Skip to main content

Waziri Ummy :Serikali kuongeza Huduma ya Uzazi wa Mpango kwa asilimia 45 kufikia mwaka 2020

Serikali imesema kufikia mwaka 2020 malengo yake ni kuhakikisha asilimia 45 ya wanawake walioolewa wanatumia huduma za uzazi wa mpango huku ikibainisha kwa sasa asilimia 32 wanatumia huduma hizo lengo likiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na uzazi.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akiwa na Ujumbe wa Waziri wa Maendeleo wa Uingereza, Penny Mordaunt auliotembelea katika Zahanati ya Tabata ‘A’ wilayani Ilala ili kuangalia huduma za uzazi wa mpango zinavyotolewa zahanati hapo.

Amesema Serikali ya Awamu ya Tano kwa kushirikia na Serikali ya Uingereza imekuwa mstari mbele katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto kupitia huduma hizo na kwamba lengo ni kupunguza vifo hivyo.

  Waziri Penny amekuja kuangalia changamoto ya afya mama na mtoto na fedha wanazotoa tunazifanyia  kazi inayokusudiwa kwani Serikali yetu na ya Uingereza zinashirikiana katika kuboresha huduma ya mama na mtoto,” amesema.

Amebainisha kuwa takwimu zinaonyesha wanawake 556,000 wanafariki kutokana na vifo vifo vya uzazi katika kila vizazi hai 100,000.

Amesisitiza kuwa uzazi wa mpango unaweza kupunguza vitokananvyo na uzazi kwa asilimia 30 na kubainisha Serikali inaendelea kutenga rasilimali fedha za ndani kuboresha huduma za afya ikiwemo kuajiri watoa huduma za afya.

Kwa upande Waziri Penny amesema kuwa amefurahishwa alivyojionea huduma za uzazi wa mpango zinavyotolewa kwenye zahanati hiyo na kumpongeza Waziri Ummy kwa umahiri wa kusimamia utolewaji wa huduma hizo nchini hapa.

Akiwa katika Zahanati hiyo waziri huyo na ujumbe wake ametembelea Jengo la Kliniki ya Baba, Mama na Mtoto pamoja na Kikundi cha Umoja Group kinachojihusisha na Uzazi wa Mpango.

Naye Mganga Mkuu Mfawidhi wa Zahanati ya Tabata ‘A’, Modest Mwinuka amesema zahanati Hiyo ni miongoni mwa vituo 88 vinavyotoa huduma ya afya ya mama na mtoto katika manispaa ya Ilala huku akisisitiza kati ya vituo hivyo, vituo 51 vinatoa huduma ya uzazi wa mpango.

Amesema zahanati hiyo inahudumia wakazi kutoka mitaa nane ikiwemo Tabata, Msimbazi, Tenge, Mandela, Mtambani, Msimbazi Magharibi,Matumbi pamoja na Tabata Kisiwani yenye wakazi74,742 kati yao wananume ni 18,593, wananwake 38,833 walio kwenye umri wa kuzaa ni 13,454.

“ Zahanati ina watumishi wapatao 29 wa kada mbalimbali wakiwemo waganga na wauguzi, kati yao 28 wamepatiwa mafunzo ya uzazi wa mpango, huduma rafiki kwa vijana, huduma baada ya mimba kuharibika na ukatili wa kijinsia,” amesema Mwinuka.

Mganga huyo ameongeza kuwa njia za huduma ya uzazi wa mpango zinazotolewa katika zahanati hiyo ni njia za muda mfupi ambazo ni vidonge, sindano, kondomu za kike na za kiume pamoja na njia ya shanga, njia ya muda mrefu(Kitanzi na vijiti), pamoja na nyingine za kudumu(kufunga kizazi mwanamke/mwanaume).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...