Skip to main content

China wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba

Makampuni matano kutoka Korea Kusini na China wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba.

Makampuni hayo yameonesha  nia ya kuwekeza baada ya Mkurugenzi wa Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji (TIC)Geoffrey Mwambe kwenda nchini Korea Kusini pamoja na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kushiriki kongamano la biashara na uwekezaji liliofanyika China Agost I6 mwaka huu kwa ajili ya kuhamasisha wawekezaji.
Tokeo la picha la kituo cha uwekezaji mussatz

TIC katika kuwajenga wajasiriamali kimetaja kuwa uwekezaji ndio njia sahihi
ya kufikia uchumi wa viwanda kwa kuzingatia hilo kimetaja kuwa ni wazi kwamba
wanajukumu la kujenga sekta binafsi ambayo ni nyenzo kuu katika uwekezaji.


kizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana  Mwambe alisema kuwa
kupitia ziara ya kikazi aliyofanya mwezi huu nchini Korea kusini wamefanikiwa kuhamasisha wawekezaji na kuonesha nia ya kuwekeza.

Alisema  kuwa akiwa korea ameshiriki kongamano la Biashara na Uwekezaji  lililofanyika Agosti I3 mwaka huu  ambapo wafanyabiashara walijadili fursa za uwekezaji katika sekta ya madawa na vifaa tiba.

Ameeleza kuwa katioa ziara hiyo aliongozana na wawakikishi wa taasisi za serikali, Makapuni binafsi, Viongozi wa Chama Cha Watengenezaji na Wauzaji wa Madawa (TAPI) kwa ajili kupanua wigo wa Uwekezaji hapa nchini.

"Makongamano haya yaliambatana na ziara za kutembelea viwanda vinavyomilikiwa na baadhi ya makampuni ambayo yameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania" alisema Mwambe.

Hata hivyo alisema kuwa miongoni mwa mafanikio ambayo yamepatikana akiwa korea ni pamoja kusainiwa hati za maafikiano (MOU)  tatu kati ya TAPI na wafanyakazi wa makampuni ya China ili kuwezesha mafanikio na makampuni ya Tanzania kuwekeza kwa ubia katika sekta ya Afya.

"Lengo la kushiriki magongamano hayo ni kuleta mapinduzi ya uchumi hapa Tanzania" amesema Mwambe.

Katika hatua nyengine Mwambe alifafanua kuwa Kituo cha Uwekezaji kinaendelea kufanya kuboresha huduma za mahali pamoja (One stop facilitation Centre) ili kuwahudumia wawekezaji kwa ufanisi mkubwa.

Amesema kuwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) pamoja na  taasisi nyingine za serikali tayari WAPO katika Ofisi  TIC ili kutoa huduma kwa haraka hasa kwa wawekezaji wanaotoka nje ya nchi.

Katika kutengeneza Mazingira rafiki kwa wawekezaji taasisi zote ambazo zinafanya kazi kwa ukaribu na TIC ili kuhakikisha Tanzania ya viwanda inafanikwa na kupiga hatua katika masula mbalimbali yendeleo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.