Skip to main content

Prof. Satta:Akabidhi kitita kwa mwanafunzi bora Chuo cha IFM

Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof.Tadeo Satta
amemzawadia jumla ya shilingi milioni 2.2   na cheti kwa  mwanafunzi
Novath Valerian aliye ongoza katika masomo ya shahada ya kwanza
Chuo ni hapo.

Akikabidhi zawadi hiyo ya fedha mbele ya waandishi wa habari
Dar es Salaam jana Prof. Tadeo amesema kuwa Chuo kimekuwa
na utaratibu wa kuwapatia motisha ya aina hiyo wanafunzi
kwa kuwapa zawadi wanafunzi wanao ongoza.

Amesema wanafunzi wa aina hiyo wamekuwa ni chachu ya kufanikiwa
katika soko la ajira kwani waajili wengi wamekuwa wakiajili
wanafunzi wa aina hiyo mara wanapokwenda katika soko la ajira.

"Maranyingi vyuo vimekuwa vikiwapa zawati wanafunzi na sisi kama
Chuo cha IFM ni moja kati ya chuo kinachotambulika ulimwenguni
hivyo tumekuwa tukitoa zawadi,"alisema Prof Satta.
Prof. Satta alisema kuwa zawadi waliompatia mwanafunzi huyo
ni juudi ya pekee ilikuhamasisha wanafunzi wengine kufanya
vizuri.
Amefafanua kuwa fedha hizo alizopata Novath sh 1,000,000 zimetolewa na
Baraza la Chuo na sh 1,000.000 zimetolewa na yeye Mkuu wa chuo nakua
sh 200,000 zilitolewa na mwalimu Mkufunzi wa Utafiti  chuoni hapo.

Akizungumzia upande wa ajira amesema kuwa IFM imekuwa ikitoa
wahitimu wazuri waliobobea katika masuala ya uhasibu katika
mtazamo wa kumudu soko la ushindani wa ajira.

Kwa upande wa Novath amesema kuwa malengo yake makuu
ni kufikia mafanikio zaidi kwa kufika mbali ili
ajekuwa mshauri elekezi katika masuala ya fedha.

"Nape niwe mshauri elekezi katika masuala ya fedha na nasafari
yangu bado inaendelea kutafuta mafanikio,"amesema.

Chuo cha IFM kimeelezwa kuwa tangu 1972 kimekuwa kikitoa
wahitimu wazuri katika ubobezi wa masuala ya uhasibu  na
wanao mudu soko la ajira katika ushindani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.