Skip to main content

Sumatra yajadili kuongeza wadhibiti wenye viwango vinavyofanana nchi za SADC


Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini nchini (Sumatra) imefanya mazungumzo na Chama cha Reli cha Nchi Kusini mwa Afrika (Sara) ili kuhakikisha nchi wanachama zinakuwa na wadhibiti  wa reli wenye viwango vinavyofanana pamoja  na kuongeza usalama.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Sumatra Giliard Ngewe wakati akizungumza na wanahabari.
Amesema mazungumzo  hayo yamefanyika kutokana na nchi wanachama kukosa wadhibiti wa reli wasio na viwango vinavyofanana huku akisisitiza kuna wadhibiti wa reli wawili tu katika nchi zinaounda SADC.
“Lengo la Majadiliano ni kuhamasisha nchi nyingine za kusini mwa Afrika ziwe na wadhibiti wenye viwango sawa maana hadi sasa tuna wadhibiti wawili tu,” amesema,”.
Amebainisha kuwa katika mazungumzo ya majadiliano hayo watatoka na maazimio ya jinsi ya kuungana na kutumia viwango vya udhibiti vinavyofanana.

Kwa upande wake,Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk, Leonard Chamuriho amesema pasipokuwepo na wenye viwango vinavyofanana viwango vya udhibiti wa reli hutofautina na kuongeza nchi za SADC zinatakiwa kutekeleza ajenda ya Umoja wa Afrika ( AU) inayozitaka ziwe na reli za kisasa zinazofarisha mizigo mizito.

Amesisitiza kuwa nchi zote za SADC zinatakiwa ziwe na viwango sawa vya udhibiti wa reli na kubainisha kwamba usafirishaji wa mizigo unaotumia reli hauna gharama.
Naye Rais wa Sara, Babe Botana amesema lengo liliowakutanisha ni kuhakikisha viwango vya wadhibiti wa nchi wananchama wa SADC vinafanana na usafiri wa reli unakuwa wa kisasa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...