Skip to main content

Prof. Satta:Akabidhi kitita kwa mwanafunzi bora Chuo cha IFM

Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof.Tadeo Satta
amemzawadia jumla ya shilingi milioni 2.2   na cheti kwa  mwanafunzi
Novath Valerian aliye ongoza katika masomo ya shahada ya kwanza
Chuo ni hapo.

Akikabidhi zawadi hiyo ya fedha mbele ya waandishi wa habari
Dar es Salaam jana Prof. Tadeo amesema kuwa Chuo kimekuwa
na utaratibu wa kuwapatia motisha ya aina hiyo wanafunzi
kwa kuwapa zawadi wanafunzi wanao ongoza.

Amesema wanafunzi wa aina hiyo wamekuwa ni chachu ya kufanikiwa
katika soko la ajira kwani waajili wengi wamekuwa wakiajili
wanafunzi wa aina hiyo mara wanapokwenda katika soko la ajira.

"Maranyingi vyuo vimekuwa vikiwapa zawati wanafunzi na sisi kama
Chuo cha IFM ni moja kati ya chuo kinachotambulika ulimwenguni
hivyo tumekuwa tukitoa zawadi,"alisema Prof Satta.
Prof. Satta alisema kuwa zawadi waliompatia mwanafunzi huyo
ni juudi ya pekee ilikuhamasisha wanafunzi wengine kufanya
vizuri.
Amefafanua kuwa fedha hizo alizopata Novath sh 1,000,000 zimetolewa na
Baraza la Chuo na sh 1,000.000 zimetolewa na yeye Mkuu wa chuo nakua
sh 200,000 zilitolewa na mwalimu Mkufunzi wa Utafiti  chuoni hapo.

Akizungumzia upande wa ajira amesema kuwa IFM imekuwa ikitoa
wahitimu wazuri waliobobea katika masuala ya uhasibu katika
mtazamo wa kumudu soko la ushindani wa ajira.

Kwa upande wa Novath amesema kuwa malengo yake makuu
ni kufikia mafanikio zaidi kwa kufika mbali ili
ajekuwa mshauri elekezi katika masuala ya fedha.

"Nape niwe mshauri elekezi katika masuala ya fedha na nasafari
yangu bado inaendelea kutafuta mafanikio,"amesema.

Chuo cha IFM kimeelezwa kuwa tangu 1972 kimekuwa kikitoa
wahitimu wazuri katika ubobezi wa masuala ya uhasibu  na
wanao mudu soko la ajira katika ushindani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...