Skip to main content

Jeshi nchini uganda limeomba msamaha kutokana na kitendo cha askari wake kuonekana kwenye video akimpiga mwandishi


Jeshi nchini uganda limeomba msamaha kutokana na kitendo cha askari wake kuonekana kwenye video akimpiga mwandishi wa habari ambaye alikuwa akitimiza wajibu wake kwenye maandamano ya kushutumu kukamatwa kwa mbunge Bobi Wine Agosti 20 mwaka huu.
Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi (CDF), Jenerali David Muhoozi, ameagiza askari waliohusika kuwapiga wanahabari  waliokuwa wakitimiza majukumu yao kukamatwa.
Mbali na hatua hiyo ya jeshi hilo jumuiya ya kimataifa zimeshaanza kuwashutumu askari wa Jeshi la Ulinzi (UPDF) kwa ukatili na manyanyaso  ya waandishi wa habari ambao walikuwa wakiandika habari za kampeni katika Jimbo la Manispaa ya Arua hivi karibuni.
Imeelezwa kuwa kisa cha kukamatwa kwa wanasiasa na kuibuka vurugu katika maeneo mengi ya jiji la Kampala Jumatatu.
Msemaji wa UPDF Brigeduia Richard Karemire katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari amesema uongozi wa jeshi unalaani ukatili uliofanywa na askari wake.
“Uongozi wa UPDF umefahamishwa kuhusu utendaji kazi usiozingatia weledi wa askari wake waliowasumbua wanahabari waliosambazwa kwa ajili ya kufuatilia operesheni ya pamoja katika jiji Jumatatu ya Agosti 20, 018,” ilisema sehemu ya taarifa Brigedia Karemire iliyosambazwa Jumanne.
“UPDF linapenda kueleza kwamba halijafurahishwa na tabia hiyo iliyofanywa na askari hao binafsi, na kwa sababu hiyo Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi (CDF) ameamuru wakamatwe na waadhibiwe.
Waandishi waliokumbana na mkono katili wa askari wa vikosi vya usalama ni wanahabari wanne wa televisheni ya NTV; Juma Kiirya, Herbert Zziwa, Ronald Muwanga, Ronald Galiwango, na wenzao Julius Bakabaage (NBS), James Akena (Reuters), Samuel Kyambadde (Metro FM) na Richard (Ghetto TV).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...