonjwa 300,000 wametibiwa na madaktari hao ,Balozi huyo amesema kuwa China itaendelea kushirikiana na Tanzania kutoa huduma.
“Malengo yetu ni kuokoa maisha ya ndugu zetu watanzania na tumeanza kuwafikia watu wa vijijini zaidi ambapo madaktari wetu wanatoa huduma katika mikoa mbalimbali kama Mtwara, Mara, Kigoma na Mbeya na tunaendelea kupanua huduma ya afya iwafikie wananchi wengi kadri iwezekanavyo,”amesema
Kwa upande wake Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii    Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu alisema kuwa watahakikisha ushirikiano huo unaendelea baina ya nchi hizo mbili kwakuwa una manufaa kwa maisha ya watanzania.
“Tutaendelea kushirikiana na ndugu zetu wa china katika sekta ya afya ili tuokoe maisha watanzania wengi kwakutoa huduma za kitabibu hapa nchi nakuepuka kuwasafirisha wagonjwa wetu nje nchi kwa ajili ya matibu,”amesema
Waziri Ummy ameongeza  kuwa dhamira kubwa ya serikali kwa sasa nikuboresha mazingira ya afya nchini kwa kusomesha madaktari wengi lakini aliongeza kuwa wahandisi wa vifaa vya afya nao ni muhimu sana.
Alisema kuanzishwa kwa mashirikiano hayo China imeshirikiana katika mambo mbalimbali kiuchumi,kisiasa na kijamii, ambapo china imekuwa mstari wa mbele sana katika matukio mbalimbali ya kijamii yakiwemo mafuriko na maafa mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.