Skip to main content

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wamlilia Monica Magufuli


 IDADI kubwa ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana walijitokeza kwenye Mazishi ya Dada wa Rais John Joseph Magufuli, Bi Monica Magufuli aliyefariki dunia asubuhi ya tarehe 19 Agosti, 2018 katika hospitali ya Bugando Jijini Mwanza alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Wabunge na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Marais wastaafu walianza kuingia Mkoani Geita kuanzia juzi tarehe 20 Agosti 2018 ili kuwahi mazishi hayo.

Katika ibada ya mazishi iliyoongozwa na Askofu mkuu Mwandamizi Yuda Thaddeus Ruwaichi, Wabunge waliwakilishwa na Mheshimiwa Mwigulu Nchemba Mbunge wa jimbo la Iramba Mashariki pamoja na wabunge wengine wakiongozwa na Mbunge wa Manonga Seif Gulamali,  Mbunge wa Bukoba vijijini Jason Rweikaza, Mbunge wa Namanyele Ally Kessy, Medard Kalemani Mbunge na Waziri wa Nishati na Mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa.

Aidha mazishi hayo yalihudhuriwa na kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga ambaye alivutiwa na idadi kubwa ya wabunge vijana waliofika kumzika Monica Magufuli.

Akizungumza na mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Manonga, Mheshimiwa Seif Gulamali alisema: "Mwenyezi Mungu anatufundisha kuthamini zawadi ya Uhai na kuitumia vizuri, maisha ya bi. Monica yametuachia funzo kubwa la Upendo na Kujali wengine" ameeleza  Gulamali

"Kama tulivyomsikia Mheshimiwa Rais akielezea jinsi dada yake  alivyojitoa kuja kumuhudumia mama yake Bi  Suzana Magufuli ambaye ni mzee. Huu ni upendo usio kifani ambao sisi tuliobaki inatupasa kuiga" Aliongeza.

Aidha Mbunge wa Namanyele Ally Kessy aliyehudhuria msiba huo amewaasa viongozi hasa wabunge kushirikiana zaidi wakat wa misiba bila kujali itikadi zao za vyama.

Msiba huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwamo Marais wastaafu, Makamu wa Rais Waziri Mkuu, Wabunge na viongozi wengine wa dini na Serikali.

Mwili wa Monica Magufuli (Dada wa Rais Magufuli ) ulizikwa  hapo jana katika makaburi ya familia yaliyopo ndani ya makazi ya Rais katika Kijiji cha Mlimani, Kata ya Muungano Wilaya ya Chato mkoani Geita. Monica Magufuli ameacha Mume, Watoto tisa na wajukuu 25.
WhatsApp%2BImage%2B2018-08-22%2Bat%2B9.37.02%2BPM
Mbunge wa Manonga, Seif Gulamali  akisaini kitabu cha maombolezo cha Dada wa Rais John Joseph Magufuli, Bi Monica Magufuli aliyefariki dunia asubuhi ya tarehe 19 Agosti, 2018 katika hospitali ya Bugando Jijini Mwanza.
WhatsApp%2BImage%2B2018-08-21%2Bat%2B11.45.15%2BPM
 Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga akisalimiana na Mbunge wa Manonga, Seif Gulamali

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.