Skip to main content

TFDA yawataka wadau mbalimbali nchini kufanya kazi kwa ushirikiano


 Wadau mbalimbali wakiwa katika Mkutano leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Agnes Kijo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
 Mkemia Mkuu wa Mamlaka ya Maabara ya mkemia mkuuu wa Serikali Dkt. Fidelince Mafumiko akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imewataka wadau mbalimbali hapa nchini kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuhakikisha wanaleta ufanisi katika kutekeleza majukumu yao.

Wadau hao ni Shirika la Viwango (TBS), Mawakala ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) pamoja na  Chama cha Mawakala wa forodha Tanzania (TAFFA) ambao wamekutana leo kwa ajili ya kujadili taratibu za uingizaji wa bidhaa hapa nchini 

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano uliowakutanisha wadau mbalimbali, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Agnes Kijo, amesema kuwa mkutano umelenga kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utendaji.

Agnes amesema kuwa mkutano ni muhimu kutokana kila mdau amepata fursa ya kueleza majukumu yake katika utendaji pamoja na kuangalia matakwa ya kisheria ambayo imekuwa ikitumika.

"Uwepo wa mkutano huu kwetu TFDA ni jambo jema kutokana majukumu yetu ni kuaangalia usalama wa chakula kutokana na bidhaa zinazoingizwa hapa nchini" amesema Agnes.

Amesema kuwa ni vizuri kuaangalia kila jambo liwe linakwenda vyema katika kufanikisha maendeleo katika kuzuia bidhaa feki ambazo zimekuwa zikiingia hapa nchini kinyume na sheria.

Agnes amefafanua kuwa taasisi zote ambazo zimeshiriki mkutano huo zina nia ya kujirekebisha ili kuhakikisha kila mmoja nafanya kazi yake kikamilifu.

"Kumekuwa sitofahamu utaratibu wa kuingiza bidhaa kwani watu wa forodha wamekuwa wakichelewa kutoa mizigo kutokana na baadhi ya wafanyabiashara kuchelewa kuomba kwa vibali" amesema Agnes.

Hata hivyo ameeleza kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukusanya kero za wadau mbalimbali na kuzifanyia kazi jambo ambalo linaweza kuleta ufanisi katika utendaji.

Mkemia Mkuu wa Mamlaka ya Maabara ya mkemia mkuuu wa Serikali Dkt. Fidelince Mafumiko, amesema kuwa mkutano huo utawapa fursa ya kupata mrejesho katika huduma wanazotoa taasisi mbalimbali.

Dkt. Mafumiko amesema kuwa ni mwanzo mkubwa mzuri katika kutengeneza mipango ya kuendelea kutoa huduma bora.

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango (TBS) Lazaro Msasalaga, amesema kuwa mkutano utasaidia kuongeza ufanisi katika mpango wa utoaji wa mizigo kwa kutatua changamoto zinazotukabili katika taasisi.

"Tumekutana na Mawakala wa forodha katika kuangalia changamoto ambazo zipo ili zifanyiwe kazi" amesema Msasalaga.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...