Skip to main content

Dkt John Magufuli aikabidhi Mil 50 Stars kuwachapa Lesotho


”Nawachangia milioni 50 ili iwasaidie katika maandalizi dhidi ya mechi yenu na Lesotho, muhakikishe zinatumika kwa watu wanaotakiwa kwenda” amesema Rais Magufuli.
Amesisitiza kuwa atafuatilia matumizi ya kile senti katika fedha hizo na watakaozitafuna watazitapika.
Aitaka Taifa Stars kuleta ushindi bila visingizio vyovyote akiwasihi wachezaji kuwa kitu kimoja, kuuchukulia mchezo huo kama vita na kupambana kwaajili ya taifa lao.

Comments