Skip to main content

Sane ajiunga na Man City kwa pauni 37m

Haki miliki ya pichaGETTY
Image captionLeroy Sane ajiunga na Man City kwa pauni 37m
Chipukizi kiungo cha kati wa Ujerumani Leroy Sane amekamilisha uhamisho kwenda Manchester City kwa gharama ya pauni milioni £37m.
Meneja mpya wa Man City Pep Guardiola amemmiminia sifa kedekede kiungo huyo akisema kuwa ana kasi na kipaji cha kipekee.
'' ninaamini kuwa jinsi anavyocheza huyo kijana inaonesha wazi kuwa anatalanta ya kuvutia sana , ninatarajia mashabiki wetu watavutiwa na hulka yake''
Haki miliki ya pichaAFP
Image captionSane, aliisaidia Ujerumani kutinga nusu fainali ya mchuano wa Euro 2016, aliifunga klabu yake ya Schalke mabao 33
Sane, aliisaidia Ujerumani kutinga nusu fainali ya mchuano wa Euro 2016, aliifunga klabu yake ya Schalke mabao 33 katika ligi kuu ya Ujerumani.
Schalke ilimaliza msimu katika nafasi ya 5.
''ukimtizama akicheza unavutia na ueledi wake , yaani hababaishwi na mpira wala hasuisui hata anapopewa mpira katika mazingira magumu'' alisema Guardiola.
''Hivi unavyomuona ana umri wa miaka 20 tu lakini tayari ameshajishindia nafasi katika timu ya taifa ,hiyo inatudhihirishia kuwa anakipaji kinachohitaji kunolewa kisha anawiri kitaaluma''
Kwa upande wake Sane amesema kuwa moja ya sababu kuu yake ya kujiunga na Man City ni kupata nafasi ya kujifua chini ya ukufunzi wake Guardiola.
" Wakati huu katika taaluma yangu hii bila shaka Guardiola ndiye kocha ambaye ninahakika atanifaa zaidi na kunikuza'' alisema Sane.
''Sitarajii kupewa nafasi moja kwa moja ila najua baada ya muda nitapata nafasi''

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...