Skip to main content

MFUMO WA VYAMA VYA SIASA NCHINI UTAENDELEA KUWEPO



Image may contain: 1 person, smiling, sitting
Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa Tanzania Magalle John Shibuda

Imeelezwa kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini,utaendelea kuwepo ili kujenga ustawi wa maendeleo ya jamii na uchumi wa taifa.

Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa Tanzania Magalle John Shibuda ameeleza hayo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza kwenye mjadala na vingozi na wadau mbalimbali wa siasa nchini kuhusu mabadiliko ya kikatiba na kisheria kuhusu uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Shibuda amesema kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi hujenga kuundika kwa mifumo imara ya uwajibikaji kwa serikali.

“Duniani kote daima uhai mfumo wa vyama vingi utadumu kwa sababu hakuna chama kamilifu  dhidi ya kasoro za udhaifu wa kuundwa na desturi za tabia binafsi za mapungufu ya viongozi wa vyama hivyo mfumo wa vyama vingi utaendelea kuwepo ili kujenga ustawi wa maendeleo ya jamii na uchumi wa taifa”amesema Shibuda

Mussa Kombo Mussa ni Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (JUKATA) amesema lengo lao ni kushirikiana na vyama vya siasa ili kuishauri serikali kufanyia kazi mapendekezo yao kuhusiana na katiba.

Amesema NEC inapaswa kusimamia chaguzi zote ukiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwa uchaguzi huo ni chaguzi kama zilivyo chaguzi za udiwani,Ubunge na Urais

Na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Part TLP Nansi Mrikaria pamoja na Katibu Mkuu wa SAU,Kisena Fred Kisena ambao wamejitokeza kwenye mjadala huo wamesema umewajengea kujadili mambo yatakayosaidia kujenga demokrasia makini.

Hata hivyo kwa mujibu wa JUKATA imeeleza kuwa kufuatia wimbi la wabunge na madiwani kuhama vyama kwa sababu mbalimbali na malalamiko ya watanzania kuhusu gharama zinazotumika kwenye chaguzi ndogo, wametafakari na kuona ipo haja ya kuruhusu mfumo wa wanasiasa kuhama vyama pasipokupoteza nafasi zao za kuchaguliwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...