Skip to main content

CRDB, Tawi la Temeke Jijini Dar es Salaam lawataka wananchi kuchangamkia fursa za mikopo

WAFANYABIASHARA wadogo, wakati na wakubwa  wa benki ya CRDB, Tawi la Temeke Jijini Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo zitolewazo katika Tawi hilo.

Meneja wa CRDB Temeke, Andrew Augustine aliyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati, alipokuwa akifunga mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wa Manispaa ya Temeke yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Utalii Tandika jijini humo.

Alisema kuwa  amewataka wafanyabiashara hao kutumia fursa hiyo yakujipatia mkopo kupitia tawi la CRDB Temeke kwa riba nafuu ya  19% na kuwahakikishia kuwa hakuna ukiritimba katika utoaji wa mikopo katika Benki hiyo inayoongoza kwakutoa huduma za kibenki nchini.

“Kwa habari njema ya wafanyabiashara wadogo, wakubwa na wakati Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dk. Charles Kimei,  ameitdhinisha Sh Bilioni 2, kwa ajili ya kuwakopesha wafanyabiashara wa CRDB Temeke lakini mwitikio ni mdogo,"Alisema Augustine

Wakati huo huo Augustine aliwatoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu uchumi wanchi nakusema kuwa uchumi wa Tanzania upo imara na madhubuti na kuongeza kuwa shilingi imerudi kwenye mzunguko wake ikilinganisha na miaka 2 iliyopita.

“Mdororo wa mzunguko wa kifedha kwa sasa umeimarika ukilinganisha na miaka miwili iliyopita , hii ni kutokana na Serikali kulipa baadhi ya madeni nakufanya mzunguko wa shilingi kurejea mataani.Njoo CRDB tutakupa ushauri jinsi ya kusonga mbele,"Alisema.

Naye Meneja wa Bishara na huduma za kibenki CRDB Temeke, Burtony Mbogella, aliwaasa washiriki kutokuwa wanyimi wa taarifa na kuwataka kufikisha ujumbe kwa wenzao ambao hawakushiriki mafunzo hayo kutokana na sababu mbalimbali.
Hata hivyo Mbogella aliwataka washiriki hao kuunda kundi moja ambalo litawasaidia kupewa kipaumbele wakati watakapo hitaji mkopo na huduma nyingine za kibeki.

“Undeni jina la kundi ili mnapokuja CRDB Temeke mnajitambulisha kwa jina la kundi lenu inakuwa rahisi kuwadumia kwakuwa tulishawapa mafunzo tunawaamini.” Alisema

Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Temeke Rukia Kamal akisoma risala kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo ambayo naye alishiriki kama mfanyabiashara aliipongeza CRDB kwakuendesha mafunzo hayo  bure.

Rukia aliwaomba CRDB Temeke kuendelea kutoa mafunzo hayo kwa wananchi wa Temeke kwakuwa Temeke ni kubwa ikilinganisha na idadi ya watu waliofikiwa kupitia mafunzo ya biashara,mikopo na mbinu za kukuza mtaji.

“CRDB Temeke muendelee kuwapa mikopo wafanyabiashara wetu kwakuwa maisha ya wananchi wa Temeke ni duni hivyo ningependa kuona maisha ya wananchi hao yanaimarika kiuchumi .”Alisema

 Rukia amelielezea  gazeti la Majira kuwa  baada ya mafunzo hayo kuwa yeye anasimamia ilani ya CCM ambayo imeelekeza bayana kuwainua wanachi kiuchumi nakuongeza kuwa atawashawishi wanachi wengi hususani wakina mama kuchangamkia fursa pasipo kujali itikadi za vyama vyao.

Kwa upande wake Muwezeshaji wa mafunzo hayo Claudiana Wiliam ambaye pia ni Meneja wa kitengo cha Ujasiriamali na wafanyabiashara wadogo ,wakati akiwapongeza washiriki kwakushiriki kwa wingi tofauti na walivyo tarajia.

“Kutoka moyoni nimefarijika kuona wananchi wa Temeke mkishiriki kwa wingi ni waombe wakati mwingine mshiriki kwa wingi zaidi ya hivi mlivyoshiriki,'alisema Claudiana .

Washiriki katika  mafunzo hayo walipatiwa vyeti kama sehehemu ya kuthamini ushiriki wao katika mafunzo hayo lakini pia vyeti hivyo vilithibitisha ushiriki wao kikamilifu wakati huku CRDB Temeke ikiwafungulia akaunti za biashara wafanyabiashara hao ambao hawakuwa na akaunti za CRDB bila malipo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...