Skip to main content

Serikali yawatahadharisha watanzania kuhusu mlipuko wa Ebola

WIZARA ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto imewatadharisha
wananchi waishio mpakani mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (DRC) kuwa
 makini na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola ulioripotiwa katika nchi hiyo .

Image result for ummy mwalimu

Akizungumza nawaandishi wa habari jijini Dar es salaam jana Waziri wa afya na maendeleo
yajamii jinsia wazee nawatoto Ummy Mwalimu amesema kuwa kumekuwa namlipuko wa ugonjwa huo katika nchi ya DRC kama ilirivyoripotiwa na shilika la afya duniani WHO Katika maeneo ya
kivu kasikazini katika nchi hiyo .

''Wizara inapenda kutoa tahadhari kubwa yaugonjwa huu kwa wananchi wote katika mikoa yote
 hasa inayopakana na nchi ya jirani ya DRC hasa mikoa ya Mwaza ,kagera Kigoma katavi Rukwa
pamoja nasongwe,"Alisema  Ummy Mwalimu .


Alisema kuwa kufuatia mlipuko wa wa ugonjwa huo katika nchi ya DRC
serikali kwakushirikiana na shilika la afya duniani inafanya juhudi mbalimbali katika kudhibiti
 ugonjwa huo kwa kuongeza hali ya ufuatiliaji wa wasafiri wanao pita katika mipaka kutokea nchi
jirani ilikuweza kudhibiti ugonjwa huo.

Aidha alisema  kuwa ugojwa huo wa  ebola husababishwa na virusi ya ebola vinavyosabisha homa ya ebola ambapo hali hiyo hutokana na binadamu anapogusana namyama aliyeathirika na ugonjwa huo ikiwemo sokwe nyani pamoja na popo .

''ugonjwahuu wa ebola huambukizwa kwanjia majimaji yanayotoka mwilini ikiwemo damu ya mtu aliye ambukizwa virusi vya ebola ,sambamba na kugusa nguo shuka au godoro lililo tumiwa na mgonjwa wa  ebola ''Aliongeza WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu

Waziri ummy aliongeza kuwa sambamba na njia hizo za uambukizwaji wa ugonjwa huo pia ugonjwa huo huambatana na dalili za homa kali ya ghafla  kulegea mwili maumivu ya misuli,pamoja na kuumwa kichwa na vidonda kooni .

Aliongeza kuwa dalili nyinginezo nipamoja na kutapika kuharisha vipele vya ngozi na figo pamoja na inikushindwa kufanya kazi .''Baadhi yawagonjwa hutokwa damu nyingi ndani nanje ya mwili ''Alisisitiza .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...