Skip to main content

Vijana ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wakitumiwa vizuri watakuwa msaada

SERIKALI imesema kulingana na vijana wengi duniani katika nyakati za sasa kuonekana ni tatizo katika kujihusisha na mambo ya uvunjifu wa amani imehimiza kuwapa fursa

NAIBU Katibu Mkuu Wizara Elimu Sayansi na Teknolojia Dk.Ave Maria Semakafu amesema Vijana wakitumiwa vizuri wanaweza kuwa suluhisho la vitendo vya uvunjifu wa amani Barani Afrika.

Dk.Ave Maria aliyasema hayo jana Dk.Ave Maria wakati wa uzinduzi wa utafiti uliofanywa na Idara ya Sayansi ya Siasa ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM),utafiti ulio hoji “Vijana kujihusisha na matukio ya kihalifu.

“Vijana ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wakitumiwa vizuri watakuwa msaada mkubwa katika kukabiliana na matukio ya uhalifu lakini wasipotumika vizuri na kuandaliwa kukua katika maadili ya kumtukuza Mungu watakuwa wakishiriki vitendo hivyo.”Alisema Dk.Ave Maria.

Alisema kuwa asilimia kumekuwepo na wimbi la matukio ya kiuhalifu Barani Afrika hufanywa na Vijana kutokana kuthibitika huko Wataalamu wa tafiti kutoka UDSM wakaona kuna haja ya kufanya tafiti na wamefanya Tafiti hizo na makala nne kutoka Tanzania ndiyo zilikuwa bora kwakuwa zilijikita katika uhalisia wakuhusika kwa vijana.

Katika mkutano huo umezitaja nchi zilizo shiriki kuwa ni Kenya ,Ethiopia ,Uganda, Afrika Kusini, Zimbabwe na Tanzania lakini Jalida (Chapisho) la vyuo Vikuu Afrika limeitangaza Tanzania kuwa ndiyo walioandika makala nzuri kuhusu vijana kujihusisha na masuala ya uvunjifu wa amani barani Afrika.

“Tafiti hizi zilizofanywa na kuthibitishwa na Jalida la Vyuo vikuu Afrika nakuonekana Tanzania tumeandika makala nzuri kwa maana ya uhalisia na siyo kubashiri ni lazima sasa vijana wasaidiwe.”Alisema Dk.Ave Maria.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa kwakuwa serikali imetoa vikwazo vyote kwenye elimu watawekeza mkazo zaidi kwenye elimu kwakuwa mtu akielimika atawazua jema na baya kujihusisha katika vitendo viovu ni kuhatarisha maisha yao.

Kwa upande wake  Dk.Rasul Minja Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Siasa UDSM alisema kuwa vijana siyo bomu linalotaka kulipuka ,bali vijana wakitumika vyema wataweza kuondoa na kukomesha viashiria vya uvunjifu wa amani katika nchi yetu na Duniani kwa ujumla.

“Tumeona tutoe machapisho ya utafiti wetu katika Jalida letu la vyuo vikuu Afrika na tutazitafsiri makala zote kwa Kiswahili na kutoa semina kuanzia ngazi ya serikali ya mitaa hadi Taifa na kuendesha mijadala kwa lengo la kumuelimisha kijana wa kitanzania.

Utafiti huo ulifanyika mwaka jana na kukamilika mwanzoni mwa mwaka huu ,ambapo ulifanyika katika miji mikuu na majiji likiwemo jiji la Mwanza, Arusha na Dar es Salaam na sehemu chache za Mkoa wa Pwani ikiwemo Ikwiriri,Kibiti na Rufiji.

Watafiti hao waliwahoji watu wa kada mbalimbali kama Askari wa Jeshi la Polisi,walioko mahabusu na magereza ,wake wa watuhumiwa, waganga wa jadi , mashehe na wachungaji hususani katika maeneo ya Kibiti , Ikwiriri na Rufiji kutokana na kuripotiwa kwa vitendo vya kiharifu dhidi ya binadamu vilivyokuwa vikiendelea huko mkoani Pwani.

Hitimisho la Utafiti huo ni kujengwa kwa jamii imara itokanayo na vijana ili kuweza kuwa na Taifa imara na lenye watu walio starabika na wasiyo jihusisha na vitendo vya kiharifu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.