Skip to main content

Nyota Serengeti Boys apata timu Ulaya


KINDA wa Timu ya Taifa chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys, Ally Hamis Ng'anzi anayecheza nafasi ya kiungo nyota yake imewaka baada ya kupata timu barani Ulaya katika klabu ya MFK Vyskov inayoshiriki ligi daraja la pili nchini Jamhuri ya Czech.

Mkurugenzi Mtendaji wa Singida United, Festo Sanga ambayo kinda huyo anaichezea amesema kuwa Ng'anzi amepata nafasi hiyo ya kucheza katika nchi ambayo anatoka mchezaji bora wa Ulaya mwaka 2003, Pavel Nedved ikiwa ni jitihada za klabu hiyo kutafutia wachezaji wake fursa za kucheza nje ya nchi.
Ng'anzi anatarajia kusafiri usiku wa leo kuelekea nchini humo kwa ajili ya kuanza maisha yake mapya ya soka.
" Kwa niaba ya uongozi wa Singida nimtakie kila la heri mchezaji wetu huyu katika safari yake ya soka ambayo anaenda kuianza nchini Czech, hii ni nchi kubwa imetoa wachezaji wakubwa sana akina Nedved, Petr Cech na hata Thomas Rosisky, nidhamu na kujituma pekee ndipo kutampa mafanikio zaidi," amesema Sanga.

Kupata nafasi kwa Ng'anzi kunamfanya kuwa miongoni mwa wachezaji wa kitanzania wanaocheza barani Ulaya ambapo pia anakipiga nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta katika klabu ya Genk. Wengine ni Rashird Chilunda na Farid Mussa wanaocheza Teneriffe ya nchini Hispania.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.