Skip to main content

CRDB tawi la Temeke yatoa mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wadogo na wakati


CRDB tawi la Temeke , imeanza kutoa mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wadogo na wakati katika Manispaa ya Temeke, kwa lengo la kuwajengea uwezo ili waweze kufanya biashara zenye tija na faida zaidi.
Tokeo la picha la CRDB
Akifungua mafunzo hayo yaliyotolewa kwa  siku tatu mfululizo na kufikia kilele chake siku ya alhamis wiki hii, Meneja wa CRDB tawi la Temeke Andrew Augastine aliwataka wafanyabiashara hao kuhudhuria kikamilifu na kuwaalika wengine kwakuwa hutolewa bure.

“Wafanyabiashara wengi wanashindwa kuendelea na kukuza biashara zao, kwa sababu mbalimbali,tutawapa mafunzo yatakayo wajenga upya na kufahamu mazao ya tolewayo na Benki ya CRDB”Alisema.

Lengo la mafunzo hayo nikuwajengea uwezo wafanyabiashara hao ,ili waweze kufanya biashara zinazo kidhi vigezo vya ubora na zenye kuleta faida kubwa.

Hata hivyo Augastine ali waahidi wafanyabiashara hao kuwafungulia akaunti bure na baada ya mafunzo hayo watatunikiwa vyeti vitakavyo watambulisha kama wafanyabishara waliosoma biashara kwa kiasi fulani.

Naye mhamasishaji wa mafunzo hayo ambaye pia ni Meneja wa wa kitengo cha biashara ndogo na za kati Claudina William ,aliwataka washiriki kufuatilia mafunzo hayo kwa umakini ili watakapo maliza mafunzo hayo wawe wameelewa barabara.

“ Nawaombeni muwe mnafuatilia mafunzo haya kwa umakini wa hali ya juu ili mtokapo hapa muwe mmetoka na kitu kitakacho badirisha biashara zenu kutoka hapo zilipo na kupaa zaidi.”Alisema Claudina.

Mafunzo yatakayotolewa na ambayo tayari yalianza kutolewa jana ni yale ya kufahamu misingi ya uwendeshaji bora wa biashara,jinsi ya kukuza mtaji,manunuzi ,kutunza kumbukumbu, udhibiti wa mali ,na na jinsi ya kuandaa mpango wa biashara.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...