Skip to main content

CRDB, Tawi la Temeke Jijini Dar es Salaam lawataka wananchi kuchangamkia fursa za mikopo

WAFANYABIASHARA wadogo, wakati na wakubwa  wa benki ya CRDB, Tawi la Temeke Jijini Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo zitolewazo katika Tawi hilo.

Meneja wa CRDB Temeke, Andrew Augustine aliyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati, alipokuwa akifunga mafunzo ya maboresho kwa wafanyabiashara wa Manispaa ya Temeke yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Utalii Tandika jijini humo.

Alisema kuwa  amewataka wafanyabiashara hao kutumia fursa hiyo yakujipatia mkopo kupitia tawi la CRDB Temeke kwa riba nafuu ya  19% na kuwahakikishia kuwa hakuna ukiritimba katika utoaji wa mikopo katika Benki hiyo inayoongoza kwakutoa huduma za kibenki nchini.

“Kwa habari njema ya wafanyabiashara wadogo, wakubwa na wakati Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dk. Charles Kimei,  ameitdhinisha Sh Bilioni 2, kwa ajili ya kuwakopesha wafanyabiashara wa CRDB Temeke lakini mwitikio ni mdogo,"Alisema Augustine

Wakati huo huo Augustine aliwatoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu uchumi wanchi nakusema kuwa uchumi wa Tanzania upo imara na madhubuti na kuongeza kuwa shilingi imerudi kwenye mzunguko wake ikilinganisha na miaka 2 iliyopita.

“Mdororo wa mzunguko wa kifedha kwa sasa umeimarika ukilinganisha na miaka miwili iliyopita , hii ni kutokana na Serikali kulipa baadhi ya madeni nakufanya mzunguko wa shilingi kurejea mataani.Njoo CRDB tutakupa ushauri jinsi ya kusonga mbele,"Alisema.

Naye Meneja wa Bishara na huduma za kibenki CRDB Temeke, Burtony Mbogella, aliwaasa washiriki kutokuwa wanyimi wa taarifa na kuwataka kufikisha ujumbe kwa wenzao ambao hawakushiriki mafunzo hayo kutokana na sababu mbalimbali.
Hata hivyo Mbogella aliwataka washiriki hao kuunda kundi moja ambalo litawasaidia kupewa kipaumbele wakati watakapo hitaji mkopo na huduma nyingine za kibeki.

“Undeni jina la kundi ili mnapokuja CRDB Temeke mnajitambulisha kwa jina la kundi lenu inakuwa rahisi kuwadumia kwakuwa tulishawapa mafunzo tunawaamini.” Alisema

Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Temeke Rukia Kamal akisoma risala kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo ambayo naye alishiriki kama mfanyabiashara aliipongeza CRDB kwakuendesha mafunzo hayo  bure.

Rukia aliwaomba CRDB Temeke kuendelea kutoa mafunzo hayo kwa wananchi wa Temeke kwakuwa Temeke ni kubwa ikilinganisha na idadi ya watu waliofikiwa kupitia mafunzo ya biashara,mikopo na mbinu za kukuza mtaji.

“CRDB Temeke muendelee kuwapa mikopo wafanyabiashara wetu kwakuwa maisha ya wananchi wa Temeke ni duni hivyo ningependa kuona maisha ya wananchi hao yanaimarika kiuchumi .”Alisema

 Rukia amelielezea  gazeti la Majira kuwa  baada ya mafunzo hayo kuwa yeye anasimamia ilani ya CCM ambayo imeelekeza bayana kuwainua wanachi kiuchumi nakuongeza kuwa atawashawishi wanachi wengi hususani wakina mama kuchangamkia fursa pasipo kujali itikadi za vyama vyao.

Kwa upande wake Muwezeshaji wa mafunzo hayo Claudiana Wiliam ambaye pia ni Meneja wa kitengo cha Ujasiriamali na wafanyabiashara wadogo ,wakati akiwapongeza washiriki kwakushiriki kwa wingi tofauti na walivyo tarajia.

“Kutoka moyoni nimefarijika kuona wananchi wa Temeke mkishiriki kwa wingi ni waombe wakati mwingine mshiriki kwa wingi zaidi ya hivi mlivyoshiriki,'alisema Claudiana .

Washiriki katika  mafunzo hayo walipatiwa vyeti kama sehehemu ya kuthamini ushiriki wao katika mafunzo hayo lakini pia vyeti hivyo vilithibitisha ushiriki wao kikamilifu wakati huku CRDB Temeke ikiwafungulia akaunti za biashara wafanyabiashara hao ambao hawakuwa na akaunti za CRDB bila malipo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.