Skip to main content

MFUMO WA VYAMA VYA SIASA NCHINI UTAENDELEA KUWEPO



Image may contain: 1 person, smiling, sitting
Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa Tanzania Magalle John Shibuda

Imeelezwa kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini,utaendelea kuwepo ili kujenga ustawi wa maendeleo ya jamii na uchumi wa taifa.

Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa Tanzania Magalle John Shibuda ameeleza hayo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza kwenye mjadala na vingozi na wadau mbalimbali wa siasa nchini kuhusu mabadiliko ya kikatiba na kisheria kuhusu uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Shibuda amesema kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi hujenga kuundika kwa mifumo imara ya uwajibikaji kwa serikali.

“Duniani kote daima uhai mfumo wa vyama vingi utadumu kwa sababu hakuna chama kamilifu  dhidi ya kasoro za udhaifu wa kuundwa na desturi za tabia binafsi za mapungufu ya viongozi wa vyama hivyo mfumo wa vyama vingi utaendelea kuwepo ili kujenga ustawi wa maendeleo ya jamii na uchumi wa taifa”amesema Shibuda

Mussa Kombo Mussa ni Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (JUKATA) amesema lengo lao ni kushirikiana na vyama vya siasa ili kuishauri serikali kufanyia kazi mapendekezo yao kuhusiana na katiba.

Amesema NEC inapaswa kusimamia chaguzi zote ukiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwa uchaguzi huo ni chaguzi kama zilivyo chaguzi za udiwani,Ubunge na Urais

Na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Part TLP Nansi Mrikaria pamoja na Katibu Mkuu wa SAU,Kisena Fred Kisena ambao wamejitokeza kwenye mjadala huo wamesema umewajengea kujadili mambo yatakayosaidia kujenga demokrasia makini.

Hata hivyo kwa mujibu wa JUKATA imeeleza kuwa kufuatia wimbi la wabunge na madiwani kuhama vyama kwa sababu mbalimbali na malalamiko ya watanzania kuhusu gharama zinazotumika kwenye chaguzi ndogo, wametafakari na kuona ipo haja ya kuruhusu mfumo wa wanasiasa kuhama vyama pasipokupoteza nafasi zao za kuchaguliwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.