Skip to main content

Dkt. Baghayo: Wageni zaidi ya 350 kutoka mataifa zaidi ya 30 kuhudhuria mkutano wa OESAI Arusha

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 41 wa umoja wa kikanda wa makampuni ya bima ya nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (OESAI) ukiwa na lengo la  kuendeleza  vipaumbele vya kukuza soko la bima.

Katika mkutano huo Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mipango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa 41 wa Umoja wa Kikanda na Makampuni ya Bima ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika(OESAI) unaotarajiwa kufanyika kwenye Hoteli ya Mount Meru kuanzia Agosti 27 hadi 29 mwaka huu.

Pichani  kamishna wa bima wa mamlaka ya usimamizi wa shughuli za bima nchini (TIRA) Dkt. Baghayo Saqware wakati akitoa taarifa ya mkutano huo mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani leo.


Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na  Kamishna wa  Mamlaka ya usimamizi wa shughuli za bima nchini (TIRA) Dkt. Baghayo Saqware wakati akitoa ufafanuzi kwa wanahabari kuhusiana na mkutano huo.


Amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (TIRA) kwa kushirikiana na umoja huo wameamua kuufanaya hapa nchini na kwamba  lengo lake ni kujadili usimamizi bora wa makampuni ya bima, kuangalia namna bora ya huduma za bima ziwafikiea wateja kwa kutumia teknolojia ya teknohama.


“ Tunategemea makampuni na taasisi za bima zitakazoshiriki zitabadilishana uzoefu na kufungua fursa za masoko achilia mbali hilo zitaunaganisha uzoefu kwenye bima za kilimo na ufugaji,” amesema.

Amebainisha kuwa mkutano utashirikisha nchi 33 wanachama na kwamba wageni zaidi ya 300 wanatarajiwa kuingia mjini huo huku akisisitiza utafungua fursa nyingi za kibiashara kwa wenyeji wa mji huo.

Kwa upande wake Mjumbe wa mkutano wa umoja huo, Margaret Ikongo amesema taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwa wananchama na kwamba hii mara pili Tanzania kupewa heshima ya kufanyika.


Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mkutano huo, Khamis Suleiman amesema kuwa mkutano huo ni muhimu kwa kuwa unakutanisha nchi tofauti huku akibainisha lengo ni kuvuka asilimia 15 ya watanzania wanaotumia bima.

Amefafanua kuwa washiriki ambao hawana uzoefu wa masuala ya bima ya kilimo na mifugo watajifunza kutoka kwa makampuni mengine ikiwemo matumizi ya teknohama kuongeza watumiaji wa huduma za bima.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...