Skip to main content

Profesa Ndalichako:Kila halmashauli nchini inashule zenye mahabara za sayansi

SERIKALI nchini imesema kuwa imefanikiwa  kujenga mahabara za kisayansi 
kwenye shule za sekondari kwa kila halmashauli zote nchini.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam juzi na Waziri wa elimu nchini Profesa Joyce 
Ndalichako alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya wakandarasi wa wanawake 
walipo kuwa wameungana na wakandarasi wengine kusherekea miaka 50 tangu 
kuanzishwa kwa Bodi ya wahandisi huku benki ya CRDB ikiwa imedhamini maadhimisho 
hayo.
Alisema kuwa  kuelekea uchumiwa viwanda serikali imekua ikiimiza wasichana 
shule ya msingi na sekondari kuyapenda masomo ya hesabati na Sayansi ili 
kuja kupata wahandisi wazuri.




"Hadi sasa nchini kunawakandarasi 2026 ambao kati yao asilimia 10 tu no 
wanawake hivyo bado tunaitaji jitihada katika kufikia asilimia 50 kwa 50,"
alisema Ndalichako.

Alisema serikali ya tano inawataka watoto wa kike  kupenda masomo ya hesabu 
na sayansi ili kujakufikia uchumi wa katika maendeleo ya viwanda.

Naye Alice Isibika ambaye ni Mwenyekiti wa kitengo cha wahandisi wanawake(IET)
alisema wamekuwa wakifanya ziara kutembelea baadhi ya shule za msingi na
 sekondari kuhimiza juu ya wanafunzi wasichana kupenda masomo ya sayasi.

"Tumekua tukipitamashuleni kusisitiza wanafunzi wa kike kuyapenda masomo ya 
sayansi ili tumeanza na shule zilizopo Dar es Salaam na baadaye tunampango wa 
kuendelea nchi nzima,"alisema Isibika.

Naye meneja husiano wa mikopo midogo na ya kati  wa benki ya CRDB iliyodhamini maadhimisho hayo ya 50 ya 
wahandisi nchini Elizabeth John alisema kuwa wamejitokeza kudhamini siku 
hiyo kupitia huduma zao za kibenki kama akaunti ya Junior Jumbo ambayo ni 
akaunti mahususi kwa wazazi ama walezi.

Elizabeth aliwataka Wazazi kuelewa umuhimu wa akaunti hiyo kwani ni  taswira 
njema kwa maendeleo ya mtoto pindi atakapo fikia umri wa masomo ya sekondari .

"Akaunti inaweza kufunguliwa kwa shilingi au dola  ama euro pamoja na pauni 
ambapo kiwango cha chini cha kufungulia ni 20,000 au ,"alisema Elizabeth.

Alisema kuwa gharama ya uendeshaji ni ndogo na pia akaunti hiyo huwajengea 
watoto tabia njema ya kupenda kujiwekea akiba ni njia inayo rahisisha zoezi 
la kuwekeza fedha kwa ajili ya mahitaji ya mtoto kwa wazazi.

Aidha alisema benki ya CRDB inatoa mikopo mikibwa  kwa wafanyakazi yenye 
riba na vigezo nafuu kwa waajiri wa serikali,mashirika ya Umma na sekta 
binafsi.

Pia alisema mikopo ya wafanyakazi benki  hiyo inatumika kwa malengo ya mkopaji 
ikiwemo uanzishwaji au uwekezaji katika biashara,kununua nyumba au gari,kulipa
ada au shughulu nyingine yeyote.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...