Skip to main content

CRDB tawi la Temeke yatoa mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wadogo na wakati


CRDB tawi la Temeke , imeanza kutoa mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wadogo na wakati katika Manispaa ya Temeke, kwa lengo la kuwajengea uwezo ili waweze kufanya biashara zenye tija na faida zaidi.
Tokeo la picha la CRDB
Akifungua mafunzo hayo yaliyotolewa kwa  siku tatu mfululizo na kufikia kilele chake siku ya alhamis wiki hii, Meneja wa CRDB tawi la Temeke Andrew Augastine aliwataka wafanyabiashara hao kuhudhuria kikamilifu na kuwaalika wengine kwakuwa hutolewa bure.

“Wafanyabiashara wengi wanashindwa kuendelea na kukuza biashara zao, kwa sababu mbalimbali,tutawapa mafunzo yatakayo wajenga upya na kufahamu mazao ya tolewayo na Benki ya CRDB”Alisema.

Lengo la mafunzo hayo nikuwajengea uwezo wafanyabiashara hao ,ili waweze kufanya biashara zinazo kidhi vigezo vya ubora na zenye kuleta faida kubwa.

Hata hivyo Augastine ali waahidi wafanyabiashara hao kuwafungulia akaunti bure na baada ya mafunzo hayo watatunikiwa vyeti vitakavyo watambulisha kama wafanyabishara waliosoma biashara kwa kiasi fulani.

Naye mhamasishaji wa mafunzo hayo ambaye pia ni Meneja wa wa kitengo cha biashara ndogo na za kati Claudina William ,aliwataka washiriki kufuatilia mafunzo hayo kwa umakini ili watakapo maliza mafunzo hayo wawe wameelewa barabara.

“ Nawaombeni muwe mnafuatilia mafunzo haya kwa umakini wa hali ya juu ili mtokapo hapa muwe mmetoka na kitu kitakacho badirisha biashara zenu kutoka hapo zilipo na kupaa zaidi.”Alisema Claudina.

Mafunzo yatakayotolewa na ambayo tayari yalianza kutolewa jana ni yale ya kufahamu misingi ya uwendeshaji bora wa biashara,jinsi ya kukuza mtaji,manunuzi ,kutunza kumbukumbu, udhibiti wa mali ,na na jinsi ya kuandaa mpango wa biashara.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.