Skip to main content

Dr Faustine Ndungulile:Sekta ya Afya nchini ni miongoni mwa sekta muhimu katika serikali ya Awamu ya tano



SERIKALI imesema kuwa sekta ya Afya nchini ni miongoni mwa sekta muhimu
katika serikali ya Awamu ya tano na kuwa ndani ya bajeti hospitali za Wilaya
67 zimejengwa huku hospitali za Rufaa zikiboreshwa.


Naibu Waziri wa Afya Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee
na Watoto Dr Faustine Ndungulile amewataka Mfuko wa taifa wa bima ya
afya nchini (NHIF) kuhakikisha 2020  watanzania wote wanapata huduma
ya bima ili kuweza kupata matibabu kwa urahisi na wakati sahihi.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam jana na Ndungulile alipokwenda
kukabidhi cheti cha Cheti cha mfumo wa uhakiki ubora wa huduma
cha kiwango cha kimataifa cha ISO ambapo NHIF imeweza kushinda.

Alisema serikali bado inapigania wanachi kununua dawa akiitaja kuwa
ni moja ya changamoto kuna humuhimu  wa kutoa huduma za juu iliku
dhidi kushawishi wananchi kujiunga na Mfuko wa taifa wa bima ya
afya nchini (NHIF).


Dr Ndungulile alisema NHIF wanatakiwa kujitanua zaidi ikiwemo kujitangaza
na amewasifu kwa huduma nzuri wanazozitoa kwa wananchi .

“napenda niwapongeze NHIF kwa hatua kubwa mliyofikia ya kutoa huduma kwa
watanzania na nimesikia kutoka kwa mkurugenzi kuwa mpaka sasa mna asilimia
31 ya watanzania wote lakini mikakati yenu ni kufika asilimia 50 kwa mwaka
 2020,”alisema Dr Ndungulile.


Naye Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Benard Konga
alisema  kuwa wao kama mfuko wa bima kwa sasa wanatoa huduma katika vituo
vingi vya afya na pia wameweza kupata idadi kubwa ya wateja wapya.

Konga alisema kuwa, kwa sasa NHIF wamejitaidi kuboresha huduma ambapo
siku za nyuma mtu kupata kitambulisho ilichukua siku nyingi, kwa sasa
mtu kujiunga inachukua siku 4 hadi 7.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...