Skip to main content

Waziri Ummy aipongeza TFDA kuelekea uchumi wa viwanda

           
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu
ameipongeza Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA)
pamoja na Taasisi ya sekta Binafsi nchini (TPSF)kwa kushirikiana kwa
pamoja na wadau wa viwanda vya chakula kukaa na kujadili kwa pamoja namna
nzuri ya kutekeleza kwa vitendo azma ya Serikali ya Awamu ya Tano inayotaka nchi kuwa ya uchumi wa viwanda.

Pongezi hizo amezitoa jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa wadau wa chakula kuamasisha uanzishaji na uboreshaji wa viwanda vya chakula  na kubainisha kuwa
Tanzania ni nchi yenyefursanyingi za kuwekeza katika eneo la viwanda ikiwa
ni pamoja na viwanda vya chakula.

Image result for PICHA ZA UMMY MWalimu

Amesema hali hiyo inatokana na kuwepo kwa mazingira wezeshi kama vile hali
ya kisiasa ,utashi wa kisiasa na upatikanaji wa malighafi mbali
mbali zinazotumika katika uzalishaji wa chakula.

"Jitiada nyingi zimefanywa na vizara kama kutafuta ada ya ukaguzi wa viwanda
vidogo vidogo vya chakula,ada ya vibali vya kusafirisha chakula nje ada ya
tathmini ya lebo ya bidhaaya chakula,ada ya matangazo ya bidhaa za chakula
pamojana ada ya matangazo ya bidhaa za chakula pamoja na ada ya kudurufu hati
ya usajili wa bidhaa za chakula ,"amesema.

Amebainisha kuwa hakuna hakuna tozo kwa malighafi zinazoingizwa
nchini na wenye viwanda vya kusindika.
Amefafanua hadi sasa kuna viwanda nane ambapo kufikia Desemba mwaka huu
watakuwa wamepunguza idadi kubwa ya fedha za nchi kwenda kununua dawa.
Aidha amesema TFDA imeanza njia nyingine ya kutoa ushauri na kuwa
wasajili wa majengo kwa ambapo kwa sasa hauzidi zaidi ya siku 10.

Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amedodosa kuwa viwanda vinavyojengwa ni kwaajili ya kuzalisha ajira na
viwanda hivyo vikiwa vingi vinaongeza na vitasaidia kodi kushuka
kutokana na kuwa wananchi wengi watakuwa na ajira.

Ameongeza kuwa taasisi za serikali zinapaswa kushirikiana na amewata
wenye mitaji midogo ya kuzalisha bidhaa kama tomato sauce
waende wakapewe vyumba SODO na pia amewashauri wananchi
katika kuelekea Tanzania ya viwanda wajenge viwanda na si
nyumba za kupangisha ili kwendana na wakati huu ambapo
kwa sasa nyumba za kupangisha hazina soko .

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka hiyo, Agnes Kijo amesema TFDA itaendelea kushirikiana bega kwa na wadau hao ili kuhakikisha azma ya uchumi wa viwanda inafikiwa huku akisisitiza watahakikisha bidhaa za chakula zinakuwa ubora na usalama kwa walaji.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.