Skip to main content

Dkt. Regnald Mengi kuptia IPP Touchmate Ltd amewekeza bilioni II.5 kuzalisha bidhaa mbalimbali za Kielektroniki.

Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania Dkt. Regnald Mengi ametangaza ujio wa Kampuni Mpya ya IPP Touchmate Ltd ambapo amewekeza bilioni II.5 kwa ajili  ya kuzalisha bidhaa mbalimbali za Kielektroniki.

Kampuni hiyo itakuwa ya kwanza Tanzania kuanza kuzalisha bidhaa za Kielektroniki ikiwemo simu za mikononi, simu janja (Smartphones), Computers, Ipads, music bluetooth speakers, headphones pamoja na earphones.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Dkt. Mengi, amesema kuwa lengo kuanzisha kampuni hiyo kuendelea kukuza uchumi wa viwanda pamoja kuzalisha ajira hasa kwa watu wenye ulemavu.

Amesema kuwa kiwanda hicho kinatarajia kutoa ajira rasmi na zisizo rasmi 2,000 jambo ambalo litapunguza changamoto ya kukosefu wa ajira kwa serikali.

"Kampuni hii itatoa kipaombele katika kuajiri wenye ulemavu, wenye sifa stahiki" amesema Dkt. Mengi.

Meneja wa IPP Touchmate Ltd Victor Tesha, amesema kuwa kiwanda hicho kitakuwa maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo kitakuwa kinazalisha bidhaa zenye ubora kwa gharama nafuu.

Tesha amesema kuwa kiwanda hicho kinatarajiwa kuanza kufanya kazi baada miezi mitatu ambapo kwa siku itazalisha simu I,200.

Ameeleza kuwa kiwanda kitatengeneza simu bora ambazo zitakuwa zinakaa na charge kwa zaidi ya wiki moja zikiwa ni maalumu kwa mazingira yenye matatizo ya umeme hasa vijijini.

"Simu zetu zitatumika kama power Bank kucharge simu zingine" amesema Tesha.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.