Skip to main content

Mwenyekiti Baraza la Ardhi na Nyumba Awaondoa wadaiwa wawili kesi ya msingi ya mgogoro wa ardhi

Na Hussein Ndubikile,Pwani

Mwenyekiti wa  Baraza  la Ardhi na Nyumba la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani, Rehema  Mwakibuja amewaondoa wadaiwa wawili akiwemo Omari Issa na Bakari Saguti katika kesi ya  msingi ya mgogoro wa ardhi kati ya  Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Adelardus Kilangi ambaye ni mdai dhidi ya wadaiwa zaidi ya 70 ambao ni wananchi wa Kijiji cha Vicheji kilichopo wilayani humo licha ya wadaiwa hao kudai hawawezi kutoa maelezo sababu kuwa Wakili wao hayupo.

Hatua hiyo imekuja baada  ya wadaiwa hao kutakaa kutoa maelezo kwa kuwa wakaili wao alipata ajali na taarifa walishatoa huku kila mmoja akisisitiza tayari wameshafanya mazungumzo ya awall na wakili mpya hivyo tararibu zitakapokamilika wataaendelea na kesi.

Mwenyekiti  wa baraza hilo alituipilia mbali ombi hilo kwa kueleza kuwa kesi imeshaletwa mezani hivyo lazima iendelele kusikilizwa na kwamba waliokataa kuzungumza amewafuta majina yao.

Kwa upande wa mdaiwa, Juma mauge alipotakiwa kutoa maelezo alidai hawezi kuongea kwa ufasaha kwa ametoka kwenye msiba wa mama yake mzazi, hivyo mwenyekiti alimkubalia na kumtaka aende akajiandae atapokuja kesi iendelee kusikilizwa.

Katika hatua nyingine mwenyekiti huyo aliwaambia wadaiwa waliofika katika baraza hilo hakuna sheria inayoelezea wadaiwa kutoa maelezo kwa mtiririko wa watu waliowapanga hivyo baraza hilo lina uwezo wa kumchagua yeyote kati  yao na si vinginevyo.

Mgogoro katika kesi namba 55 ya mwaka 2016 unawahusisha wadaiwa Said Kaisi 46, Bakari Saguti 60, Omary Issa 42, Juma Omary 40, Salima Bilali (53), Regia Issaya(55) ,Sada Abdallah(72)  na ambao kwa pamoja wanadaiwa kuingia kwenye shamba la Kilangi bila kibali.

Washitakiwa hao kwa pamoja inadaiwa kuwa Mei 9 2016 katika Kijiji cha Vicheji waliharibu Miti 13 ya Minazi na nyumba mbili vyenye thamani ya Sh. Mil 22.2 mali ya AG  Kilangi.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Agosti 15 mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...