Skip to main content

Mjadala fursa za uchumi zinazotoka kwenye hifadhi wa mazingira wafanyika


Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani (UNEP) Joyce Msuya akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Makamba wakiangalia maonyesho ya bidhaa mbalimbali za wajasiriamali walizotengeneza kutokana na fursa katika sekta ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
Na Noel Rukanuga, Dar es Salaam.
Watanzania wametakiwa kutumia njia za kibunifu katika kutumia fursa za uchumi zinazotoka kwenye hifadhi wa mazingira.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye maonyesho ya mjadala kuhusu fursa za uchumi katika mazingira, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mazingira Duniani (UNEP) Joyce Msuya, amesema kuwa majukumu yao kutoa ushauri na kusaidia kutatua changamoto za mazingira.

Msuya ambaye ni mgeni rasmi katika mjadala huo, amesema kuwa ili kufika malengo wakati mwengine inapaswa kubadilisha wataalamu jambo ambalo litasaidia kuboresha utendaji katika kupata fursa za kiuchumi kupitia changamoto za mazingira.

"Tumekuwa tukitoa masaada katika kufanikisha usafi wa mazingira lakini tuendelee kuhamasisha uwekezaji katika mazingira" amesema Msuya.

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Makamba , amesema kuwa changamoto za mazingira zinapaswa kutumiwa kama fursa za kujiingizia kipato.

Mhe. Makamba amesema kuwa changamoto za mazingira unaweza kuzitumia kutengeneza fursa za kiuchumi.

"Takataka unaweza ukazalisha nishati ya umeme, mkaa  jambao ambalo ni rafiki katika kutatua changamoto za uharibifu wa mazingira pamoja na kujiingizia kipato" amesema Mhe. Makamba.

Amesema kuwa serikali inaendelea kutatua vikwanzo kwa wajasiriamali ambao wamewekeza kupitia mazingira ili  kuhakikisha wanakuwa katika mazingira rafiki.

Hata hivyo Mhe. Makamba amesema kuwa bado wanaendelea kutumia mbinu mbalimbali za kuhakikisha watanzania wanapata fursa za kiuchumi ambazo zinaondoa kero ya uchafuzi wa mazingira.

"Bado tuaendelea na mipango ya kuzuia  mifuko ya plastic, kwa sasa tumesitisha kutoa vibali kwa kiwanda kinachotaka kuzalisha mifuko hiyo hapa nchini kutokana imeonekana inachafua mazingira" amesema Mhe. Makamba.

Mhe. Makamba amebainisha kuwa serikali ipo katika mipango ya kuwakutanisha wajasiriamali na taasisi za serikali ili ziweze kutumia mkaa mbadala katika matumizi yao.

"Tutaendelea kutengeneza maarifa na shirika la mazingira duniani (UNEP) ili kufika malengo husika" amesema Mhe. Makamba.

Kwa upande wao wadau wa mazingira wamesema kuwa ili kufika malengo serikali inapaswa kutoa ushirikiano kwa wajasiriamali wadago ambao tayari wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya mazingira.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...