Skip to main content

China wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba

Makampuni matano kutoka Korea Kusini na China wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba.

Makampuni hayo yameonesha  nia ya kuwekeza baada ya Mkurugenzi wa Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji (TIC)Geoffrey Mwambe kwenda nchini Korea Kusini pamoja na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kushiriki kongamano la biashara na uwekezaji liliofanyika China Agost I6 mwaka huu kwa ajili ya kuhamasisha wawekezaji.
Tokeo la picha la kituo cha uwekezaji mussatz

TIC katika kuwajenga wajasiriamali kimetaja kuwa uwekezaji ndio njia sahihi
ya kufikia uchumi wa viwanda kwa kuzingatia hilo kimetaja kuwa ni wazi kwamba
wanajukumu la kujenga sekta binafsi ambayo ni nyenzo kuu katika uwekezaji.


kizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana  Mwambe alisema kuwa
kupitia ziara ya kikazi aliyofanya mwezi huu nchini Korea kusini wamefanikiwa kuhamasisha wawekezaji na kuonesha nia ya kuwekeza.

Alisema  kuwa akiwa korea ameshiriki kongamano la Biashara na Uwekezaji  lililofanyika Agosti I3 mwaka huu  ambapo wafanyabiashara walijadili fursa za uwekezaji katika sekta ya madawa na vifaa tiba.

Ameeleza kuwa katioa ziara hiyo aliongozana na wawakikishi wa taasisi za serikali, Makapuni binafsi, Viongozi wa Chama Cha Watengenezaji na Wauzaji wa Madawa (TAPI) kwa ajili kupanua wigo wa Uwekezaji hapa nchini.

"Makongamano haya yaliambatana na ziara za kutembelea viwanda vinavyomilikiwa na baadhi ya makampuni ambayo yameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania" alisema Mwambe.

Hata hivyo alisema kuwa miongoni mwa mafanikio ambayo yamepatikana akiwa korea ni pamoja kusainiwa hati za maafikiano (MOU)  tatu kati ya TAPI na wafanyakazi wa makampuni ya China ili kuwezesha mafanikio na makampuni ya Tanzania kuwekeza kwa ubia katika sekta ya Afya.

"Lengo la kushiriki magongamano hayo ni kuleta mapinduzi ya uchumi hapa Tanzania" amesema Mwambe.

Katika hatua nyengine Mwambe alifafanua kuwa Kituo cha Uwekezaji kinaendelea kufanya kuboresha huduma za mahali pamoja (One stop facilitation Centre) ili kuwahudumia wawekezaji kwa ufanisi mkubwa.

Amesema kuwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) pamoja na  taasisi nyingine za serikali tayari WAPO katika Ofisi  TIC ili kutoa huduma kwa haraka hasa kwa wawekezaji wanaotoka nje ya nchi.

Katika kutengeneza Mazingira rafiki kwa wawekezaji taasisi zote ambazo zinafanya kazi kwa ukaribu na TIC ili kuhakikisha Tanzania ya viwanda inafanikwa na kupiga hatua katika masula mbalimbali yendeleo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...