Skip to main content

Balozi wa China Wang Ke msaada wa cherehani azungumzia jinsi msaada wa cherehani zitakazo saidia wakina mama kuwainia kiuchumi



Image result for Balozi wa China hapa nchini Wang Ke
Balozi wa China hapa nchini Wang Ke akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam.
Serikali ya China imetoa msaada wa cherehani zitakazo saidia wakina mama kuwainua kiuchumi hasa katika kutekeleza dira ya serikali ya awamu ya tano ya uchumi wa kati wa viwanda kufikia 2020.

Akizungumza jijini Dar es salaam  siku chache zilizopita wakati wa hafla ya kukabidhi cherehani hizo kwa wanawake wa mikoa ya Simiyu,Mbeya na Kagera,Balozi wa China hapa nchini Wang Ke amesema kwamba msaada huo unatokana na ushirikiano mzuri wa muda mrefu kati ya Serikali yake na Tanzania.

China imetoa cherehani 73 mkoani Simiyu,cherehani 40 mkoani kagera pamoja na Cherehani 80 mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwafanya wanawake wainuke kiuchumi.

Akizungumza wakati akipokea msaada huo ,Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dr.Raphael Chegeni amemshukuru balozi huyo nakusema kuwa uchumi wa kati wa viwanda hauwezi kufanikiwa endapo jamii kuanzia ngazi za chini haitawezeshwa,hivyo msaada huo utasaidia kuanzisha viwanda vya kuzalisha mali mkoani humo.

Kwa upande wake Flora Mathew ambaye ni mwakilishi wa shirika la Women Trust  Fund amekabidhiwa cherehani 80 huku akiahidi kuzifikisha kwa walengwa.

Naye katibu mkuu wa shirika la Maendeleo Bukoba( BUDEFO) Tryphon Rutazamba amepokea cherehani 40 na kusema kuwa hatua hiyo ni muendelezo wa historian nzuri ya ushirikiano na China iliyodumu kwa muda mrefu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.