Skip to main content

Serikali yawatahadharisha watanzania kuhusu mlipuko wa Ebola

WIZARA ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto imewatadharisha
wananchi waishio mpakani mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (DRC) kuwa
 makini na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola ulioripotiwa katika nchi hiyo .

Image result for ummy mwalimu

Akizungumza nawaandishi wa habari jijini Dar es salaam jana Waziri wa afya na maendeleo
yajamii jinsia wazee nawatoto Ummy Mwalimu amesema kuwa kumekuwa namlipuko wa ugonjwa huo katika nchi ya DRC kama ilirivyoripotiwa na shilika la afya duniani WHO Katika maeneo ya
kivu kasikazini katika nchi hiyo .

''Wizara inapenda kutoa tahadhari kubwa yaugonjwa huu kwa wananchi wote katika mikoa yote
 hasa inayopakana na nchi ya jirani ya DRC hasa mikoa ya Mwaza ,kagera Kigoma katavi Rukwa
pamoja nasongwe,"Alisema  Ummy Mwalimu .


Alisema kuwa kufuatia mlipuko wa wa ugonjwa huo katika nchi ya DRC
serikali kwakushirikiana na shilika la afya duniani inafanya juhudi mbalimbali katika kudhibiti
 ugonjwa huo kwa kuongeza hali ya ufuatiliaji wa wasafiri wanao pita katika mipaka kutokea nchi
jirani ilikuweza kudhibiti ugonjwa huo.

Aidha alisema  kuwa ugojwa huo wa  ebola husababishwa na virusi ya ebola vinavyosabisha homa ya ebola ambapo hali hiyo hutokana na binadamu anapogusana namyama aliyeathirika na ugonjwa huo ikiwemo sokwe nyani pamoja na popo .

''ugonjwahuu wa ebola huambukizwa kwanjia majimaji yanayotoka mwilini ikiwemo damu ya mtu aliye ambukizwa virusi vya ebola ,sambamba na kugusa nguo shuka au godoro lililo tumiwa na mgonjwa wa  ebola ''Aliongeza WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu

Waziri ummy aliongeza kuwa sambamba na njia hizo za uambukizwaji wa ugonjwa huo pia ugonjwa huo huambatana na dalili za homa kali ya ghafla  kulegea mwili maumivu ya misuli,pamoja na kuumwa kichwa na vidonda kooni .

Aliongeza kuwa dalili nyinginezo nipamoja na kutapika kuharisha vipele vya ngozi na figo pamoja na inikushindwa kufanya kazi .''Baadhi yawagonjwa hutokwa damu nyingi ndani nanje ya mwili ''Alisisitiza .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.