Skip to main content

JAMII SINGIDA WAASWA KUACHA MILA POTOFU


Wakazi wa Mkoa wa Singida wanaoendeleza mila potofu ya ukeketaji, wameaswa kuachana na mila hiyo, badala yake waanzishe vilabu kwa lengo la kuwafundisha wasichana umuhimu wa kufanya kazi halali na maadili mema kupunguza kasi ya mmomonyoko wa maadili.
 Mwito huo ulitolewa na Dk Getrude Mughamba kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Singida wakati wa warsha iliyohudhuriwa na vikundi kazi na watendaji wa kata, wanaoshiriki utekelezaji wa mradi wa kutokomeza vitendo vya ukeketaji.
Mradi huo unaotekelezwa katika kata nne za halmashauri hiyo, unaendeshwa na Shirika la Empower Society to Transform Lives (ESTL) kwa ufadhili wa Shirika la Foundation for Civil Society. Dk Mughamba alieleza kuwa kupitia vilabu hivyo, wasichana watapata fursa ya kufundishwa mapishi bora, usafi na utunzaji wa mazingira na namna bora ya kuishi na mume; hivyo kurejesha nidhamu na maadili mema ya namna ya kuishi katika jamii iliyostaarabika.
Alisema kuwa jamii ya kabila la Wanyaturu na makabila mengine yanayoendelea kukumbatia mila hiyo potofu ya ukeketaji ambao wamekuwa wakifanya hivyo kwa ajili ya kujipatia sifa ya kuolewa hivi sasa hawana budi kubadili mfumo wa mila na utamaduni wenye tija. Alisema kuwa kwa kuanzisha vilabu vya aina hiyo, jamii itawafunda watoto wao kwa namna bora zaidi, badala ya kuendelea kuwakeketa hali inayowatia kwenye machungu ya kujifungua kwa taabu, kutofurahia vyema tendo la ndoa na kuwaathiri milele kisaikolojia.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.