Skip to main content

Profesa Ndalichako:Kila halmashauli nchini inashule zenye mahabara za sayansi

SERIKALI nchini imesema kuwa imefanikiwa  kujenga mahabara za kisayansi 
kwenye shule za sekondari kwa kila halmashauli zote nchini.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam juzi na Waziri wa elimu nchini Profesa Joyce 
Ndalichako alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya wakandarasi wa wanawake 
walipo kuwa wameungana na wakandarasi wengine kusherekea miaka 50 tangu 
kuanzishwa kwa Bodi ya wahandisi huku benki ya CRDB ikiwa imedhamini maadhimisho 
hayo.
Alisema kuwa  kuelekea uchumiwa viwanda serikali imekua ikiimiza wasichana 
shule ya msingi na sekondari kuyapenda masomo ya hesabati na Sayansi ili 
kuja kupata wahandisi wazuri.




"Hadi sasa nchini kunawakandarasi 2026 ambao kati yao asilimia 10 tu no 
wanawake hivyo bado tunaitaji jitihada katika kufikia asilimia 50 kwa 50,"
alisema Ndalichako.

Alisema serikali ya tano inawataka watoto wa kike  kupenda masomo ya hesabu 
na sayansi ili kujakufikia uchumi wa katika maendeleo ya viwanda.

Naye Alice Isibika ambaye ni Mwenyekiti wa kitengo cha wahandisi wanawake(IET)
alisema wamekuwa wakifanya ziara kutembelea baadhi ya shule za msingi na
 sekondari kuhimiza juu ya wanafunzi wasichana kupenda masomo ya sayasi.

"Tumekua tukipitamashuleni kusisitiza wanafunzi wa kike kuyapenda masomo ya 
sayansi ili tumeanza na shule zilizopo Dar es Salaam na baadaye tunampango wa 
kuendelea nchi nzima,"alisema Isibika.

Naye meneja husiano wa mikopo midogo na ya kati  wa benki ya CRDB iliyodhamini maadhimisho hayo ya 50 ya 
wahandisi nchini Elizabeth John alisema kuwa wamejitokeza kudhamini siku 
hiyo kupitia huduma zao za kibenki kama akaunti ya Junior Jumbo ambayo ni 
akaunti mahususi kwa wazazi ama walezi.

Elizabeth aliwataka Wazazi kuelewa umuhimu wa akaunti hiyo kwani ni  taswira 
njema kwa maendeleo ya mtoto pindi atakapo fikia umri wa masomo ya sekondari .

"Akaunti inaweza kufunguliwa kwa shilingi au dola  ama euro pamoja na pauni 
ambapo kiwango cha chini cha kufungulia ni 20,000 au ,"alisema Elizabeth.

Alisema kuwa gharama ya uendeshaji ni ndogo na pia akaunti hiyo huwajengea 
watoto tabia njema ya kupenda kujiwekea akiba ni njia inayo rahisisha zoezi 
la kuwekeza fedha kwa ajili ya mahitaji ya mtoto kwa wazazi.

Aidha alisema benki ya CRDB inatoa mikopo mikibwa  kwa wafanyakazi yenye 
riba na vigezo nafuu kwa waajiri wa serikali,mashirika ya Umma na sekta 
binafsi.

Pia alisema mikopo ya wafanyakazi benki  hiyo inatumika kwa malengo ya mkopaji 
ikiwemo uanzishwaji au uwekezaji katika biashara,kununua nyumba au gari,kulipa
ada au shughulu nyingine yeyote.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.