Skip to main content

Dr Faustine Ndungulile:Sekta ya Afya nchini ni miongoni mwa sekta muhimu katika serikali ya Awamu ya tano



SERIKALI imesema kuwa sekta ya Afya nchini ni miongoni mwa sekta muhimu
katika serikali ya Awamu ya tano na kuwa ndani ya bajeti hospitali za Wilaya
67 zimejengwa huku hospitali za Rufaa zikiboreshwa.


Naibu Waziri wa Afya Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee
na Watoto Dr Faustine Ndungulile amewataka Mfuko wa taifa wa bima ya
afya nchini (NHIF) kuhakikisha 2020  watanzania wote wanapata huduma
ya bima ili kuweza kupata matibabu kwa urahisi na wakati sahihi.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam jana na Ndungulile alipokwenda
kukabidhi cheti cha Cheti cha mfumo wa uhakiki ubora wa huduma
cha kiwango cha kimataifa cha ISO ambapo NHIF imeweza kushinda.

Alisema serikali bado inapigania wanachi kununua dawa akiitaja kuwa
ni moja ya changamoto kuna humuhimu  wa kutoa huduma za juu iliku
dhidi kushawishi wananchi kujiunga na Mfuko wa taifa wa bima ya
afya nchini (NHIF).


Dr Ndungulile alisema NHIF wanatakiwa kujitanua zaidi ikiwemo kujitangaza
na amewasifu kwa huduma nzuri wanazozitoa kwa wananchi .

“napenda niwapongeze NHIF kwa hatua kubwa mliyofikia ya kutoa huduma kwa
watanzania na nimesikia kutoka kwa mkurugenzi kuwa mpaka sasa mna asilimia
31 ya watanzania wote lakini mikakati yenu ni kufika asilimia 50 kwa mwaka
 2020,”alisema Dr Ndungulile.


Naye Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Benard Konga
alisema  kuwa wao kama mfuko wa bima kwa sasa wanatoa huduma katika vituo
vingi vya afya na pia wameweza kupata idadi kubwa ya wateja wapya.

Konga alisema kuwa, kwa sasa NHIF wamejitaidi kuboresha huduma ambapo
siku za nyuma mtu kupata kitambulisho ilichukua siku nyingi, kwa sasa
mtu kujiunga inachukua siku 4 hadi 7.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.