Skip to main content

Mjadala fursa za uchumi zinazotoka kwenye hifadhi wa mazingira wafanyika


Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani (UNEP) Joyce Msuya akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Makamba wakiangalia maonyesho ya bidhaa mbalimbali za wajasiriamali walizotengeneza kutokana na fursa katika sekta ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
Na Noel Rukanuga, Dar es Salaam.
Watanzania wametakiwa kutumia njia za kibunifu katika kutumia fursa za uchumi zinazotoka kwenye hifadhi wa mazingira.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye maonyesho ya mjadala kuhusu fursa za uchumi katika mazingira, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani (UNEP) Joyce Msuya, amesema kuwa majukumu yao kutoa ushauri na kusaidia kutatua changamoto za mazingira.

Msuya ambaye ni mgeni rasmi katika mjadala huo, amesema kuwa ili kufika malengo wakati mwengine inapaswa kubadilisha wataalamu jambo ambalo litasaidia kuboresha utendaji katika kupata fursa za kiuchumi kupitia changamoto za mazingira.

"Tumekuwa tukitoa masaada katika kufanikisha usafi wa mazingira lakini tuendelee kuhamasisha uwekezaji katika mazingira" amesema Msuya.

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Makamba , amesema kuwa changamoto za mazingira zinapaswa kutumiwa kama fursa za kujiingizia kipato.

Mhe. Makamba amesema kuwa changamoto za mazingira unaweza kuzitumia kutengeneza fursa za kiuchumi.

"Takataka unaweza ukazalisha nishati ya umeme, mkaa  jambao ambalo ni rafiki katika kutatua changamoto za uharibifu wa mazingira pamoja na kujiingizia kipato" amesema Mhe. Makamba.

Amesema kuwa serikali inaendelea kutatua vikwanzo kwa wajasiriamali ambao wamewekeza kupitia mazingira ili  kuhakikisha wanakuwa katika mazingira rafiki.

Hata hivyo Mhe. Makamba amesema kuwa bado wanaendelea kutumia mbinu mbalimbali za kuhakikisha watanzania wanapata fursa za kiuchumi ambazo zinaondoa kero ya uchafuzi wa mazingira.

"Bado tuaendelea na mipango ya kuzuia  mifuko ya plastic, kwa sasa tumesitisha kutoa vibali kwa kiwanda kinachotaka kuzalisha mifuko hiyo hapa nchini kutokana imeonekana inachafua mazingira" amesema Mhe. Makamba.

Mhe. Makamba amebainisha kuwa serikali ipo katika mipango ya kuwakutanisha wajasiriamali na taasisi za serikali ili ziweze kutumia mkaa mbadala katika matumizi yao.

"Tutaendelea kutengeneza maarifa na shirika la mazingira duniani (UNEP) ili kufika malengo husika" amesema Mhe. Makamba.

Kwa upande wao wadau wa mazingira wamesema kuwa ili kufika malengo serikali inapaswa kutoa ushirikiano kwa wajasiriamali wadago ambao tayari wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya mazingira.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.