Skip to main content

JAMII SINGIDA WAASWA KUACHA MILA POTOFU


Wakazi wa Mkoa wa Singida wanaoendeleza mila potofu ya ukeketaji, wameaswa kuachana na mila hiyo, badala yake waanzishe vilabu kwa lengo la kuwafundisha wasichana umuhimu wa kufanya kazi halali na maadili mema kupunguza kasi ya mmomonyoko wa maadili.
 Mwito huo ulitolewa na Dk Getrude Mughamba kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Singida wakati wa warsha iliyohudhuriwa na vikundi kazi na watendaji wa kata, wanaoshiriki utekelezaji wa mradi wa kutokomeza vitendo vya ukeketaji.
Mradi huo unaotekelezwa katika kata nne za halmashauri hiyo, unaendeshwa na Shirika la Empower Society to Transform Lives (ESTL) kwa ufadhili wa Shirika la Foundation for Civil Society. Dk Mughamba alieleza kuwa kupitia vilabu hivyo, wasichana watapata fursa ya kufundishwa mapishi bora, usafi na utunzaji wa mazingira na namna bora ya kuishi na mume; hivyo kurejesha nidhamu na maadili mema ya namna ya kuishi katika jamii iliyostaarabika.
Alisema kuwa jamii ya kabila la Wanyaturu na makabila mengine yanayoendelea kukumbatia mila hiyo potofu ya ukeketaji ambao wamekuwa wakifanya hivyo kwa ajili ya kujipatia sifa ya kuolewa hivi sasa hawana budi kubadili mfumo wa mila na utamaduni wenye tija. Alisema kuwa kwa kuanzisha vilabu vya aina hiyo, jamii itawafunda watoto wao kwa namna bora zaidi, badala ya kuendelea kuwakeketa hali inayowatia kwenye machungu ya kujifungua kwa taabu, kutofurahia vyema tendo la ndoa na kuwaathiri milele kisaikolojia.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...