Skip to main content

Waziri Ummy aipongeza TFDA kuelekea uchumi wa viwanda

           
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu
ameipongeza Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA)
pamoja na Taasisi ya sekta Binafsi nchini (TPSF)kwa kushirikiana kwa
pamoja na wadau wa viwanda vya chakula kukaa na kujadili kwa pamoja namna
nzuri ya kutekeleza kwa vitendo azma ya Serikali ya Awamu ya Tano inayotaka nchi kuwa ya uchumi wa viwanda.

Pongezi hizo amezitoa jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa wadau wa chakula kuamasisha uanzishaji na uboreshaji wa viwanda vya chakula  na kubainisha kuwa
Tanzania ni nchi yenyefursanyingi za kuwekeza katika eneo la viwanda ikiwa
ni pamoja na viwanda vya chakula.

Image result for PICHA ZA UMMY MWalimu

Amesema hali hiyo inatokana na kuwepo kwa mazingira wezeshi kama vile hali
ya kisiasa ,utashi wa kisiasa na upatikanaji wa malighafi mbali
mbali zinazotumika katika uzalishaji wa chakula.

"Jitiada nyingi zimefanywa na vizara kama kutafuta ada ya ukaguzi wa viwanda
vidogo vidogo vya chakula,ada ya vibali vya kusafirisha chakula nje ada ya
tathmini ya lebo ya bidhaaya chakula,ada ya matangazo ya bidhaa za chakula
pamojana ada ya matangazo ya bidhaa za chakula pamoja na ada ya kudurufu hati
ya usajili wa bidhaa za chakula ,"amesema.

Amebainisha kuwa hakuna hakuna tozo kwa malighafi zinazoingizwa
nchini na wenye viwanda vya kusindika.
Amefafanua hadi sasa kuna viwanda nane ambapo kufikia Desemba mwaka huu
watakuwa wamepunguza idadi kubwa ya fedha za nchi kwenda kununua dawa.
Aidha amesema TFDA imeanza njia nyingine ya kutoa ushauri na kuwa
wasajili wa majengo kwa ambapo kwa sasa hauzidi zaidi ya siku 10.

Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amedodosa kuwa viwanda vinavyojengwa ni kwaajili ya kuzalisha ajira na
viwanda hivyo vikiwa vingi vinaongeza na vitasaidia kodi kushuka
kutokana na kuwa wananchi wengi watakuwa na ajira.

Ameongeza kuwa taasisi za serikali zinapaswa kushirikiana na amewata
wenye mitaji midogo ya kuzalisha bidhaa kama tomato sauce
waende wakapewe vyumba SODO na pia amewashauri wananchi
katika kuelekea Tanzania ya viwanda wajenge viwanda na si
nyumba za kupangisha ili kwendana na wakati huu ambapo
kwa sasa nyumba za kupangisha hazina soko .

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka hiyo, Agnes Kijo amesema TFDA itaendelea kushirikiana bega kwa na wadau hao ili kuhakikisha azma ya uchumi wa viwanda inafikiwa huku akisisitiza watahakikisha bidhaa za chakula zinakuwa ubora na usalama kwa walaji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...