Skip to main content

Prof. Satta:Akabidhi kitita kwa mwanafunzi bora Chuo cha IFM

Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof.Tadeo Satta
amemzawadia jumla ya shilingi milioni 2.2   na cheti kwa  mwanafunzi
Novath Valerian aliye ongoza katika masomo ya shahada ya kwanza
Chuo ni hapo.

Akikabidhi zawadi hiyo ya fedha mbele ya waandishi wa habari
Dar es Salaam jana Prof. Tadeo amesema kuwa Chuo kimekuwa
na utaratibu wa kuwapatia motisha ya aina hiyo wanafunzi
kwa kuwapa zawadi wanafunzi wanao ongoza.

Amesema wanafunzi wa aina hiyo wamekuwa ni chachu ya kufanikiwa
katika soko la ajira kwani waajili wengi wamekuwa wakiajili
wanafunzi wa aina hiyo mara wanapokwenda katika soko la ajira.

"Maranyingi vyuo vimekuwa vikiwapa zawati wanafunzi na sisi kama
Chuo cha IFM ni moja kati ya chuo kinachotambulika ulimwenguni
hivyo tumekuwa tukitoa zawadi,"alisema Prof Satta.
Prof. Satta alisema kuwa zawadi waliompatia mwanafunzi huyo
ni juudi ya pekee ilikuhamasisha wanafunzi wengine kufanya
vizuri.
Amefafanua kuwa fedha hizo alizopata Novath sh 1,000,000 zimetolewa na
Baraza la Chuo na sh 1,000.000 zimetolewa na yeye Mkuu wa chuo nakua
sh 200,000 zilitolewa na mwalimu Mkufunzi wa Utafiti  chuoni hapo.

Akizungumzia upande wa ajira amesema kuwa IFM imekuwa ikitoa
wahitimu wazuri waliobobea katika masuala ya uhasibu katika
mtazamo wa kumudu soko la ushindani wa ajira.

Kwa upande wa Novath amesema kuwa malengo yake makuu
ni kufikia mafanikio zaidi kwa kufika mbali ili
ajekuwa mshauri elekezi katika masuala ya fedha.

"Nape niwe mshauri elekezi katika masuala ya fedha na nasafari
yangu bado inaendelea kutafuta mafanikio,"amesema.

Chuo cha IFM kimeelezwa kuwa tangu 1972 kimekuwa kikitoa
wahitimu wazuri katika ubobezi wa masuala ya uhasibu  na
wanao mudu soko la ajira katika ushindani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...