Skip to main content

OATUU yamuunga mkono Rais Dkt. John Magufuli

MKUTANO wa tisa  wa vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATuu) umemalizika leo Dar es Salaam
na kumpongeza Rais Dkt,John Magufuli kwa kupambana na rushwa na hivyo kuwa mfano
wa kwanza wa guigwa barani Afrika.

 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde

OATUU imesema tangu Rais Magufuli aingie madarakani Tanzania imekuwa mstari mbele
katika kupambana na rushwa hali inayochangia kupewa sifa na mataifa
mengine hivyo shirikisho
 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde

Akipokea pokea pongezi hizo Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde amesema kuwa amepokea kwa shauku kubwa pongezi hizo zilizotolewa
na umoja huo.

"Napokea kwa dhati pongezi hizo na huo ni mfano mzuri kwa wananchi wa Tanzania
kuendelea kuipenda serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli kwani nchi
za Afrika zimeonesha kutambua juhudi za nchi hii kupambana na rushwa na pia
kuna mapambano mengine katika kutokomeza madawa ya kulevya nchini,"alisema Mavunde.

Mavunde alisema kuwa mkutano huo pia ulijikita kuangalia suala la rushwa mbalimbali
zinavyoathiri maendeleo barani Afrika.

Naye katibu  Mukuu wa OATUU  Arezki  Mezhoud amesema vyama vya Wafanyakazi Afrika
vimekutana nchini kwenye Mkutano wa Tisa huku ikiwa imeelezwa kuwa umechaguliwa
kufanyika Tanzania kwa kuwa shirikisho hilo linaunga mkono juhudi za Rais Dkt.
John Magufuli za kupambana Rushwa na kuwa wangependa kuona Afrika inakuwa pamoja
katikajuhudi za kupinga rushwa.

Wakati huo huo Rais wa chama cha Wafanyakazi nchini (TUCTA) Tumaini Nyamghokya
amesisitiza kuwa mkutano huo pia ulilenga  kwenye suala la utawala bora na kuwa 
rushwa inachangia kukosekana kwa uwajibikaji na kutotenda haki.


TUCTA imefafanua kuwa rushwa ya kisiasa husababisha viongozi wanaoingia madarakani
kujali masilahi yao hali inayosababisha wananchi kukosa huduma muhimu za kijamii.





Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.