Skip to main content

A-Z Kifo cha Mwandishi wa Habari Jamal Khashoggi

 
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan leo Alasiri amehutubia Bunge la nchi hiyo kwa mara ya kwanza juu ya kifo cha Mwandishi wa Habari Jamal Khashoggi aliyeuawa ndani ya Ubalozi wa Saudi Arabia Mjini Instabul mnamo Oktoba 02, 2018.
Image result for recep erdogan vs jamal
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan
Erdogan amesema kuwa kifo cha  mwandishi huyo kilipangwa na Maafisa wa Saudi Arabia nchini Uturuki na sio kuwa kilitokea kwa bahati mbaya kama serikali ya nchi hiyo ilivyoripoti awali.
Akihutubia kwa hudhuni, Erdogan amesema kuwa siku moja kabla ya kifo cha Khashoggi, maafisa usalama 15 wa Saudi Arabia walijipanga makundi matatu Mjini Instabul ambapo watu 9 waliweka kambi katika msitu wa Belgrad uliopo kilometa 55 kusini mwa Instabul.
Erdogan amesema masaa machache kabla ya Khashoggi kuingia kwenye Ofisi za ubalozi huo kamera za usalama zilizimwa.
Tumeshawambia kuwa tutaweka ukweli wote hadharani, hatuwezi kunyamaza juu ya tukio hili. Tunaahidi kuchukua hatua zote muhimu hadi kuhahakisha kuwa haki imetendeka,“amesema Erdogan.
Siku ya tukio la kupotea kwa Mwandishi huyo katika Ofisi hizo, Mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman alikaririwa akisema kuwa Khashoggi alitoka akiwa hai kwenye jengo hilo.
Baadae Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia,  Adel al-Jubeir akathibitisha taarifa za kifo cha mwandishi huyo katika Ubalozi wa Saudi Arabia huku akieleza kuwa Khashoggi alileta vurugu kwenye Ofisi hizo.
Hata hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Mevlut Cavusoglu leo akiongea mbele ya Waandishi wa Habari naye amesema kuwa Khashoggi kifo chake kilipangwa.
Mpaka sasa mwili Khashoggi bado haujapatikana licha ya Saudi Arabia kukiri mwandishi huyo kuuawa mnamo Oktoba 2 mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.