Skip to main content

Vodacom Foundation watoa msaada kwa wanafunzi wasioona shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko Dar es Salaam

Wafanyakazi wa Kampuni ya Vodacom wakitoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kujisomea kwa wanafunzi wenye ulemavu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko iliyopo jijini Dar es Salaam.
MWAMBA WA HABARI.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, kupitia mpango wake wa pamoja na vodacom wametoa msaada wa vifaa vya kusomea kwa wanafunzi zaidi ya I50 wenye ulemavu katika Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko iliyopo jijini Dar es Salaam.

Msaada huo wametoa kwa ajili kuonyesha ushirikiano na kupatikana kwa elimu  bora kwa watu wote kutokana ni moja kati ya nguzo kuu za Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation.

Msaada huo ni Mashine kumi
na karatasi maalum za kuchapisha maandishi ya nukta (Maandishi maalum kwa wasioona), viti, faili za plastiki (maalum kwa ajili ya wasioona).

Akizungumza katika hafla fupi ya kutoa vifaa ya kujifuzia Mkurugenzi wa Vodacom Kanda ya Dar es Salaam na Pwani George Lugata, amesema kuwa elimu ni haki ya msingi pia n kipengele katika kufikia malengo endelevu.
Kamishna Msaidizi watu wenye ulemavu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye ulemavu, Beatrice Fungamo (Kushoto) akipokea moja ya mashine maalum za kuandikia maandishi ya nukta nundu (Braille) zilizotolewa na Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation pamoja na  wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC.

Lugata amesema kuwa wanatambua mchango na muhimu wa shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko katika kuwa kuwafundisha watoto ili wapate elimu bora inayoendana na mahitaji kwa sasa.

Amesema kuwa Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation imekuwa ikitumiwa
nawafanya kazi wa Vodacom kurejesha fadhila kwa jamii ili kuhakikisha wanafunzi wanakuwa katika mazingira rafiki.

“Tuna shauku ya kuisaidia jamii yetu, na huu ni utaratibu wetu kwa miaka zaidi ya 12 kupitia Vodacom Tanzania Foundation tumekuwa tukiisaidia jamii” amesema Lugata.

Amesema kuwa huu ni mwendelezo wa kusaidia jamii, kwani ni nmara ya pili kwa Vodacom  kutoa msaada katika shule hiyo, kwani awali walitoa milioni I2  katika shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko kwa ajili ya kujenga mabweni na vyoo kwa ajili ya wanafunzi.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Stella Ikupa Alex, ameishukuru Kampuni ya Vodacom kwa msaada kutokana umepunguza changamoto katika sekta ya elimu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...