Skip to main content

Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira yafanya Ziara yake ya kutembelea Viwanda katika Mkoa wa Pwani

 Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira yaendelea na Ziara yake ya kutembelea Viwanda katika Mkoa wa Pwani ili kusikiliza changamoto mbalimbali za Viwanda, Kamati leo tarehe 16 Ogasti, 2018 imetembelea kiwanda cha Bakhresa Food Products Ltd (BFPL) kiwanda kinachosindika matunda na vinywaji baridi, maji ya kunywa na juisi inayotokana na matunda yanayozalishwa nchini.

Kiwanda kina uwezo wa kusindika matunda tani 330 kwa siku kwa matunda yanayotoka katika mikoa ya Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga, Iringa, Shinyanga na Tabora.

Katika Ziara hiyo kamati ya Bunge imejionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kiwanda hicho na kupongeza uongozi wa kiwanda kwa uwekezaji mkubwa uliofanyika ambao umesaidia nchi kupata kodi pia ajira kwa watanzania.

Aidha uongozi wa Kiwanda umeeleza changamoto mbalimbali wanazokutana nazo zikiwemo wingi wa taasisi za udhibiti ubora, kodi kubwa inayotozwa wakati wa uingizaji wa makasha maalumu ya kuhifandhia matunda, Stika za kodi za kieletronic (ETS), na Vikwazo visivyokuwa vya kikodi kwa bidhaa za Azam Mango na Azam energy kuuzwa kwa wateja nchini Kenya.

Kamati imehitimisha Ziara yake kwa kutembelea kiwanda cha Lodhia kilichopo Mkuranga kinachotengeza nondo, mabomba na matenki ya kuhifadhia maji.


Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyanya akiwa na Kamati ya Bunge ya Kudumu ya biashara katika kiwanda cha bakhressa.WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.26.51

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.26.58

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.26.59

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.27.00

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.27.01
 Picha ya Pamoja.
WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.27.02

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.27.03

WhatsApp%2BImage%2B2018-08-16%2Bat%2B18.27.04
Wabunge wakitembele kiwanda cha cocakola

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.