Skip to main content

Mbwana Samatta aibeba timu yake




Na Mwandishi Wetu, GENK
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao la pili la timu yake, KRC Genk ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Lech Poznan ya Polandkatika mchezo wa kwanza, Raundi ya Tatu ya mchujo UEFA Europa League Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Samatta Mbwana Ally forward of Krc Genk looks behind him during the Jupiler Pro League match between Royal Mouscron Peruwelz and KRC Genk in the Le Canonnier Stadium in Mouscron, Belgium. *** MOUSCRON, BELGIUM - 06/02/2016 Photo by Nico Vereecken / Photonews ***
Samatta alifunga bao hilo dakika ya 56, baada ya kiungo wa Ukraine, Ruslan Malinovskiy kutangulia kufunga la kwanza dakika ya 44.  

Sasa Genk watahitaji kwenda kuulinda ushindi wao katika mchezo wa marudiano Agosti 16, Uwanja wa INEA mjini Poznan ili kwenda katika mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi, ambako watacheza mechi moja zaidi nyumbani na ugenini.


Mbwana Samatta akishangilia baada ya kuifungia Genk jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Lech Poznan ya Poland  

Samatta aliyejiunga na Genk Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya DRC, ambayo nayo ilimtoa Simba SC ya nyumbani, Tanzania mwaka 2011 anawindwa na klabu kadhaa za Borussia Dortmund ya Ujerumani, Levante ya Hispania na CSKA Moscow ya Urusi. 
Kikosi cha KRC Genk jana kilikuwa: Vukovic, Lucumi, Dewaest, Maehle, Berge, Malinovskyi, Pozuelo, Trossard/Zhegrova dk81, Ndongala na Samatta/Gano dk63.
Lech Poznan : Buric, De Marco, Rogne/Vujadinovic dk67, Tralka, Gajos, Jevtic/Tomczyk dk73, Makuszewski/Jozwiak dk53, Cywka, Kostevych, Orlowski na Gytkjaer.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...