Skip to main content

Mwenyekiti Baraza la Ardhi na Nyumba Awaondoa wadaiwa wawili kesi ya msingi ya mgogoro wa ardhi

Na Hussein Ndubikile,Pwani

Mwenyekiti wa  Baraza  la Ardhi na Nyumba la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani, Rehema  Mwakibuja amewaondoa wadaiwa wawili akiwemo Omari Issa na Bakari Saguti katika kesi ya  msingi ya mgogoro wa ardhi kati ya  Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Adelardus Kilangi ambaye ni mdai dhidi ya wadaiwa zaidi ya 70 ambao ni wananchi wa Kijiji cha Vicheji kilichopo wilayani humo licha ya wadaiwa hao kudai hawawezi kutoa maelezo sababu kuwa Wakili wao hayupo.

Hatua hiyo imekuja baada  ya wadaiwa hao kutakaa kutoa maelezo kwa kuwa wakaili wao alipata ajali na taarifa walishatoa huku kila mmoja akisisitiza tayari wameshafanya mazungumzo ya awall na wakili mpya hivyo tararibu zitakapokamilika wataaendelea na kesi.

Mwenyekiti  wa baraza hilo alituipilia mbali ombi hilo kwa kueleza kuwa kesi imeshaletwa mezani hivyo lazima iendelele kusikilizwa na kwamba waliokataa kuzungumza amewafuta majina yao.

Kwa upande wa mdaiwa, Juma mauge alipotakiwa kutoa maelezo alidai hawezi kuongea kwa ufasaha kwa ametoka kwenye msiba wa mama yake mzazi, hivyo mwenyekiti alimkubalia na kumtaka aende akajiandae atapokuja kesi iendelee kusikilizwa.

Katika hatua nyingine mwenyekiti huyo aliwaambia wadaiwa waliofika katika baraza hilo hakuna sheria inayoelezea wadaiwa kutoa maelezo kwa mtiririko wa watu waliowapanga hivyo baraza hilo lina uwezo wa kumchagua yeyote kati  yao na si vinginevyo.

Mgogoro katika kesi namba 55 ya mwaka 2016 unawahusisha wadaiwa Said Kaisi 46, Bakari Saguti 60, Omary Issa 42, Juma Omary 40, Salima Bilali (53), Regia Issaya(55) ,Sada Abdallah(72)  na ambao kwa pamoja wanadaiwa kuingia kwenye shamba la Kilangi bila kibali.

Washitakiwa hao kwa pamoja inadaiwa kuwa Mei 9 2016 katika Kijiji cha Vicheji waliharibu Miti 13 ya Minazi na nyumba mbili vyenye thamani ya Sh. Mil 22.2 mali ya AG  Kilangi.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Agosti 15 mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.