Skip to main content

Musa Kafana alivyo timuka CUF na Kuhamia CCM



NAIBU Meya wa Jiji la Dar es Salaam(CUF) Musa Kafana na Mwanasheria
 Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu
Hashim Mziray jumamosi wameng'atuka na kutangaza kujiunga na Chama cha
Mapinduzi.

Viongozi tayari wameendeleza wimbi la viongozi wengine waliotangaza nia zao
za kujiunga na CCM wakitokea katika vyama vya upinzani nchini.

Akitangaza  rasmi maamzi yake  jijini Dar es Salaam juzi  bele ya
waandishi wa habari Musa Kafana alisema kuwa
anaipongeza serikali ya chama cha mapinduzi CCM kwa
kuendelea kuwa na ustawi mzuri katika kuendeleza mambo
mbali mbali ya kijamii kwa wananchi wake.

Alisema tangu achanguliwe kuwa Diwani wa Kiwalani
mwaka 2015 ameshirikiana vema na serikali kuleta
maendeleo katika kata hiyo.

"Ukiangalia leo hii kisarawe imekuwa na maendeleo mazuri
na nimekuwa nikishirikiana vema na Mkuu wa Mkuoa wa
Dar es Salaam kuleta maaendeleo yanayoonekana kwa
sasa,"alisema Kafana .

Kafana alisema kuwa moja ya maendeleo aliyoyafanya
katika kuiletea maendeleo Kisarawe ni pamoja na kuwa
kwa sasa Kiwalani kunasoko zuri na vizimba 8 na wanatarajia
ndani ya muda mfupi kuwa na gari la taka.

Alisema pia kwa sasa wanabara bara nzuri ambapo ni muuonekano
 wa maendeleo mazuri ya kimsingi katika
maendeleo ya uongozi wake.

"Ilani ya serikali ya CCM imetekeleza mambo ya muhimu
kwani Rais John Magufuli wakati wa kampeni zake 2015,alihaidi
 wananchi mambo mazuri katika katika utawala wake na kimsingi
ameyatekeleza,"alisema Kafana .

Kiongozi huyo aliyejitoa CCM alieleza kuwa amejitoa Chama cha
wananchi CUF kutokana na kuwa amekuwa afanyi siasa za utulivu
kutokana na misagano iliyopo ndani ya chama hicho.

"Mimi bado ni kijana nataka niendelee kufanya siasa safi
katika maisha yangu ndio maana nimeomba kuhamia chama cha CCM
kwenye utulivu ambako naona naweza kuendelea kufanya siasa zenye
utulivu,"alisema Kafana .

Naye Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ambaye ana digrii
ya sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam huku namba yake ya uwakili
ikiwa ni 3932 ambaye pia alikuwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu  Mziray
ambaye juzi naye alitangaza kung'atuka alisema anafurahishwa na
kujiunga na CCM.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...