Skip to main content

Vijana ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wakitumiwa vizuri watakuwa msaada

SERIKALI imesema kulingana na vijana wengi duniani katika nyakati za sasa kuonekana ni tatizo katika kujihusisha na mambo ya uvunjifu wa amani imehimiza kuwapa fursa

NAIBU Katibu Mkuu Wizara Elimu Sayansi na Teknolojia Dk.Ave Maria Semakafu amesema Vijana wakitumiwa vizuri wanaweza kuwa suluhisho la vitendo vya uvunjifu wa amani Barani Afrika.

Dk.Ave Maria aliyasema hayo jana Dk.Ave Maria wakati wa uzinduzi wa utafiti uliofanywa na Idara ya Sayansi ya Siasa ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM),utafiti ulio hoji “Vijana kujihusisha na matukio ya kihalifu.

“Vijana ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wakitumiwa vizuri watakuwa msaada mkubwa katika kukabiliana na matukio ya uhalifu lakini wasipotumika vizuri na kuandaliwa kukua katika maadili ya kumtukuza Mungu watakuwa wakishiriki vitendo hivyo.”Alisema Dk.Ave Maria.

Alisema kuwa asilimia kumekuwepo na wimbi la matukio ya kiuhalifu Barani Afrika hufanywa na Vijana kutokana kuthibitika huko Wataalamu wa tafiti kutoka UDSM wakaona kuna haja ya kufanya tafiti na wamefanya Tafiti hizo na makala nne kutoka Tanzania ndiyo zilikuwa bora kwakuwa zilijikita katika uhalisia wakuhusika kwa vijana.

Katika mkutano huo umezitaja nchi zilizo shiriki kuwa ni Kenya ,Ethiopia ,Uganda, Afrika Kusini, Zimbabwe na Tanzania lakini Jalida (Chapisho) la vyuo Vikuu Afrika limeitangaza Tanzania kuwa ndiyo walioandika makala nzuri kuhusu vijana kujihusisha na masuala ya uvunjifu wa amani barani Afrika.

“Tafiti hizi zilizofanywa na kuthibitishwa na Jalida la Vyuo vikuu Afrika nakuonekana Tanzania tumeandika makala nzuri kwa maana ya uhalisia na siyo kubashiri ni lazima sasa vijana wasaidiwe.”Alisema Dk.Ave Maria.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa kwakuwa serikali imetoa vikwazo vyote kwenye elimu watawekeza mkazo zaidi kwenye elimu kwakuwa mtu akielimika atawazua jema na baya kujihusisha katika vitendo viovu ni kuhatarisha maisha yao.

Kwa upande wake  Dk.Rasul Minja Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Siasa UDSM alisema kuwa vijana siyo bomu linalotaka kulipuka ,bali vijana wakitumika vyema wataweza kuondoa na kukomesha viashiria vya uvunjifu wa amani katika nchi yetu na Duniani kwa ujumla.

“Tumeona tutoe machapisho ya utafiti wetu katika Jalida letu la vyuo vikuu Afrika na tutazitafsiri makala zote kwa Kiswahili na kutoa semina kuanzia ngazi ya serikali ya mitaa hadi Taifa na kuendesha mijadala kwa lengo la kumuelimisha kijana wa kitanzania.

Utafiti huo ulifanyika mwaka jana na kukamilika mwanzoni mwa mwaka huu ,ambapo ulifanyika katika miji mikuu na majiji likiwemo jiji la Mwanza, Arusha na Dar es Salaam na sehemu chache za Mkoa wa Pwani ikiwemo Ikwiriri,Kibiti na Rufiji.

Watafiti hao waliwahoji watu wa kada mbalimbali kama Askari wa Jeshi la Polisi,walioko mahabusu na magereza ,wake wa watuhumiwa, waganga wa jadi , mashehe na wachungaji hususani katika maeneo ya Kibiti , Ikwiriri na Rufiji kutokana na kuripotiwa kwa vitendo vya kiharifu dhidi ya binadamu vilivyokuwa vikiendelea huko mkoani Pwani.

Hitimisho la Utafiti huo ni kujengwa kwa jamii imara itokanayo na vijana ili kuweza kuwa na Taifa imara na lenye watu walio starabika na wasiyo jihusisha na vitendo vya kiharifu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...