Skip to main content

Waziri Ummy :Serikali kuongeza Huduma ya Uzazi wa Mpango kwa asilimia 45 kufikia mwaka 2020

Serikali imesema kufikia mwaka 2020 malengo yake ni kuhakikisha asilimia 45 ya wanawake walioolewa wanatumia huduma za uzazi wa mpango huku ikibainisha kwa sasa asilimia 32 wanatumia huduma hizo lengo likiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na uzazi.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akiwa na Ujumbe wa Waziri wa Maendeleo wa Uingereza, Penny Mordaunt auliotembelea katika Zahanati ya Tabata ‘A’ wilayani Ilala ili kuangalia huduma za uzazi wa mpango zinavyotolewa zahanati hapo.

Amesema Serikali ya Awamu ya Tano kwa kushirikia na Serikali ya Uingereza imekuwa mstari mbele katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto kupitia huduma hizo na kwamba lengo ni kupunguza vifo hivyo.

  Waziri Penny amekuja kuangalia changamoto ya afya mama na mtoto na fedha wanazotoa tunazifanyia  kazi inayokusudiwa kwani Serikali yetu na ya Uingereza zinashirikiana katika kuboresha huduma ya mama na mtoto,” amesema.

Amebainisha kuwa takwimu zinaonyesha wanawake 556,000 wanafariki kutokana na vifo vifo vya uzazi katika kila vizazi hai 100,000.

Amesisitiza kuwa uzazi wa mpango unaweza kupunguza vitokananvyo na uzazi kwa asilimia 30 na kubainisha Serikali inaendelea kutenga rasilimali fedha za ndani kuboresha huduma za afya ikiwemo kuajiri watoa huduma za afya.

Kwa upande Waziri Penny amesema kuwa amefurahishwa alivyojionea huduma za uzazi wa mpango zinavyotolewa kwenye zahanati hiyo na kumpongeza Waziri Ummy kwa umahiri wa kusimamia utolewaji wa huduma hizo nchini hapa.

Akiwa katika Zahanati hiyo waziri huyo na ujumbe wake ametembelea Jengo la Kliniki ya Baba, Mama na Mtoto pamoja na Kikundi cha Umoja Group kinachojihusisha na Uzazi wa Mpango.

Naye Mganga Mkuu Mfawidhi wa Zahanati ya Tabata ‘A’, Modest Mwinuka amesema zahanati Hiyo ni miongoni mwa vituo 88 vinavyotoa huduma ya afya ya mama na mtoto katika manispaa ya Ilala huku akisisitiza kati ya vituo hivyo, vituo 51 vinatoa huduma ya uzazi wa mpango.

Amesema zahanati hiyo inahudumia wakazi kutoka mitaa nane ikiwemo Tabata, Msimbazi, Tenge, Mandela, Mtambani, Msimbazi Magharibi,Matumbi pamoja na Tabata Kisiwani yenye wakazi74,742 kati yao wananume ni 18,593, wananwake 38,833 walio kwenye umri wa kuzaa ni 13,454.

“ Zahanati ina watumishi wapatao 29 wa kada mbalimbali wakiwemo waganga na wauguzi, kati yao 28 wamepatiwa mafunzo ya uzazi wa mpango, huduma rafiki kwa vijana, huduma baada ya mimba kuharibika na ukatili wa kijinsia,” amesema Mwinuka.

Mganga huyo ameongeza kuwa njia za huduma ya uzazi wa mpango zinazotolewa katika zahanati hiyo ni njia za muda mfupi ambazo ni vidonge, sindano, kondomu za kike na za kiume pamoja na njia ya shanga, njia ya muda mrefu(Kitanzi na vijiti), pamoja na nyingine za kudumu(kufunga kizazi mwanamke/mwanaume).

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.