Skip to main content

OATWU :Yaunga mkono Rais Magufuli kwa kupambana na rushwa

VYAMA vya Wafanyakazi Afrika vimekutana nchini kwenye Mkutano wa Tisa wa Shirikisho la Vyama hivyo Afrika(OATWU) huku ikiwa imeelezwa kuwa umechaguliwa kufanyika Tanzania kwa kuwa shirikisho hilo linaunga mkono juhudi za Rais Dkt. John Magufuli za kupambana Rushwa.
Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam jana na Katibu wa TUCTA, Yahaya Msigwa kwenye mkutano huo uliokutanisha pia Umoja wa Afrika(AU).



Amesema kuwa tangu Rais Magufuli aingie madarakani Tanzania imekuwa mstari mbele katika kupambana na rushwa hali inayochangia kupewa sifa na mataifa mengine hivyo shirikisho likaonelea kuipa heshima.

“Tanzania imepewa heshima ya kufanyika mkutano kwa kuwa inaongoza katika mapambano ya rushwa hasa tangu Serikali ya Awamu ya Tano ilipoingia madarakani,” alisema.

Amebainisha kuwa mkutano huo unajadili maendeleo barani Afrika na kusitisitiza utajikikita katika kuangalia suala la rushwa mbalimbali zinavyoathiri maendeleo barani humo.

Amesisitiza kuwa mkutano huo pia utaegemea kwenye suala la utawala bora endapo usipozingatiwa unavyochangia kukosekana kwa uwajibikaji na kutotenda haki.

Amefafanua kuwa rushwa ya kisiasa husababisha viongozi wanaoingia madarakani kujali masilahi yao hali inayosababisha wananchi kukosa huduma muhimu za kijamii.

Katika hatua nyingine, amesema wanachama wa shirikisho waliokuja kwenye mkutano huo wanatamani kuonana na Rais Magufuli huku akibainisha watatoka na mapendekezo yatakayowasilishwa Serikalini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...