Skip to main content

OATUU yamuunga mkono Rais Dkt. John Magufuli

MKUTANO wa tisa  wa vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATuu) umemalizika leo Dar es Salaam
na kumpongeza Rais Dkt,John Magufuli kwa kupambana na rushwa na hivyo kuwa mfano
wa kwanza wa guigwa barani Afrika.

 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde

OATUU imesema tangu Rais Magufuli aingie madarakani Tanzania imekuwa mstari mbele
katika kupambana na rushwa hali inayochangia kupewa sifa na mataifa
mengine hivyo shirikisho
 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde

Akipokea pokea pongezi hizo Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Tanzania Mhe.
Antony Mavunde amesema kuwa amepokea kwa shauku kubwa pongezi hizo zilizotolewa
na umoja huo.

"Napokea kwa dhati pongezi hizo na huo ni mfano mzuri kwa wananchi wa Tanzania
kuendelea kuipenda serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli kwani nchi
za Afrika zimeonesha kutambua juhudi za nchi hii kupambana na rushwa na pia
kuna mapambano mengine katika kutokomeza madawa ya kulevya nchini,"alisema Mavunde.

Mavunde alisema kuwa mkutano huo pia ulijikita kuangalia suala la rushwa mbalimbali
zinavyoathiri maendeleo barani Afrika.

Naye katibu  Mukuu wa OATUU  Arezki  Mezhoud amesema vyama vya Wafanyakazi Afrika
vimekutana nchini kwenye Mkutano wa Tisa huku ikiwa imeelezwa kuwa umechaguliwa
kufanyika Tanzania kwa kuwa shirikisho hilo linaunga mkono juhudi za Rais Dkt.
John Magufuli za kupambana Rushwa na kuwa wangependa kuona Afrika inakuwa pamoja
katikajuhudi za kupinga rushwa.

Wakati huo huo Rais wa chama cha Wafanyakazi nchini (TUCTA) Tumaini Nyamghokya
amesisitiza kuwa mkutano huo pia ulilenga  kwenye suala la utawala bora na kuwa 
rushwa inachangia kukosekana kwa uwajibikaji na kutotenda haki.


TUCTA imefafanua kuwa rushwa ya kisiasa husababisha viongozi wanaoingia madarakani
kujali masilahi yao hali inayosababisha wananchi kukosa huduma muhimu za kijamii.





Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...