Skip to main content

Balozi wa China Wang Ke msaada wa cherehani azungumzia jinsi msaada wa cherehani zitakazo saidia wakina mama kuwainia kiuchumi



Image result for Balozi wa China hapa nchini Wang Ke
Balozi wa China hapa nchini Wang Ke akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam.
Serikali ya China imetoa msaada wa cherehani zitakazo saidia wakina mama kuwainua kiuchumi hasa katika kutekeleza dira ya serikali ya awamu ya tano ya uchumi wa kati wa viwanda kufikia 2020.

Akizungumza jijini Dar es salaam  siku chache zilizopita wakati wa hafla ya kukabidhi cherehani hizo kwa wanawake wa mikoa ya Simiyu,Mbeya na Kagera,Balozi wa China hapa nchini Wang Ke amesema kwamba msaada huo unatokana na ushirikiano mzuri wa muda mrefu kati ya Serikali yake na Tanzania.

China imetoa cherehani 73 mkoani Simiyu,cherehani 40 mkoani kagera pamoja na Cherehani 80 mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwafanya wanawake wainuke kiuchumi.

Akizungumza wakati akipokea msaada huo ,Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dr.Raphael Chegeni amemshukuru balozi huyo nakusema kuwa uchumi wa kati wa viwanda hauwezi kufanikiwa endapo jamii kuanzia ngazi za chini haitawezeshwa,hivyo msaada huo utasaidia kuanzisha viwanda vya kuzalisha mali mkoani humo.

Kwa upande wake Flora Mathew ambaye ni mwakilishi wa shirika la Women Trust  Fund amekabidhiwa cherehani 80 huku akiahidi kuzifikisha kwa walengwa.

Naye katibu mkuu wa shirika la Maendeleo Bukoba( BUDEFO) Tryphon Rutazamba amepokea cherehani 40 na kusema kuwa hatua hiyo ni muendelezo wa historian nzuri ya ushirikiano na China iliyodumu kwa muda mrefu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...