Skip to main content

A-Z Kifo cha Mwandishi wa Habari Jamal Khashoggi

 
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan leo Alasiri amehutubia Bunge la nchi hiyo kwa mara ya kwanza juu ya kifo cha Mwandishi wa Habari Jamal Khashoggi aliyeuawa ndani ya Ubalozi wa Saudi Arabia Mjini Instabul mnamo Oktoba 02, 2018.
Image result for recep erdogan vs jamal
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan
Erdogan amesema kuwa kifo cha  mwandishi huyo kilipangwa na Maafisa wa Saudi Arabia nchini Uturuki na sio kuwa kilitokea kwa bahati mbaya kama serikali ya nchi hiyo ilivyoripoti awali.
Akihutubia kwa hudhuni, Erdogan amesema kuwa siku moja kabla ya kifo cha Khashoggi, maafisa usalama 15 wa Saudi Arabia walijipanga makundi matatu Mjini Instabul ambapo watu 9 waliweka kambi katika msitu wa Belgrad uliopo kilometa 55 kusini mwa Instabul.
Erdogan amesema masaa machache kabla ya Khashoggi kuingia kwenye Ofisi za ubalozi huo kamera za usalama zilizimwa.
Tumeshawambia kuwa tutaweka ukweli wote hadharani, hatuwezi kunyamaza juu ya tukio hili. Tunaahidi kuchukua hatua zote muhimu hadi kuhahakisha kuwa haki imetendeka,“amesema Erdogan.
Siku ya tukio la kupotea kwa Mwandishi huyo katika Ofisi hizo, Mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman alikaririwa akisema kuwa Khashoggi alitoka akiwa hai kwenye jengo hilo.
Baadae Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia,  Adel al-Jubeir akathibitisha taarifa za kifo cha mwandishi huyo katika Ubalozi wa Saudi Arabia huku akieleza kuwa Khashoggi alileta vurugu kwenye Ofisi hizo.
Hata hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Mevlut Cavusoglu leo akiongea mbele ya Waandishi wa Habari naye amesema kuwa Khashoggi kifo chake kilipangwa.
Mpaka sasa mwili Khashoggi bado haujapatikana licha ya Saudi Arabia kukiri mwandishi huyo kuuawa mnamo Oktoba 2 mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...